Mtikila atinga kortini kupinga Mahakama ya Kadhi.
Wakati Serikali ikijiandaa kuwasilisha muswada wa Mahakama ya Kadhi katika mkutano wa 19 wa Bunge unaotarajia kuanza leo, Mwenyekiti wa Democratic Party (DP), Mchungaji Christopher Mtikila amefungua kesi ya madai Mahakama Kuu Tanzania, Kanda ya Dar es Salaam, akipinga hatua hiyo.
Mtikila anapinga kuanzishwa Mahakama ya Kadhi, kwamba ni kinyume cha Katiba ya nchi.
Kadhalika, Mtikila ameiomba mahakama itoe amri kwamba wale walio kwenye mamlaka ya Serikali akiwamo Waziri Mkuu, Mizengo Pinda;...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania17 Mar
Mtikila aipinga Mahakama ya Kadhi kortini
Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam
MWENYEKITI wa chama cha DP, Mchungaji Christopher Mtikila, amekimbilia Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam kupinga Mahakama ya Kadhi na Jumuiya ya Nchi za Kiislamu kuwekwa kwenye Katiba ya nchi.
Mtikila, ambaye hakuwa na wakili wa kumwakilisha, aliifungua kesi hiyo ya kikatiba katika Masijala Kuu Kanda ya Dar es Salaam na kupewa namba 14 ya mwaka huu.
Viongozi wa juu serikalini waliapa kwa ajili ya kuilinda Katiba, lakini wao wanavunja Katiba kwa kukubali kuwepo...
9 years ago
Global Publishers04 Jan
Mbunge wa Kinondoni Atinga Kortini Kupinga Bomoabomoa Jimboni Kwake
![mtulia](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2016/01/mtulia.jpg)
![BOMOA (11)](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/12/BOMOA-11.jpg)
9 years ago
Dewji Blog14 Dec
Mtemvu atinga Mahakama Kuu kusikiliza kesi yake ya kupinga matokeo ya uchaguzi
10 years ago
TheCitizen17 Mar
DP’s Mtikila moves to block introduction of Kadhi Court
11 years ago
Mwananchi20 Feb
Mtikila asisitiza kupinga Bunge la Katiba
11 years ago
Mwananchi26 Jan
Mchungaji Mtikila kufungua kesi kupinga Katiba Mpya
10 years ago
Mtanzania05 Sep
Mahakama ya Kadhi yazikwa
![Samia Hassan Suluhu](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/06/Samia-Hassan-Suluhu.jpg)
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano), Samia Suluhu Hassan
Rachel Mrisho, Dodoma
SUALA la Mahakama ya Kadhi ambalo lilizua mjadala mkali kwenye Kamati za Bunge la Bunge Maalumu la Katiba na kuundiwa kamati ndogo iliyoongozwa na Makamu Mwenyekiti wa Bunge hilo, Samia Suluhu Hasan, limezikwa rasmi.
Hali hiyo imejidhihirisha jana kutokana na kutozungumziwa katika uwasilishaji wa maoni ya walio wengi, wakati kamati hizo zikiwasilisha maoni yake juu ya sura ya tisa na 10.
Imedaiwa...
10 years ago
Mwananchi19 Jan
Mahakama ya Kadhi Utata
10 years ago
Mtanzania30 Mar
Mahakama ya Kadhi yawavuruga wabunge
Na Debora Sanja na Fredy Azzah, Dodoma
WABUNGE wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania jana nusura wazichape kavukavu baada ya kutofautiana juu ya uanzishwaji wa Mahakama ya Kadhi.
Hali hiyo ilijitokeza wakati wabunge hao wakiwa katika semina iliyohusu Muswada wa Sheria ya Mabadiliko ya Sheria Mbalimbali, ambapo miongoni mwa sheria zilizomo ndani yake ni pamoja na ile ya Mahakama ya Kadhi.
Sakati hilo lilitokea katika semina kuhusu muswada huo unaotarajiwa kuwasilishwa bungeni keshokutwa...