Mtikila asisitiza kupinga Bunge la Katiba
Mwenyekiti wa Chama cha DP, Mchungaji Christopher Mtikila, amesema mpango wake wa kwenda mahakamani ili kupinga mchakato wa Katiba Mpya, bado uko palepale na kwamba anajipanga.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi26 Jan
Mchungaji Mtikila kufungua kesi kupinga Katiba Mpya
11 years ago
Tanzania Daima09 Feb
Mtikila acharuka Bunge la Katiba
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia (DP), Mchungaji Christopher Mtikila, amesema atajiuzulu ujumbe katika Bunge Maalumu la Katiba na kwenda mahakamani kama wajumbe wenzake watakataa kuirejesha Tanganyika. Mchungaji Mtikila aliyeteuliwa na...
10 years ago
Mwananchi07 Sep
Mnyika asisitiza Bunge la Katiba kusitishwa
11 years ago
Mwananchi28 Feb
Mtikila, Makaidi, Kingunge ‘waliteka’ Bunge la Katiba
11 years ago
Habarileo03 Jun
Mwigulu kupinga Bunge la Katiba
MJADALA wa Bunge Maalumu la Katiba, umeanza kuibuka upya wakati Bunge la Bajeti likienda ukingoni ambapo Naibu Katibu Mkuu wa CCM, Tanzania Bara, Mwigulu Nchemba ameibuka na hoja ya kupinga nyongeza ya siku 60 za Bunge hilo.
10 years ago
Habarileo06 Sep
Uamuzi kupinga Bunge la Katiba Sept 15
MAHAKAMA Kuu ya Kanda ya Dar es Salaam, imepanga Septemba 15, mwaka huu, kutoa uamuzi wa pingamizi la awali lililowasilishwa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), dhidi ya ombi la kusimamishwa kwa vikao vya Bunge Maalumu la Katiba linaloendelea mkoani Dodoma.
10 years ago
Mtanzania25 Aug
Arfi kupinga Bunge la Katiba mahakamani
![Mbunge wa Mpanda Mjini, Said Arfi](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/Said-Arfi.jpg)
Mbunge wa Mpanda Mjini, Said Arfi
Na Elizabeth Hombo, Dodoma
MBUNGE wa Mpanda Mjini, Said Arfi (Chadema), amesema ana mpango wa kwenda mahakamani ili kupata ufafanuzi wa mahakama juu ya uhalali wa Bunge Maalumu la Katiba kuachana na Rasimu ya Tume ya Mabadiliko ya Katiba.
Hatua hiyo imekuja ikiwa ni siku chache tu baada ya mwandishi wa habari, Said Kubenea chini ya wakili, Peter Kibatala kufungua kesi mahakamani kutaka Bunge la Katiba lisitishwe.
Akizungumza na waandishi wa habari mjini hapa...
10 years ago
Mwananchi23 Sep
Mahakama yaridhia TLS kupinga Bunge la Katiba
11 years ago
Mwananchi15 Jun
Kesi kupinga Bunge la Katiba yahamia Dar