MBUNGE KINGU ATOA MISAADA MBALIMBALI JIMBONI KWAKE
Mbunge wa Jimbo la Singida Magharibi, Elibariki Kingu (kushoto) akimkabidhi Mkuu wa Wilaya ya Ikungi, Edward Mpogolo vifaa mbalimbali kwa ajili ya kupambana na Virusi vya Corona Wilayani humo jana. Kutoka kulia ni Mwenyekiti wa Chama Cha Mapindunzi (CCM) wa Wilaya hiyo, Mika Likapakapa na Mkurugenzi wa wilaya hiyo, Justice Kijazi.
Mkuu wa Wilaya ya Ikungi, Edward Mpogolo, akimshukuru Kingu baada ya kupokea msaada huo. Kutoka kulia ni Mwenyekiti wa Chama Cha Mapindunzi (CCM) wa Wilaya hiyo,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog18 Oct
Mbunge wa Arumeru Magharibi, Mkoa wa Arusha Godluck Ole Medeye atoa misaada jimboni kwake
Mbunge wa Arumeru Magharibi, mkoani Arusha Godluck Ole Medeye(kushoto) akitoa vifaa vya michezo kwa kiongozi wa timu ya Kitongoji cha Kazamoyo,Kata ya Bwawani kwaajili kuibua vipaji.
Mbunge wa Arumeru Magharibi, mkoani Arusha, Godluck Ole Medeye(kushoto) akitoa vifaa vya michezo kwa kiongozi wa timu ya Kitongoji cha Nyamagana ,Kata ya Bwawani kwaajili kuibua vipaji.
Mbunge wa Arumeru Magharibi,mkoani Arusha,Godluck Ole Medeye(kushoto) akitoa vifaa vya michezo kwa kiongozi wa timu ya...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ReE3FMZjLHM/VECKse3m5dI/AAAAAAAGrHU/6EDntWTqCp0/s72-c/unnamed%2B(17).jpg)
Ole Medeye atoa misaada Jimboni kwake
![](http://1.bp.blogspot.com/-ReE3FMZjLHM/VECKse3m5dI/AAAAAAAGrHU/6EDntWTqCp0/s1600/unnamed%2B(17).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-WF5B1DZ1MOo/VECKsm7lJqI/AAAAAAAGrHY/EkbLwElems0/s1600/unnamed%2B(18).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-aRF_YRUOmm4/VECKs1qQQGI/AAAAAAAGrHg/IKd_CCk0Cqo/s1600/unnamed%2B(19).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-cE-LwT2e-WA/VD_my_PCj2I/AAAAAAAADKk/celDBkufc10/s72-c/4.jpg)
MH. GODLUCK OLE MEDEYE ATOA MISAADA JIMBONI KWAKE
![](http://3.bp.blogspot.com/-cE-LwT2e-WA/VD_my_PCj2I/AAAAAAAADKk/celDBkufc10/s1600/4.jpg)
Mbunge wa Arumeru Magharibi,mkoani Arusha,Godluck Ole Medeye(kulia) akitoa msaada wa mabati kwa wananchi waliothiriwa na mafuriko jimboni kwake.
![](http://1.bp.blogspot.com/-FIYNhDoPzVk/VD_mqb6i5jI/AAAAAAAADKU/6TyKKbXAn5U/s1600/2.jpg)
Mbunge wa Arumeru Magharibi,mkoani Arusha,Godluck Ole Medeye(kushoto) akitoa vifaa vya michezo kwa kiongozi wa timu ya Kitongoji cha Nyamagana ,Kata ya Bwawani kwaajili kuibua vipaji.
![](http://2.bp.blogspot.com/--98tqQkdR20/VD_mnB-ha3I/AAAAAAAADKM/-gLdBkoCLGk/s1600/1.jpg)
10 years ago
Dewji Blog24 Sep
Dk. Tizeba atoa misaada kwa wahanga wa moto jimboni kwake
Naibu Waziri wa Uchukuzi ambaye pia ni mbunge wa jimbo la Buchosa, Dk Charles Tizeba akipanda boti kuelekea kisiwa cha Nyamango kulikotokea ajali ya moto kwa ajili ya kukabidhi misaada.
Na Daniel Makaka, Sengerema
NAIBU Waziri wa Uchukuzi ambaye pia ni Mbunge wa jimbo la Buchosa Dk Charles Tizeba ametoa msaada kwa wahanga wa ajali ya moto na nyumba zilizoezuliwa na mvua ya upepo katika kisiwa cha Nyamango kijiji cha Lushamba kata ya Bulyaheke jimbo la Buchosa wilayani Sengerema mkoa wa...
10 years ago
Michuzi24 Sep
DK. TIZEBA ATOA MISAADA KWA WAATHIRKA WA MOTO JIMBONI KWAKE
![SAM_0783](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/09/SAM_0783.jpg)
10 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/09/SAM_0783.jpg)
DK. TIZEBA ATOA MISAADA KWA WAHANGA WA MOTO JIMBONI KWAKE
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-s2eIaBaJ5BY/VOmqdoJYHVI/AAAAAAAHFKI/qJlt4cWjmRw/s72-c/unnamed%2B(1).jpg)
MBUNGE WA CHALINZE MHE. RIDHIWANI KIKWETE ATOA MSAADA WA CHAKULA KWA WAATHIRIKA WA MVUA JIMBONI KWAKE
![](http://2.bp.blogspot.com/-s2eIaBaJ5BY/VOmqdoJYHVI/AAAAAAAHFKI/qJlt4cWjmRw/s1600/unnamed%2B(1).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-PAz97aEjRUk/VOmqdss3pXI/AAAAAAAHFKM/wm4iniRsgsw/s1600/unnamed%2B(2).jpg)
5 years ago
MichuziMBUNGE KINGU ATOA MSAADA WA MABATI 60 UJENZI WA NYUMBA YA KATIBU WA UVCCM MKOA WA SINGIDA
5 years ago
MichuziMBUNGE KINGU ATOA SARUJI MIFUKO 30 KUSAIDIA UJENZI WA KANISA LA KKKT KATA YA SEPUKA
Mbunge wa Jimbo la Singida Magharibi, Elibariki Kingu (wa tatu kushoto)akikabidhi saruji mifuko 30 kwa ajili ya kusaidia ujenzi wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Musimi katika Kata ya Sepuka wilayani Ikungi jana.
Mbunge wa Jimbo la Singida Magharibi, Elibariki Kingu (kulia) akizungumza na wajumbe wa kamati ya ujenzi wa Zahanati ya Kijiji cha Kinyampembee wakati akikagua ujenzi wa Zahanati hiyo.
Mbunge wa Jimbo la Singida Magharibi, Elibariki Kingu, akishiriki...