MBUNGE KINGU ATOA SARUJI MIFUKO 30 KUSAIDIA UJENZI WA KANISA LA KKKT KATA YA SEPUKA
Mbunge wa Jimbo la Singida Magharibi, Elibariki Kingu (wa tatu kushoto)akikabidhi saruji mifuko 30 kwa ajili ya kusaidia ujenzi wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Musimi katika Kata ya Sepuka wilayani Ikungi jana.
Mbunge wa Jimbo la Singida Magharibi, Elibariki Kingu (kulia) akizungumza na wajumbe wa kamati ya ujenzi wa Zahanati ya Kijiji cha Kinyampembee wakati akikagua ujenzi wa Zahanati hiyo.
Mbunge wa Jimbo la Singida Magharibi, Elibariki Kingu, akishiriki...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziMBUNGE KINGU ATOA SARUJI MIFUKO 50 KUSAIDIA KUANZA UJENZI WA NYUMBA YA KATIBU WA UVCCM WILAYA YA IKUNGI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-5cMx_Kw0a6g/XlacpZS6oyI/AAAAAAAAkRY/02YuYxwZ48UDlt9PpRKvDRX_cfSe-HPlgCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
MBUNGE AYSHAROSE MATTEMBE ATOA MIFUKO 50 YA SARUJI KUSAIDIA UJENZI WA MADARASA MANYONI
![](https://1.bp.blogspot.com/-5cMx_Kw0a6g/XlacpZS6oyI/AAAAAAAAkRY/02YuYxwZ48UDlt9PpRKvDRX_cfSe-HPlgCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Singida, Mhe. Aysharose Mattembe, akikabidhi mifuko ya saruji kwa viongozi wa Wilaya ya Manyoni.
![](https://1.bp.blogspot.com/-fwuaQgiIKHs/XlacpTtk-RI/AAAAAAAAkRg/Rm-97ovfw0MHD0Rvja9mkWaG5fRYHH1kACLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200222-WA0088.jpg)
Muonekano meza kuu.
![](https://1.bp.blogspot.com/-tiPC0fWVT98/XlacpZ1e-VI/AAAAAAAAkRc/Oo3UD_ua0AQqjyfe5W-EPDz9I8mrYhl4gCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200222-WA0089.jpg)
Wazazi wa wanafunzi wa darasa la sita na la saba wa shule ya msingi Sayuni waliofika shuleni hapo kushuhudia makabidhiano ya mifuko ya saruji iliyotolewa na Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Singida, Mhe. Aysharose Mattembe.
![](https://1.bp.blogspot.com/-3jxBeIlzQ8Q/XlacqfMR-FI/AAAAAAAAkRk/tXAYsG9vSeEpbhuFzkqBmqRTTZJnps7CgCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200222-WA0094.jpg)
Wanafunzi wa darasa la sita na la saba wa Shule ya Msingi Sayuni, wakiwa katika picha ya pamoja Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-yLnL7vEcd8k/Va3lwgYCTRI/AAAAAAAASig/c91DBTiY86E/s72-c/11709601_10153511100892938_3918727445950212145_n.jpg)
NASSARI ASHIRIKI UJENZI WA DARAJA LA KWA POLE,ATOA MIFUKO 50 YA SARUJI NA VIPANDE 30 VYA NONDO.
![](http://2.bp.blogspot.com/-yLnL7vEcd8k/Va3lwgYCTRI/AAAAAAAASig/c91DBTiY86E/s640/11709601_10153511100892938_3918727445950212145_n.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-y95inVzkEnI/Va3lv1L-V-I/AAAAAAAASis/Q6aM8sHyWiE/s640/11705369_10153511102137938_5247209604509754294_n.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-NG_5yoVbSaM/Va3lw0sWAfI/AAAAAAAASik/ZxEJ3SGACRM/s640/11743007_10153511101427938_3598942863258596882_n.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-wYBksCO7x1g/Va3lut06rPI/AAAAAAAASiM/UsZXtK21beA/s640/11694771_10153511100737938_1941814336703242686_n.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-o-4T_zDr8YY/Va3lx7as-EI/AAAAAAAASiw/Tdwr5axdpMo/s640/11745459_10153511101932938_1915725732152340799_n.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-FTj9hxP2Hx0/Va3lu_CLaWI/AAAAAAAASiU/QbqV-fOrWeE/s640/11695987_10153511101752938_3529203723152088777_n.jpg)
5 years ago
MichuziMBUNGE KINGU ATOA MSAADA WA MABATI 60 UJENZI WA NYUMBA YA KATIBU WA UVCCM MKOA WA SINGIDA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-K3Q8zwIWm_M/XnzAuz-cH6I/AAAAAAALlK4/SDILuIz_qzc9WSMgOgVuuOMt0ZGuMubLACLcBGAsYHQ/s72-c/16fb722e-fb03-4955-a7db-e69eb9560f2f.jpg)
BENKI YA TPB YAKABIDHI MIFUKO 200 YA SARUJI KWA MBUNGE VITI MAALUM CCM KUKAMILISHA UJENZI WA MADARASA YA SHULE MKOANI RUKWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-K3Q8zwIWm_M/XnzAuz-cH6I/AAAAAAALlK4/SDILuIz_qzc9WSMgOgVuuOMt0ZGuMubLACLcBGAsYHQ/s640/16fb722e-fb03-4955-a7db-e69eb9560f2f.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-CKhNmnl7XZg/XnzAvRB0cxI/AAAAAAALlLA/FjP43vwrzqIGdg_Hi4ZFverU0LT27DvswCLcBGAsYHQ/s640/68e6f189-975b-4668-939d-2a9e70933b7d.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-DoY0D6OK0J0/XnzAvPurn5I/AAAAAAALlK8/dItvTUx8ev4yxEsdYbHRusxZkf6p7nxcgCLcBGAsYHQ/s640/22756c47-29a9-4b27-9784-a512f764c20a.jpg)
10 years ago
Habarileo25 May
Nasari atoa mifuko 320 ya saruji
MBUNGE wa Arumeru Mashariki, Joshua Nasari amechangia mifuko 320 ya saruji kwa ajili ya ukarabati wa chanzo cha maji kwenye mfereji wa Kipilipili na kuzuia upotevu wa maji uliopo baada ya kuharibika.
10 years ago
Mtanzania02 Apr
Meya atoa mifuko ya saruji 50 kukarabati bweni
Na Sheila Katikula, Mwanza
MEYA wa Halmashauri ya Jiji la Mwanza, Stanslaus Mabula ametoa mifuko ya saruji 50 yenye thamani ya Sh milion moja, kwa ajili ya ukarabati wa mabweni katika shule ya sekondari ya a Nsumba iliyopo jijini Mwanza.
Msaada huo, umetolewa jana kwenye mahafali ya 18 ya kidato cha sita ya shule hiyo, ambapo alimuagiza mkandarasi wa Jiji kukamilisha ujenzi huo.
Alisema lengo la kutoa msaada huo, ni kutokana na shule hiyo kuwa chakavu katika maeneo muhimu kama kwenye mabweni...
5 years ago
MichuziMBUNGE KINGU ATOA MISAADA MBALIMBALI JIMBONI KWAKE
Mbunge wa Jimbo la Singida Magharibi, Elibariki Kingu (kushoto) akimkabidhi Mkuu wa Wilaya ya Ikungi, Edward Mpogolo vifaa mbalimbali kwa ajili ya kupambana na Virusi vya Corona Wilayani humo jana. Kutoka kulia ni Mwenyekiti wa Chama Cha Mapindunzi (CCM) wa Wilaya hiyo, Mika Likapakapa na Mkurugenzi wa wilaya hiyo, Justice Kijazi.
Mkuu wa Wilaya ya Ikungi, Edward Mpogolo, akimshukuru Kingu baada ya kupokea msaada huo. Kutoka kulia ni Mwenyekiti wa Chama Cha Mapindunzi (CCM) wa Wilaya hiyo,...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JZqvYhLuz-c/XvLrTFpFCVI/AAAAAAALvJQ/j2Rc5xgsg_gxfU9RdT84FGwZRs5xg290wCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-23%2Bat%2B6.48.50%2BPM.jpeg)
DC NDEJEMBI AONGOZA ZOEZI LA UJENZI WA MSINGI SHULE YA SEKONDARI, ACHANGIA MIFUKO 10 YA SARUJI
Mkuu wa Wilaya ya Kongwa mkoani Dodoma, Deo Ndejembi hii leo ameongoza zoezi la uchimbaji msingi ujenzi wa Shule ya Sekondari katika Kata ya Chamkoroma wilayani humo ambayo ikikamilika itakua ikihudumia wanafunzi kutoka vijiji saba vya kata hiyo.
DC Ndejembi pia ameahidi kuchangia mifuko 10 ya Saruji ili kuwezesha kukamilika mapema kwa Shule hiyo ambayo itaenda kumaliza changamoto ya watoto wanaotembea umbali mrefu kwenda Shule ilipo.
Akizungumza na wananchi wa kata...