Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chelsea washindwa kutamba Ulaya

Chelsea walitoka sare tasa mechi yao ya Ligi ya Klabu Bingwa Ulaya ugenini dhidi ya Dynamo Kiev iliyochezwa Jumanne usiku.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Miyeyusho, Cheka washindwa kutamba

MABONDIA wa Tanzania, Francis Miyeyusho ‘Chichi Mawe’ na Francis Cheka ‘SMG’, juzi walishindwa kupeperusha vema bendera ya Tanzania katika mapambano yao ya kimataifa yaliyopigwa Ukumbi wa PTA Sabasaba jijini Dar...

 

11 years ago

Michuzi

MABONDIA CHEKA, MIYEYUSHO WASHINDWA KUTAMBA; KING CLASS MAWE AMSAMBARATISHA MUSTAFA DOTO

Bondia Francis  Cheka (kushoto) akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Gavad Zohrehvand wa Iran wakati wa mpambano wao wa kirafiki wa kimataifa uliofanyika katika ukumbi wa PTA Sabasaba Jumamosi jijini Dar es salaam. Mpambano huo uliamuliwa kwa droo ya kufungana point Bondia Francis  Cheka kushoto akipambana na Gavad Zohrehvand wa Iran wakati wa mpambano wao wa kirafiki wa kimataifa uliofanyika katika ukumbi wa PTA Sabasaba jijini Dar es salaam mpambano huo uliamuliwa kwa droo ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Manchester United, Chelsea zashindwa kutamba

Ndoto za Manchester United za kuzifukuzia Chelsea na Manchester City katika mbio za kusaka ubingwa zimeingia doa baada ya kulazimishwa kwenda suluhu na Tottenham Hotspurs.

 

10 years ago

BBCSwahili

Arsenal washindwa kusonga Ulaya

Pamoja na mabao 2-0 wakiwa ugenini katika mchezo uliopigwa usiku wa kuamkia leo, Arsenal washindwa kusonga mbele

 

9 years ago

MillardAyo

Headlines 10 za magazeti ya Ulaya, kabla ya Jose Mourinho kufukuzwa Chelsea …

Ikiwa ni siku tano zimepita toka uongozi wa bodi ya Chelsea utangaze kumfuta kazi aliyekuwa kocha mkuu wa klabu hiyo Jose Mourinho, mtu wangu wa nguvu naomba nikusogezee headlines 10 za magazeti ya Ulaya kabla ya Chelsea kuamua maamuzi ya kumfukuza kazi Jose Mourinho. Hii pia inatajwa kama dalili ya kocha wa sasa wa Man […]

The post Headlines 10 za magazeti ya Ulaya, kabla ya Jose Mourinho kufukuzwa Chelsea … appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

Habarileo

Stars yarejea na kutamba

TIMU ya soka ya Taifa, Taifa Stars, imerejea nchini alfajiri ya jana ikitokea Uturuki huku kocha wake mkuu Charles Mkwasa akisema hawaiogopi Nigeria.

 

9 years ago

BBCSwahili

Pellegrini: Aguero atarudi kutamba

Meneja wa Manchester City Manuel Pellegrini ameeleza matumaini yake kwamba Sergio Aguero ataanza kufunga tena mabao kwa wingi.

 

10 years ago

Mtanzania

Kadinda kutamba na ‘Kambale’ Afrika Kusini

martin_kadindaNA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM
MBUNIFU wa mavazi Tanzania, Martin Kadinda, anatarajia kuonyesha mitindo mbalimbali aliyoipa jina la ‘Kambale’ katika maonyesho maalumu yatakayojulikana kama wiki ya mavazi, nchini Afrika Kusini.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Kadinda ambaye aliondoka jijini jana jioni kuelekea Afrika Kusini, alisema mitindo hiyo itajumuisha mavazi ya kiume na viatu vyake vya ‘Mugat’
Alisema maonyesho hayo yamepangwa kuanza kufanyika Jumatano lakini yeye atapanda jukwaani...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani