Chelsea washindwa kutamba Ulaya
Chelsea walitoka sare tasa mechi yao ya Ligi ya Klabu Bingwa Ulaya ugenini dhidi ya Dynamo Kiev iliyochezwa Jumanne usiku.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima21 Apr
Miyeyusho, Cheka washindwa kutamba
MABONDIA wa Tanzania, Francis Miyeyusho ‘Chichi Mawe’ na Francis Cheka ‘SMG’, juzi walishindwa kupeperusha vema bendera ya Tanzania katika mapambano yao ya kimataifa yaliyopigwa Ukumbi wa PTA Sabasaba jijini Dar...
11 years ago
Michuzi20 Apr
MABONDIA CHEKA, MIYEYUSHO WASHINDWA KUTAMBA; KING CLASS MAWE AMSAMBARATISHA MUSTAFA DOTO
10 years ago
Mwananchi29 Dec
Manchester United, Chelsea zashindwa kutamba
10 years ago
BBCSwahili18 Mar
Arsenal washindwa kusonga Ulaya
9 years ago
MillardAyo22 Dec
Headlines 10 za magazeti ya Ulaya, kabla ya Jose Mourinho kufukuzwa Chelsea …
Ikiwa ni siku tano zimepita toka uongozi wa bodi ya Chelsea utangaze kumfuta kazi aliyekuwa kocha mkuu wa klabu hiyo Jose Mourinho, mtu wangu wa nguvu naomba nikusogezee headlines 10 za magazeti ya Ulaya kabla ya Chelsea kuamua maamuzi ya kumfukuza kazi Jose Mourinho. Hii pia inatajwa kama dalili ya kocha wa sasa wa Man […]
The post Headlines 10 za magazeti ya Ulaya, kabla ya Jose Mourinho kufukuzwa Chelsea … appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
Habarileo03 Sep
Stars yarejea na kutamba
TIMU ya soka ya Taifa, Taifa Stars, imerejea nchini alfajiri ya jana ikitokea Uturuki huku kocha wake mkuu Charles Mkwasa akisema hawaiogopi Nigeria.
9 years ago
BBCSwahili03 Jan
Pellegrini: Aguero atarudi kutamba
10 years ago
Mtanzania03 Feb
Kadinda kutamba na ‘Kambale’ Afrika Kusini
NA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM
MBUNIFU wa mavazi Tanzania, Martin Kadinda, anatarajia kuonyesha mitindo mbalimbali aliyoipa jina la ‘Kambale’ katika maonyesho maalumu yatakayojulikana kama wiki ya mavazi, nchini Afrika Kusini.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Kadinda ambaye aliondoka jijini jana jioni kuelekea Afrika Kusini, alisema mitindo hiyo itajumuisha mavazi ya kiume na viatu vyake vya ‘Mugat’
Alisema maonyesho hayo yamepangwa kuanza kufanyika Jumatano lakini yeye atapanda jukwaani...