Arsenal washindwa kusonga Ulaya
Pamoja na mabao 2-0 wakiwa ugenini katika mchezo uliopigwa usiku wa kuamkia leo, Arsenal washindwa kusonga mbele
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili21 Oct
Chelsea washindwa kutamba Ulaya
Chelsea walitoka sare tasa mechi yao ya Ligi ya Klabu Bingwa Ulaya ugenini dhidi ya Dynamo Kiev iliyochezwa Jumanne usiku.
9 years ago
BBCSwahili10 Dec
Arsenal wafuzu hatua ya muondoano Ulaya
Olivier Giroud alifungia Arsenal mabao matatu kwa mara yake ya kwanza na kuhakikisha Gunners wanaendeleza rekodi yao nzuri Ulaya kufika hatua ya 16 bora kwa kulaza Olympiakos.
10 years ago
Mwananchi16 Sep
Real, Liverpool, Arsenal vitani Ulaya
Real Madrid imeweka rekodi ya kutwaa taji hilo mara 10
Manchester, England. LReal Madrid ilikata kiu ya kusubiri ubingwa wa soka wa Ulaya kwa miaka 12 ilipotwaa taji hilo kwa mara ya kumi (la Decima) msimu uliopita.
11 years ago
Mwananchi11 Mar
Arsenal, City zasubiri muujiza Ulaya
Barcelona na Bayern Munich wana kazi ya kulinda ushindi wao wa mabao 2-0 waliopata kwenye mechi za kwanza za hatua ya 16 bora leo na kesho wakiwa kwenye viwanja vyao vya nyumbani.
9 years ago
BBCSwahili14 Dec
Arsenal wapewa Barca ligi ya mabingwa Ulaya
Arsenal ya Uingereza imepangwa na Barcelona ya Uhispania kwenye hatua ya 16 bora Ligi ya Klabu Bingwa Ulaya.
11 years ago
Mwananchi17 Dec
Man City kwa Barca, Arsenal kwa Bayern hapatoshi Ulaya
Manchester City watakuwa na kibarua kizito mbele ya Barcelona katika mechi za mtoano hatua ya 16 bora ya Ligi ya Mabingwa.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/O3p1FaWf5Ae4-ME0HyyFG6GSjM*fY7Bb5UU0TF9jAp9akA8E8H1fgqlxP-y0u**OKmoU-K0Eza-S1GaNagHIlEbt4WlPO7dc/wenger.jpg?width=650)
ARSENAL 'OUT' LIGI YA MABINGWA ULAYA
Arsene Wenger na benchi lake wakiwa hawaamini kilichotokea mbali na ushindi wao wa 2-0. KIKOSI cha Arsenal kimetupwa nje ya michuano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya licha ya ushindi wake wa mabao 2-0 iliyoupata ugenini dhidi ya Monaco ya Ufaransa usiku huu.Timu hiyo imeondolewa kwa bao la ugenini licha na matokeo ya jumla kuwa 3-3. Baadhi ya wachezaji na viongozi wa Monaco wakishangilia baada ya filimbi ya mwisho. Katika mchezo wa...
11 years ago
BBCSwahili19 Jun
Uholanzi kusonga mbele ,Brazil
Uholanzi yafuzu kwa mkondo wa pili wa kombe la dunia baada ya kuibana Australia 3-2
10 years ago
BBCSwahili18 Mar
Monaco hawakustahili kusonga mbele
Arsene Wenger anaamini timu ya Monaco haikustahili kusonga mbele kwenye ligi ya mabigwa ulaya.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania