Monaco hawakustahili kusonga mbele
Arsene Wenger anaamini timu ya Monaco haikustahili kusonga mbele kwenye ligi ya mabigwa ulaya.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
Bongo514 Feb
Juventus na Monaco mbele kwa mbele UEFA, Barca na Dortmund nje
Timu za Juventus na Monaco zimefanikiwa kufuzu katika hatua ya nusu fainali ya kombe la klabu bingwa barani Ulaya (Uefa) usiku wa Jumatano huku zikiungana na Real Madrid na Atletico Madrid ambazo zilifuzu katika hatua hiyo siku ya Jumanne.
Juventus imefanikiwa kuingia katika hatua hiyo kwa kuitoa Barcelona ya Hispania kwa jumla ya mabao 3-0 ambayo walishinda katika mchezo wao wa kwanza wiki iliyopita huku katika mchezo wa jana wakitoka sare ya 0-0.
Nao Monaco wametinga hatua hiyo kwa...
11 years ago
BBCSwahili19 Jun
Uholanzi kusonga mbele ,Brazil
11 years ago
BBCSwahili23 Jun
Oirigi aisaidia Ubeljiji kusonga mbele
11 years ago
BBCSwahili15 Jun
Iraq yawazuia wapiganaji kusonga mbele
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/ziNzC5xQUkE/default.jpg)
10 years ago
Dewji Blog19 Sep
Happy Birthday Mjengwablog kwa kutimiza miaka minane na mzidi kusonga mbele!
Ndugu zangu,
LEO ni Septemba 19, ni Siku ya Kuzaliwa Mtandao wa Mjengwablog.
Kwa mwanadamu, hakupaswi kuwapo na ukomo wa kujitahidi kufanya yalo mema kwa jamii yako.
Na katika kujitahidi kuyafanya yalo mema, basi, mwanadamu uwe tayari kukumbana na changamoto nyingi. Na kama ilivyo kwa maji ya mto, yanapokutana na mwamba, basi, kasi yake huongezeka maradufu.
Leo blogu yako hii ya Mjengwablog imetimiza miaka minane. Miaka minane si haba. Kwa mtoto, aweza kuwa darasa la Pili. Na kwetu wa...
11 years ago
Mwananchi29 Jun
awataka wasanii Bongo fleva kuwa makini na kuacha sifa ili kusonga mbele