Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Happy Birthday Mjengwablog kwa kutimiza miaka minane na mzidi kusonga mbele!

mjengwablog11

Ndugu zangu,

LEO ni Septemba 19, ni Siku ya Kuzaliwa Mtandao wa Mjengwablog.

Kwa mwanadamu, hakupaswi kuwapo na ukomo wa kujitahidi kufanya yalo mema kwa jamii yako.

Na katika kujitahidi kuyafanya yalo mema, basi, mwanadamu uwe tayari kukumbana na changamoto nyingi. Na kama ilivyo kwa maji ya mto, yanapokutana na mwamba, basi, kasi yake huongezeka maradufu.

Leo blogu yako hii ya Mjengwablog imetimiza miaka minane. Miaka minane si haba. Kwa mtoto, aweza kuwa darasa la Pili. Na kwetu wa...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

LIBENEKE LA MJENGWABLOG LATIMIZA MIAKA MINANE LEO

Ndugu zangu,
LEO ni Septemba 19, ni Siku ya Kuzaliwa Mtandao wa Mjengwablog.
Kwa mwanadamu, hakupaswi kuwapo na ukomo wa kujitahidi kufanya yalo mema kwa jamii yako.
Na katika kujitahidi kuyafanya yalo mema, basi, mwanadamu uwe tayari kukumbana na changamoto nyingi. Na kama ilivyo kwa maji ya mto, yanapokutana na mwamba, basi, kasi yake huongezeka maradufu.
Leo blogu yako hii ya Mjengwablog imetimiza miaka minane. Miaka minane si haba. Kwa mtoto, aweza kuwa darasa la Pili. Na kwetu wa...

 

10 years ago

Mwananchi

‘Happy Birthday’ Mzee Mwinyi, afikisha miaka 90

>Rais mstaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi maarufu kwa jina la ‘Mzee Ruksa’ leo anatimiza miaka 90. Bado ana nguvu, mchangamfu, mcheshi na anapopata fursa, anawafundisha Watanzania matumizi ya Kiswahili Sanifu na kutoa ushauri juu ya umuhimu wa elimu na kuishi kwa amani na ushirikiano bila ubaguzi kwa misingi ya dini na ukabila.

 

11 years ago

BBCSwahili

Uholanzi kusonga mbele ,Brazil

Uholanzi yafuzu kwa mkondo wa pili wa kombe la dunia baada ya kuibana Australia 3-2

 

10 years ago

BBCSwahili

Monaco hawakustahili kusonga mbele

Arsene Wenger anaamini timu ya Monaco haikustahili kusonga mbele kwenye ligi ya mabigwa ulaya.

 

11 years ago

BBCSwahili

Iraq yawazuia wapiganaji kusonga mbele

Jeshi la Iraq pamoja na wanamgambo wamekomboa sehemu ya ardhi kutoka wapiganaji Waislamu na kuwazuwia kusonga mbele

 

11 years ago

BBCSwahili

Oirigi aisaidia Ubeljiji kusonga mbele

Divock Origi aliifungia Ubeljiji bao la ushindi dhidi ya Urusi na kuisaidia kufuzu kwa raundi ya pili

 

11 years ago

Mwananchi

Baba wa miaka 54 aoa mtoto wa miaka minane

Polisi Wilaya ya Bunda, wanamshikilia baba mwenye umri wa miaka 54 kwa tuhuma kuoa mwanafunzi wa kike wa umri wa miaka minane.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani