Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Miyeyusho amsikilizia Mmarekani

BONDIA Francis Miyeyusho ‘Chichi Mawe’, anaendelea na mazoezi ya kujifua kwa pambano lake la kuwania ubingwa wa dunia wa WBF dhidi ya bondia kutoka Marekani. Miyeyusho alifuzu kucheza pambano hilo...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Miyeyusho ayayushwa

Pambano la bondia Francis Miyeyusho na Ronald  Pontillas wa Ufilipino lililokuwa lifanyike leo limeahirishwa hadi Aprili 12, kutokana na sababu ambazo ziko juu ya uwezo wa waandaaji.

 

11 years ago

Mwananchi

Miyeyusho ‘ayeyushwa’

>Serikali imelifuta rasmi pambano la ngumi la ubingwa wa dunia kati ya Francis Miyeyusho na Victor Chernous kutoka Ukraine.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mmarekani aliyejiunga na al-Shabab akamatwa

Raia wa Marekani ambaye alijiunga na kundi la wapiganaji wa Kiislamu wa al-Shabab nchini Somalia amekamatwa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mkenya na Mmarekani washinda Boston

Bingwa mtetezi wa mbio za Boston Marathon, Rita Jeptoo ameshinda mbio za Boston huku mmarekani Meb Keflezighi akishinda upande wa wanaume

 

11 years ago

Mwananchi

Mmarekani adakwa na dawa za kulevya

Kikosi cha Kudhibiti Dawa za Kulevya nchini, kimemtia mbaroni Raia wa Marekani, Kobina Danso (22) akiwa na kilo tatu za dawa za kulevya aina ya Heroine.

 

10 years ago

GPL

MMAREKANI NE-YO AMVULIA KOFIA DIAMOND

Musa Mateja
KIWANGO! Ndivyo unavyoweza kusema kufuatia staa mkubwa duniani, Shaffer Chimere Smith ‘Ne-yo’ kuukubali uwezo wa kimuziki alionao kijana kutoka Tandale, Dar es Salaam, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Ijumaa Wikienda linakupa mchapo kamili. kijana kutoka Tandale, Dar es Salaam, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ akiwa na ‘Ne-yo’. Kabla ya Mmarekani huyo aliyewahi...

 

11 years ago

Mwananchi

Miyeyusho kumvaa Mfilipino

Bondia Francis Miyeyusho amebadilishiwa mpinzani na sasa atazichapa na Ronald Pontillas wa Philippines badala ya Viktor Chernous wa Ukraine.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Miyeyusho kuzipiga na Mkenya

BONDIA Francis Miyeyusho, amewataka Watanzania kujitokeza kwa wingi kushuhudia pambano lake dhidi ya Mkenya, David Chalanga, litakalofanyika Ukumbi wa Msasani Club jijini Dar es Salaam, Desemba 31. Mabondia hao wanaotamba...

 

10 years ago

Mwananchi

Francis Miyeyusho ‘Chichimawe’

Mchezo wa ngumi ni miongoni mwa michezo iliyovuna idadi kubwa ya mashabiki ambao mara nyingi wamekuwa wakifurika katika kumbi mbalimbali nchini kushuhudia mabondia wanavyotupiana makonde klwa umahiri wa hali ya juu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani