Miyeyusho amsikilizia Mmarekani
BONDIA Francis Miyeyusho ‘Chichi Mawe’, anaendelea na mazoezi ya kujifua kwa pambano lake la kuwania ubingwa wa dunia wa WBF dhidi ya bondia kutoka Marekani. Miyeyusho alifuzu kucheza pambano hilo...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi05 Apr
Miyeyusho ayayushwa
Pambano la bondia Francis Miyeyusho na Ronald Pontillas wa Ufilipino lililokuwa lifanyike leo limeahirishwa hadi Aprili 12, kutokana na sababu ambazo ziko juu ya uwezo wa waandaaji.
11 years ago
Mwananchi07 Feb
Miyeyusho ‘ayeyushwa’
>Serikali imelifuta rasmi pambano la ngumi la ubingwa wa dunia kati ya Francis Miyeyusho na Victor Chernous kutoka Ukraine.
9 years ago
BBCSwahili07 Dec
Mmarekani aliyejiunga na al-Shabab akamatwa
Raia wa Marekani ambaye alijiunga na kundi la wapiganaji wa Kiislamu wa al-Shabab nchini Somalia amekamatwa.
11 years ago
BBCSwahili21 Apr
Mkenya na Mmarekani washinda Boston
Bingwa mtetezi wa mbio za Boston Marathon, Rita Jeptoo ameshinda mbio za Boston huku mmarekani Meb Keflezighi akishinda upande wa wanaume
11 years ago
Mwananchi25 Mar
Mmarekani adakwa na dawa za kulevya
Kikosi cha Kudhibiti Dawa za Kulevya nchini, kimemtia mbaroni Raia wa Marekani, Kobina Danso (22) akiwa na kilo tatu za dawa za kulevya aina ya Heroine.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bt5BWlmh0GbxOrvAE4yw3XGov34iuTuHZAVPHFwkmnb8eYTfPjOc*WGxeaEZaCp7Tgi9VLuHtcrRGKg--EbA1xetUBpXT4f4/DIAMOND.gif?width=650)
MMAREKANI NE-YO AMVULIA KOFIA DIAMOND
Musa Mateja
KIWANGO! Ndivyo unavyoweza kusema kufuatia staa mkubwa duniani, Shaffer Chimere Smith ‘Ne-yo’ kuukubali uwezo wa kimuziki alionao kijana kutoka Tandale, Dar es Salaam, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Ijumaa Wikienda linakupa mchapo kamili. kijana kutoka Tandale, Dar es Salaam, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ akiwa na ‘Ne-yo’. Kabla ya Mmarekani huyo aliyewahi...
11 years ago
Mwananchi04 Mar
Miyeyusho kumvaa Mfilipino
Bondia Francis Miyeyusho amebadilishiwa mpinzani na sasa atazichapa na Ronald Pontillas wa Philippines badala ya Viktor Chernous wa Ukraine.
11 years ago
Tanzania Daima17 Dec
Miyeyusho kuzipiga na Mkenya
BONDIA Francis Miyeyusho, amewataka Watanzania kujitokeza kwa wingi kushuhudia pambano lake dhidi ya Mkenya, David Chalanga, litakalofanyika Ukumbi wa Msasani Club jijini Dar es Salaam, Desemba 31. Mabondia hao wanaotamba...
10 years ago
Mwananchi17 Nov
Francis Miyeyusho ‘Chichimawe’
Mchezo wa ngumi ni miongoni mwa michezo iliyovuna idadi kubwa ya mashabiki ambao mara nyingi wamekuwa wakifurika katika kumbi mbalimbali nchini kushuhudia mabondia wanavyotupiana makonde klwa umahiri wa hali ya juu.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania