Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mkenya na Mmarekani washinda Boston

Bingwa mtetezi wa mbio za Boston Marathon, Rita Jeptoo ameshinda mbio za Boston huku mmarekani Meb Keflezighi akishinda upande wa wanaume

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Mmarekani Meritrea ashinda mbio Boston

Mmarekani mweusi, Meb Keflezighi, mzaliwa wa Eritrea ndiye mshindi wa mbio za nyika za Boston Marekani mwaka huu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Miyeyusho amsikilizia Mmarekani

BONDIA Francis Miyeyusho ‘Chichi Mawe’, anaendelea na mazoezi ya kujifua kwa pambano lake la kuwania ubingwa wa dunia wa WBF dhidi ya bondia kutoka Marekani. Miyeyusho alifuzu kucheza pambano hilo...

 

10 years ago

Vijimambo

MSIBA BOSTON NA TANZANIA


Msiba - BostonDada yetu Francisca Mwaluli amefiwa na mwanawe Kevin(19yrs) jana July-20th Dar-es-Salaam, Tanzania. Our dear sister Francisca Mwaluli is bereaved of her son who passed away yesterday, July 20th. May Kevin's soul Rest in Peace, Amen. Msiba upo nyumbani kwake 340 Centre St, Jamaica Plain. Pole sana my dear Francisca MwaluliMungu ailaze roho ya marehemu Kevin mahali pema peponi, Amen.




 

10 years ago

Michuzi

Msiba Boston Massachusetts

Familia ya ndugu Martin Kibusi na Steven kibusi inasikitika kutangaza kifo cha Mama yao mpendwa Lucia Kibusi kilichotokea August 15/2014 boston MA. Msiba upo nyumbani kwake Martin 364 Main st Apt 6 Reading, MA 01867.mipango ya kusafirisha mwili kwenda Tanzania inaendelea,tunaomba ushirikiano wenu wa hali na mali
kwa maelezo zaidi unaweza kuwasiliana naMartin Kibusi 16179436400Steven kibusi. 16173142910Margareth Pelelwa Shauri 7816326161Mapi Andrew Mwankemwa 857 251-8881 Vilevile unaweza...

 

10 years ago

Vijimambo

JUMUIYA YA WATANZANIA BOSTON.

Taarifa ya  mrejesho wa kikao cha wanachama cha tarehe 12/22/2014       
Wajumbe wamekubaliana kwa pamoja yafuatayo kama maazimio ya  jumuiya.
Kutakua na vikao vinne kwa mwaka na kila mwanachama anatakiwa walau ahudhurie vikao viwili ili kuweza kuthibitisha uanachama wake katika jumuiya,,tofauti na hapo atakua amejiondoa mwenyewe.Kujiunga katika jumuiya kama mwanachama ni hiari kwa wanachama wapya kama ilivyokua kwa wale wa mwanzo,sifa kuuni uwe Mtanzania unaeishi  MASSACHUSETTS USA na uweze...

 

10 years ago

GPL

MMAREKANI NE-YO AMVULIA KOFIA DIAMOND

Musa Mateja
KIWANGO! Ndivyo unavyoweza kusema kufuatia staa mkubwa duniani, Shaffer Chimere Smith ‘Ne-yo’ kuukubali uwezo wa kimuziki alionao kijana kutoka Tandale, Dar es Salaam, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Ijumaa Wikienda linakupa mchapo kamili. kijana kutoka Tandale, Dar es Salaam, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ akiwa na ‘Ne-yo’. Kabla ya Mmarekani huyo aliyewahi...

 

11 years ago

Mwananchi

Mmarekani adakwa na dawa za kulevya

Kikosi cha Kudhibiti Dawa za Kulevya nchini, kimemtia mbaroni Raia wa Marekani, Kobina Danso (22) akiwa na kilo tatu za dawa za kulevya aina ya Heroine.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mmarekani aliyejiunga na al-Shabab akamatwa

Raia wa Marekani ambaye alijiunga na kundi la wapiganaji wa Kiislamu wa al-Shabab nchini Somalia amekamatwa.

 

10 years ago

BBC

Africans dominant at Boston Marathon

Ethiopia's Lelisa Desisa and Kenya's Caroline Rotich win the men's and women's races respectively at the Boston Marathon.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani