Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mmarekani aliyejiunga na al-Shabab akamatwa

Raia wa Marekani ambaye alijiunga na kundi la wapiganaji wa Kiislamu wa al-Shabab nchini Somalia amekamatwa.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Mshukiwa wa Al Shabab akamatwa Kenya

Mshukiwa mmoja wa kundi la wapiganaji wa Al Shabab amekamatwa kufuatia shambulizi la kigaidi Kaskazini mwa Kenya

 

10 years ago

BBCSwahili

Kijana aliyejiunga na IS atoa onyo

Kijana mmoja raia wa Australia, aliyejiunga na kundi la wapiganaji wa IS ametoa onyo kwa Rais wa Marekani Barack Obama na waziri mkuu wa Australia

 

10 years ago

GPL

KIJANA ALIYEJIUNGA NA IS ATOA ONYO KWA MAREKANI

Baadhi ya watu wanaounga mkono wapiganaji wa IS nchini Iraq na Syria. Kijana  raia wa Australia, Abdullah Elmir 'Abu Khaled' aliyejiunga na kundi la wapiganaji wa IS wanaopigana nchini Iraq na Syria ameonekana kwenye kanda ya video. Katika kanda hiyo kijana huyo mwenye umri wa miaka 17 anawahutubia waziri mkuu wa Australia Tony Abbot pamoja na Rais wa Marekani Barack Obama.… ...

 

9 years ago

Bongo5

Rapper aliyejiunga na kundi la ISIS, Deso Dogg auawa, aliwahi kufanya ziara na DMX

dogg-deso-52797355e07f9Mfuasi wa kundi la kigaidi la ISIS na rapper wa zamani, Deso Dogg ameuwa nchini Syria, Oct. 16 baada ya kushambuliwa na ndege za kivita za Marekani. Deso Dogg ambaye alijulikana na pia kwa jina la Abu Talha al-Almani, aliwahi kufanya ziara DMX. Rapper huyo alizaliwa nchini Ujerumani kwa jina la Denis Cuspert kabla ya […]

 

11 years ago

Tanzania Daima

Miyeyusho amsikilizia Mmarekani

BONDIA Francis Miyeyusho ‘Chichi Mawe’, anaendelea na mazoezi ya kujifua kwa pambano lake la kuwania ubingwa wa dunia wa WBF dhidi ya bondia kutoka Marekani. Miyeyusho alifuzu kucheza pambano hilo...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mkenya na Mmarekani washinda Boston

Bingwa mtetezi wa mbio za Boston Marathon, Rita Jeptoo ameshinda mbio za Boston huku mmarekani Meb Keflezighi akishinda upande wa wanaume

 

11 years ago

Mwananchi

Mmarekani adakwa na dawa za kulevya

Kikosi cha Kudhibiti Dawa za Kulevya nchini, kimemtia mbaroni Raia wa Marekani, Kobina Danso (22) akiwa na kilo tatu za dawa za kulevya aina ya Heroine.

 

10 years ago

GPL

MMAREKANI NE-YO AMVULIA KOFIA DIAMOND

Musa Mateja
KIWANGO! Ndivyo unavyoweza kusema kufuatia staa mkubwa duniani, Shaffer Chimere Smith ‘Ne-yo’ kuukubali uwezo wa kimuziki alionao kijana kutoka Tandale, Dar es Salaam, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Ijumaa Wikienda linakupa mchapo kamili. kijana kutoka Tandale, Dar es Salaam, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ akiwa na ‘Ne-yo’. Kabla ya Mmarekani huyo aliyewahi...

 

11 years ago

BBCSwahili

Mmarekani Meritrea ashinda mbio Boston

Mmarekani mweusi, Meb Keflezighi, mzaliwa wa Eritrea ndiye mshindi wa mbio za nyika za Boston Marekani mwaka huu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani