Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rapper aliyejiunga na kundi la ISIS, Deso Dogg auawa, aliwahi kufanya ziara na DMX

dogg-deso-52797355e07f9Mfuasi wa kundi la kigaidi la ISIS na rapper wa zamani, Deso Dogg ameuwa nchini Syria, Oct. 16 baada ya kushambuliwa na ndege za kivita za Marekani. Deso Dogg ambaye alijulikana na pia kwa jina la Abu Talha al-Almani, aliwahi kufanya ziara DMX. Rapper huyo alizaliwa nchini Ujerumani kwa jina la Denis Cuspert kabla ya […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Adele akanusha kuwa aliwahi kukataa kufanya collabo na Beyonce

Wiki iliyopita jarida la Heat liliandika taarifa kuwa mwanamuziki wa Uingereza, Adele aliwahi kumkatalia Beyonce Knowles ombi la kufanya naye collabo, baada ya Bey kujaribu kumshawishi kwa mwaka mzima wafanye kazi.

Hit maker wa ‘Hello’, single iliyovunja rekodi mbalimbali amekanusha taarifa hizo.

Adele (27) amesema hawezi kumkosea heshima kiasi hicho Beyonce (34), kwasababu kwanza yeye ni shabiki wake.

“There’s a rumor going round that I turned Beyonce down. Just to clear up, I would never...

 

9 years ago

Bongo5

Naj aliwahi kufanya audition ya filamu za Harry Porter na kidogo apate

Naj

Naj aliwahi kufanya audition ya filamu za Harry Porter nchini Uingereza.

Naj

Muimbaji huyo alikiambia kipindi cha Chill na Sky kuwa alifanikiwa kuingia kwenye mzunguko wa pili.

“Walitangaza kwenye redio kipindi hicho mimi mdogo mama yangu anajua kabisa napenda sana movie. Tulienda pale sasa foleni, walikuwa wanatafuta msichana mmoja sasa wasichana age hiyo hiyo tulienda wengi nakuambia foleni,” alisema.

Anasema pamoja na kuwahi mapema asubuhi alijikuta akifanyiwa audition jioni.

Baada ya siku...

 

10 years ago

BBCSwahili

Uingereza kufanya uamuzi kuhusu ISIS

Waziri mkuu wa Uingereza David Cameron anawasihi wabunge kumruhusu kushambulia kundi la ISIS nchini Iraq

 

10 years ago

GPL

ISIS WAENDELEA KUFANYA MAUAJI YA KUTISHA HUKO SYRIA NA IRAQ

Mpiganaji wa ISIS akinyanyua tofali la zege kumpiga mmoja wa wanaume waliokamatwa kwa kuua wanawake. Adhabu ya kuwapiga mawe wanaume waliokamatwa kwa mauaji ya wanawake watatu ikiendelea huko Iraq. Mmoja wa watuhumiwa wa uchawi akiwa tayari kuchinjwa na Kundi la ISIS huko Raqqa, Syria.…

 

9 years ago

BBCSwahili

Kiongozi wa kundi la waasi auawa Syria

Kiongozi wa kundi moja kuu la waasi nchini Syria ameuawa kwenye shambulio la angani katika viunga vya mji wa Damascus.

 

9 years ago

Bongo5

Madee aeleza sababu za Mb Dogg kushindwa kufanya vizuri baada ya kuondoka Tip Top

MB-DOGG

MB Dogg ni miongoni mwa majina yaliyoshiriki kwenye kuichora ramani iliyotumika kwenye ujenzi wa kiwanda ya muziki wa Bongo fleva miaka kadhaa iliyopita. Hits zake kama Latifah, Si uliniambia, Inamaana na zingine zilimuweka kwenye nafasi za juu kipindi hicho akiwa chini ya Tip Top Connection.

MB-DOGG

Hivi sasa jina la MB Dogg liko kwenye orodha ya wasanii wa zamani walioshindwa kurudi na kukaa kwenye nafasi zao, na msanii mwenzake Madee wa Tip Top anaifahamu sababu iliyomkwamisha MB Dogg ashindwe...

 

10 years ago

Bongo5

Rich Mavoko kufanya collabo na rapper Rabbit wa Kenya

Ikiwa haijafikisha hata wiki tatu tangu video yake ya ‘Pacha Wangu’ itoke, Rich Mavoko ameanza kula matunda ya wimbo wake mpya huo. Msanii huyo anatarajia kufanya collabo kuwa na rapper wa Kenya, Rabbit aka Kaka Sungura. Kupitia akaunti yake ya Instagram, Mavoko ametease kava ya ngoma hiyo. “Rabbit ni msanii mkubwa sana wa hiphop toka […]

 

10 years ago

Bongo5

Iggy Azalea aonesha dalili za kutotaka kufanya collabo na Snoop Dogg, aachia single mpya ‘Beg For It’ (Audio)

Inavyoonekana rapper wa ‘Fancy’ Iggy Azalea licha ya kumsamehe Snoop Dogg, lakini bado kuna kitu ameshikilia moyoni mwake. Rapper huyo wa Australia alipotua uwanja wa ndege wa Los Angeles Alhamisi usiku aliulizwa na paparazzi wa TMZ kama anaweza kuja kufanya collabo na Snoop baada ya beef yao ya hivi karibuni, na jibu la Iggy lilikuwa […]

 

9 years ago

Bongo5

Joh Makini ataja ma-rapper wanne wa kimataifa anaotamani kufanya nao collabo

weusi1 (1)

‘Don’t Bother’ imetimiza moja ya ndoto alizokuwa nazo rapa wa Weusi, Joh Makini za kuja kufanya collabo na rapa wa Afrika Kusini Kiernan Jarryd Forbes a.k.a AKA.

weusi1 (1)

Joh Makini amewataja ma-rapper aliokuwa, na ambao bado anatamani kuja kufanya nao collabo pindi fursa hiyo itakapojitokeza, akiwemo AKA ambaye tayari amefanikiwa kufanya naye ‘Don’t Bother’ inayofanya vizuri kwa sasa.

“Unajuaga kunakuwaga na watu wako flani ambao unawaskilizaga pia na unapenda wanachokifanya kwamba siku ikitokea ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani