Uingereza kufanya uamuzi kuhusu ISIS
Waziri mkuu wa Uingereza David Cameron anawasihi wabunge kumruhusu kushambulia kundi la ISIS nchini Iraq
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uX0ODFdMLadPkBmjBOvf3uP3diX7LV78B9S04sPXz9LunPfV45jsAbKru*v9DXf8PWBJ7g6NWDh82YkiIy3jViosVo-oy*Ug/1.jpg)
ISIS WAENDELEA KUFANYA MAUAJI YA KUTISHA HUKO SYRIA NA IRAQ
Mpiganaji wa ISIS akinyanyua tofali la zege kumpiga mmoja wa wanaume waliokamatwa kwa kuua wanawake. Adhabu ya kuwapiga mawe wanaume waliokamatwa kwa mauaji ya wanawake watatu ikiendelea huko Iraq. Mmoja wa watuhumiwa wa uchawi akiwa tayari kuchinjwa na Kundi la ISIS huko Raqqa, Syria.…
9 years ago
Bongo531 Oct
Rapper aliyejiunga na kundi la ISIS, Deso Dogg auawa, aliwahi kufanya ziara na DMX
![dogg-deso-52797355e07f9](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/10/dogg-deso-52797355e07f9-94x94.jpg)
11 years ago
Mwananchi26 Mar
DIRA: Kikwete na woga wa kufanya uamuzi mgumu
>Wakati Rais Jakaya Kikwete akifungua Bunge Maalumu la Katiba wiki iliyopita mjini Dodoma alisema kuwa asingependa kuona muundo wa Serikali tatu ukitokea wakati bado akiwa madarakani.
11 years ago
BBCSwahili14 Jan
Uamuzi wa wamisri kuhusu katiba mpya
Watu nchini Misri wameanza kupigia kura ya maamuzi katiba mpya huku hali ya usalama ikiwa imedhibitiwa vikali.
9 years ago
Mwananchi10 Sep
Uamuzi wa Papa kuhusu ndoa wapongezwa
Uamuzi wa Papa Francis kulegeza masharti ya utaratibu wa kubatilisha ndoa kwa waumini wa kanisa hilo umepokewa kwa hisia tofauti.
9 years ago
BBCSwahili02 Dec
Mahakama Uturuki yaitisha uamuzi kuhusu Gollum
Mahakama moja nchini Uturuki imeagiza uchunguzi ufanywe kubaini sifa za mhusika mmoja katika filamu za Lord of the Rings ajulikanaye kama Gollum.
10 years ago
BBCSwahili01 Dec
Uamuzi wasubiriwa kuhusu rufaa ya Lubanga ICC
Mahakama ya kimataifa ya ICC mjini Hague inatarajiwa kutangaza uamuzi wake leo kuhusu rufaa iliyowasilishwa na mtu wa kwanza kuhukumiwa na mahakama hio Thomas Lubanga
10 years ago
Habarileo27 Dec
Bakwata yahimiza kuheshimiwa uamuzi wa JK kuhusu Escrow
BARAZA Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) limewataka Watanzania kuheshimu uamuzi wa Rais Jakaya Kikwete na mamlaka zinazohusika kuhusu suala la akaunti ya Tegeta Escrow.
10 years ago
Vijimambo08 Dec
Balozi Kamau azungumzia uamuzi wa ICC kuhusu Kenyatta
![](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/k294ObMj-v_yMyCiLy6AcaaySYJcJDWPavlXWLjWRh_GHUfqZxEY4K-fbMqrTmCvpqNBHfaYcSKBGnpX9E-ZUYvGxd-BXOxLTDavLadkWZnPbCsrKsYRO0mDuSmHV1C0eVE8tGv-wqI4D_32ukkh6ANXYuK9nDpC3g=s0-d-e1-ft#http://www.unmultimedia.org/radio/kiswahili/wp-content/uploads/2014/10/Macharia-kamau-2-300x257.jpg)
Kenya katika
Umoja wa Mataifa
Balozi Macharia
Kamau.
(Picha ya UM/Mark Garten)
Siku ya Ijumaa tarehe Tano Disemba mwaka 2014, mahakama ya kimataifa ya uhalifu, ICC huko The Hague, Uholanzi ilitupilia mbali mashtaka dhidi ya Uhuru Kenyatta. Mwendesha Mashtaka Mkuu Fatou Bensouda alieleza kuwa uamuzi huo unazingatia kuwa hawana ushahidi wa kutosha wa kuweza kuthibisha pasipo shaka mashtaka matano yaliyokuwa yanamkabili Kenyatta. Kufuatia uamuzi huo, Joseph Msami wa Idhaa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania