Naj aliwahi kufanya audition ya filamu za Harry Porter na kidogo apate
Naj aliwahi kufanya audition ya filamu za Harry Porter nchini Uingereza.
Muimbaji huyo alikiambia kipindi cha Chill na Sky kuwa alifanikiwa kuingia kwenye mzunguko wa pili.
“Walitangaza kwenye redio kipindi hicho mimi mdogo mama yangu anajua kabisa napenda sana movie. Tulienda pale sasa foleni, walikuwa wanatafuta msichana mmoja sasa wasichana age hiyo hiyo tulienda wengi nakuambia foleni,” alisema.
Anasema pamoja na kuwahi mapema asubuhi alijikuta akifanyiwa audition jioni.
Baada ya siku...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo523 Nov
Chill na Sky: Naj azungumzia alivyoanza muziki, kufanya audition ya Harry Porter, uhusiano wake na Mr Blue nk (Audio)
![12070616_1731677777055440_798838554_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/12070616_1731677777055440_798838554_n-300x194.jpg)
Wiki hii kwenye Chill na Sky, Fredrick ‘Skywalker’ amepiga story na Naj aliyeachia video yake ya ‘No Going Home’ mwishoni mwa wiki iliyopita. Kwenye kipindi hiki Naj amezungumzia historia yake, alivyoanza muziki, alivyoshiriki kwenye audition za filamu ya Harry Porter, uhusiano wake na Mr Blue na mambo mengi.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali...
9 years ago
Bongo528 Sep
Kitabu kipya cha Harry Porter kipo njiani, kitakuwa cha bure
9 years ago
Bongo518 Nov
Adele akanusha kuwa aliwahi kukataa kufanya collabo na Beyonce
![](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Adele-na-Beyonce-300x194.jpg)
Wiki iliyopita jarida la Heat liliandika taarifa kuwa mwanamuziki wa Uingereza, Adele aliwahi kumkatalia Beyonce Knowles ombi la kufanya naye collabo, baada ya Bey kujaribu kumshawishi kwa mwaka mzima wafanye kazi.
Hit maker wa ‘Hello’, single iliyovunja rekodi mbalimbali amekanusha taarifa hizo.
Adele (27) amesema hawezi kumkosea heshima kiasi hicho Beyonce (34), kwasababu kwanza yeye ni shabiki wake.
“There’s a rumor going round that I turned Beyonce down. Just to clear up, I would never...
9 years ago
Bongo531 Oct
Rapper aliyejiunga na kundi la ISIS, Deso Dogg auawa, aliwahi kufanya ziara na DMX
![dogg-deso-52797355e07f9](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/10/dogg-deso-52797355e07f9-94x94.jpg)
11 years ago
Bongo514 Jul
Mwigizaji wa filamu ya Harry Potter ‘Dave Legeno’ afariki akiwa na miaka 50
10 years ago
Vijimambo25 Dec
HII STORI NI YA MUDA KIDOGO LAKINI NIMEONELEA NIIWEKE HAPA NA WEWE UIPITIE KIDOGO
![](http://freemedia.co.tz/daima/wp-content/uploads/2014/12/marathon.jpg)
MBIO za Uhuru Marathon msimu wa pili zilizofanyika jana kwenye viwanja vya Leaders Club, kwa kiasi fulani zilitiwa dosari kutokana na baadhi ya wanariadha kushutumiana kwa mambo ya kishirikina.
Tukio hilo la...
11 years ago
IPPmedia04 Aug
From a porter to a tour operator
IPPmedia
IPPmedia
Who said hard working, patience and always dreaming for a bright future does not pay? This statement is also true for a Moshi town based tour operator Sifael Hariohay who 15 years ago was a porter carrying tourists' luggage along Mount Kilimanjaro and ...
10 years ago
Mwananchi05 Oct
Msanii wa filamu aliyeamua kufanya kweli kwenye uchungaji
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/saEvSFZMI0lwRQG-ET4chEeBGWFBhMi471doVc8Pfzul9jnR0mbLAeox1x-*th6qnJ9Et4*PKBiqVcvuVP7fi6asisBuN67Y/1380173_631007213622695_1575456823_n.jpg?width=650)
MR. NICE APATA SHAVU LA KUFANYA FILAMU NCHNI DENMARK