Adele akanusha kuwa aliwahi kukataa kufanya collabo na Beyonce
Wiki iliyopita jarida la Heat liliandika taarifa kuwa mwanamuziki wa Uingereza, Adele aliwahi kumkatalia Beyonce Knowles ombi la kufanya naye collabo, baada ya Bey kujaribu kumshawishi kwa mwaka mzima wafanye kazi.
Hit maker wa ‘Hello’, single iliyovunja rekodi mbalimbali amekanusha taarifa hizo.
Adele (27) amesema hawezi kumkosea heshima kiasi hicho Beyonce (34), kwasababu kwanza yeye ni shabiki wake.
“There’s a rumor going round that I turned Beyonce down. Just to clear up, I would never...
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLKAKOBE ALIWAHI KUWA MWANAMUZIKI
9 years ago
Bongo511 Dec
Naj aliwahi kufanya audition ya filamu za Harry Porter na kidogo apate
Naj aliwahi kufanya audition ya filamu za Harry Porter nchini Uingereza.
Muimbaji huyo alikiambia kipindi cha Chill na Sky kuwa alifanikiwa kuingia kwenye mzunguko wa pili.
“Walitangaza kwenye redio kipindi hicho mimi mdogo mama yangu anajua kabisa napenda sana movie. Tulienda pale sasa foleni, walikuwa wanatafuta msichana mmoja sasa wasichana age hiyo hiyo tulienda wengi nakuambia foleni,” alisema.
Anasema pamoja na kuwahi mapema asubuhi alijikuta akifanyiwa audition jioni.
Baada ya siku...
9 years ago
Bongo531 Oct
Rapper aliyejiunga na kundi la ISIS, Deso Dogg auawa, aliwahi kufanya ziara na DMX
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Danile Moi: Je wajua rais mstaafu aliwahi kuwa mchungaji wa mbuzi?
9 years ago
GPL16 Sep
10 years ago
MichuziChifu Wanzagi akanusha taarifa zilizoandikwa kuwa Makongoro hatoshi kuwa Rais
10 years ago
Vijimambo26 Feb
MBUNGE KENYA AMFUKUZA KAZI MFANYAKAZI WAKE BAADA YA KUKATAA KUFANYA NAE MAPENZI
Sacking people through texts its nothing new.
Recently Juja MP Francis Munyua Waititu sacked one of his employees Susan Wambui through text.
But that is not the shocking part…
The Juja Member of Parliament is believed to have demanded sex from Wambui and when she did not agree to his demands, he gave her the sack via text.
Wambui who works as a secretary at the Juja CDF Offices shared the texts sent to her by the Juja MP on...
10 years ago
Bongo512 Dec
Nyimbo 2 za Nicki Minaj zavuja siku chache kabla ya album yake kutoka, moja ni collabo yake na Beyonce (zisikilize)
11 years ago
Mwananchi23 Jul
Molloimet: Kukataa serikali tatu, CCM ijiandae kuwa chama cha upinzani