Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Adele akanusha kuwa aliwahi kukataa kufanya collabo na Beyonce

Wiki iliyopita jarida la Heat liliandika taarifa kuwa mwanamuziki wa Uingereza, Adele aliwahi kumkatalia Beyonce Knowles ombi la kufanya naye collabo, baada ya Bey kujaribu kumshawishi kwa mwaka mzima wafanye kazi.

Hit maker wa ‘Hello’, single iliyovunja rekodi mbalimbali amekanusha taarifa hizo.

Adele (27) amesema hawezi kumkosea heshima kiasi hicho Beyonce (34), kwasababu kwanza yeye ni shabiki wake.

“There’s a rumor going round that I turned Beyonce down. Just to clear up, I would never...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

KAKOBE ALIWAHI KUWA MWANAMUZIKI

Na Elvan Stambuli
Mjue huyu ni safu mpya ambayo  itakuwa  inahusisha watu maarufu ambao watakuwa wakihojiwa na waandishi wetu wakielezea historia yao tangu wakiwa wadogo hadi kuwa maarufu.  Askofu Mkuu wa  Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship (F.G.B.F), Zachary Kakobe. Tunaanza na Askofu Mkuu wa  Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship (F.G.B.F), Zachary Kakobe ambaye amefanikiwa kuanzisha kanisa hilo ambalo...

 

9 years ago

Bongo5

Naj aliwahi kufanya audition ya filamu za Harry Porter na kidogo apate

Naj

Naj aliwahi kufanya audition ya filamu za Harry Porter nchini Uingereza.

Naj

Muimbaji huyo alikiambia kipindi cha Chill na Sky kuwa alifanikiwa kuingia kwenye mzunguko wa pili.

“Walitangaza kwenye redio kipindi hicho mimi mdogo mama yangu anajua kabisa napenda sana movie. Tulienda pale sasa foleni, walikuwa wanatafuta msichana mmoja sasa wasichana age hiyo hiyo tulienda wengi nakuambia foleni,” alisema.

Anasema pamoja na kuwahi mapema asubuhi alijikuta akifanyiwa audition jioni.

Baada ya siku...

 

9 years ago

Bongo5

Rapper aliyejiunga na kundi la ISIS, Deso Dogg auawa, aliwahi kufanya ziara na DMX

dogg-deso-52797355e07f9Mfuasi wa kundi la kigaidi la ISIS na rapper wa zamani, Deso Dogg ameuwa nchini Syria, Oct. 16 baada ya kushambuliwa na ndege za kivita za Marekani. Deso Dogg ambaye alijulikana na pia kwa jina la Abu Talha al-Almani, aliwahi kufanya ziara DMX. Rapper huyo alizaliwa nchini Ujerumani kwa jina la Denis Cuspert kabla ya […]

 

5 years ago

BBCSwahili

Danile Moi: Je wajua rais mstaafu aliwahi kuwa mchungaji wa mbuzi?

Leo ni siku ya mazishi ya aliekuwa rais wa pili wa Kenya Daniel Arap Moi huko Kabarak nchini Kenya. Katika eneo la Sacho, alikozaliwa na kulelewa Daniel Arap Moi watu wa eneo hilo wanamkumbka vipi?

 

10 years ago

Michuzi

Chifu Wanzagi akanusha taarifa zilizoandikwa kuwa Makongoro hatoshi kuwa Rais

 Chifu wa Kabila la Wazanaki Japhet Wanzagi (wapili toka kulia)i akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) juu ya alichotaja kuwa ni upotoshwaji uliofanywa na gazeti moja la kila siku kuhusu taarifa za kutaja sifa za rais ajaye na kumponda Makongoro Nyerere kuwa hatoshi kwa nafasi ya Urais alidai taarifa za  kumponda Makongoro Nyerere kuwa hatoshi kwa nafasi ya Urais si za kweli bali amelishwa maneno).Wengine ni baaadhi ya wanafamilia na rafiki wa chifu huyo mapaema hii leo...

 

10 years ago

Vijimambo

MBUNGE KENYA AMFUKUZA KAZI MFANYAKAZI WAKE BAADA YA KUKATAA KUFANYA NAE MAPENZI

Susan Wambui MainaJuja MP Francis Munyua Waititu       Susan Wambui Maina              Juja MP Francis Munyua Waititu
Sacking people through texts its nothing new.
Recently Juja MP Francis Munyua Waititu sacked one of his employees Susan Wambui through text.

But that is not the shocking part…
The Juja Member of Parliament is believed to have demanded sex from Wambui and when she did not agree to his demands, he gave her the sack via text.
Wambui who works as a secretary at the Juja CDF Offices shared the texts sent to her by the Juja MP on...

 

10 years ago

Bongo5

Nyimbo 2 za Nicki Minaj zavuja siku chache kabla ya album yake kutoka, moja ni collabo yake na Beyonce (zisikilize)

Ikiwa ni siku 4 zimesalia kabla album ya Nicki Minaj iitwayo ‘The Pinkprint’ itoke, nyimbo mbili kutoka kwenye album hiyo zimevuja. Moja ya nyimbo hizo ni collabo yake na Beyonce ‘Feeling Myself’, wimbo ambao wote wawili wamezungumzia mafanikio yao. Wimbo mwingine uliovuja kutoka kwenye album hiyo ni ‘Get On Your Knees’ aliomshirikisha Ariana Grande. The […]

 

11 years ago

Mwananchi

Molloimet: Kukataa serikali tatu, CCM ijiandae kuwa chama cha upinzani

Agosti 5 mwaka huu, wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wanatarajiwa kuanza kukutana tena mjini Dodoma kujadili rasimu ya mabadiliko ya Katiba.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani