Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KAKOBE ALIWAHI KUWA MWANAMUZIKI

Na Elvan Stambuli
Mjue huyu ni safu mpya ambayo  itakuwa  inahusisha watu maarufu ambao watakuwa wakihojiwa na waandishi wetu wakielezea historia yao tangu wakiwa wadogo hadi kuwa maarufu.  Askofu Mkuu wa  Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship (F.G.B.F), Zachary Kakobe. Tunaanza na Askofu Mkuu wa  Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship (F.G.B.F), Zachary Kakobe ambaye amefanikiwa kuanzisha kanisa hilo ambalo...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Adele akanusha kuwa aliwahi kukataa kufanya collabo na Beyonce

Wiki iliyopita jarida la Heat liliandika taarifa kuwa mwanamuziki wa Uingereza, Adele aliwahi kumkatalia Beyonce Knowles ombi la kufanya naye collabo, baada ya Bey kujaribu kumshawishi kwa mwaka mzima wafanye kazi.

Hit maker wa ‘Hello’, single iliyovunja rekodi mbalimbali amekanusha taarifa hizo.

Adele (27) amesema hawezi kumkosea heshima kiasi hicho Beyonce (34), kwasababu kwanza yeye ni shabiki wake.

“There’s a rumor going round that I turned Beyonce down. Just to clear up, I would never...

 

5 years ago

BBCSwahili

Danile Moi: Je wajua rais mstaafu aliwahi kuwa mchungaji wa mbuzi?

Leo ni siku ya mazishi ya aliekuwa rais wa pili wa Kenya Daniel Arap Moi huko Kabarak nchini Kenya. Katika eneo la Sacho, alikozaliwa na kulelewa Daniel Arap Moi watu wa eneo hilo wanamkumbka vipi?

 

10 years ago

Mwananchi

Fundi bomba mwenye ndoto ya kuwa mwanamuziki mashuhuri

“Msanii mdogo kutoka ni kazi sana hatukubaliki kirahisi, inahitaji nguvu ya ziada na fedha kama huna fedha ndiyo kabisa hutasomeka kwenye vyombo vya habari”.

 

9 years ago

Bongo5

Mzee Yusuf: Nimeshachoka kuwa mwanamuziki wa Tanzania pekee

Mzee Yusuf

Staa wa muziki wa Taarab, Mzee Yussuf amesema tayari ameshafanya yote makubwa katika muziki wake hapa nyumbani hivyo anaanza kutanua muziki wake kimataifa zaidi.

Mzee Yusuf

Muimbaji huyo aliyeshoot video ya wimbo wake mpya Hewala aliomshirikisha Vanessa Mdee nchini Afrika Kusini, ameiambia Bongo5 kuwa kazi hiyo anaihesabu kama ndiyo kazi yake ya kwanza katika safari yake ya mafanikio.

“Tayari kila kitu nimeshafanya hapa nyumbani na Tanzania inanitambua,” alisema.

“Nimesema niache hapo nilipoishia...

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Mwanamuziki wa Bongo Flava nchini Tanzania athibitisha kuwa na maambukizi ya virusi

Mwanamuziki wa Bongo Flava nchini Tanzania Mwana FA amesema aligundulika kuwa ana maambukizi baada ya kurudi kutoka Afrika Kusini.

 

11 years ago

Bongo Movies

Mwanamuziki Msami akiri kuwa mpenzi wa Uwoya, azungumzia tofauti ya umri na mipango yao

Mkali wa Sound Track ambaye pia ni mkali wa kuvunja (dancer) amezungumzia uhusiano wake na muigizaji mrembo wa Bongo Movies, Irene Uwoya.

Akiongea na tovuti ya Times Fm, Msami alizunguka sana mbuyu kutaka kutoa maelezo kuhusu ukweli wa mambo kati ya wawili hao lakini kwa mara ya kwanza aliamua kuiambia tovuti ya Times Fm kauli yake kutokana na jinsi alivyoulizwa.

“Kaongea kwa upole huyu jamaa, kaapproach ili apate jibu. Ni kweli (kicheko)…nimekuridhisha lakini, nimeamua kukuridhisha.”...

 

5 years ago

BBCSwahili

Abigail Chamungwana: Mwanamuziki mwenye umri mdogo aliye na ndoto ya kuwa Daktari bingwa wa upasuaji moyo wa watoto

Abigail Chamungwana anasoma masomo ya sayansi yaani Fizikia, Kemia, Baiolojia na Hesabu kwa sababu mbali na kuwa mwanamuziki anataka kuwa Daktari bingwa wa upasuaji wa moyo wa watoto.

 

5 years ago

BBCSwahili

Idara ya usalama ya Rwanda imethibitisha kuwa inamshikilia mwanamuziki nyota nchini Rwanda, Kizito Mihigo

Mwanamuziki mashuhuri nchini Rwanda Kizito Mihigo alikamatwa akidaiwa kujaribu kuvuka mpaka kuingia Burundi kinyume cha sheria.

 

10 years ago

GPL

KAKOBE- 4

Makala: Elvan Stambuli
Naendelea kuwaletea mazungumzo kati yangu na Askofu Zakary Kakobe baada ya kuanza kufanya mikutano ya uponyaji na kawaida maeneo mbalimbali. Kwa siku 256 tu kuanzia Januari 5, 2007 nikianzia Mlali Morogoro na kumalizia Septemba 17, 2007 huko Ngerengere mkoani Morogoro, baadhi ya mikoa nilikuwa nafanya mikutano hadi mitatu kwa siku.
Mwandishi: Ni mikutano mingi sana, yote ilikuwa ya miujiza? Askofu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani