Mzee Yusuf: Nimeshachoka kuwa mwanamuziki wa Tanzania pekee
Staa wa muziki wa Taarab, Mzee Yussuf amesema tayari ameshafanya yote makubwa katika muziki wake hapa nyumbani hivyo anaanza kutanua muziki wake kimataifa zaidi.
Muimbaji huyo aliyeshoot video ya wimbo wake mpya Hewala aliomshirikisha Vanessa Mdee nchini Afrika Kusini, ameiambia Bongo5 kuwa kazi hiyo anaihesabu kama ndiyo kazi yake ya kwanza katika safari yake ya mafanikio.
“Tayari kila kitu nimeshafanya hapa nyumbani na Tanzania inanitambua,” alisema.
“Nimesema niache hapo nilipoishia...
Bongo5
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili19 Mar
Coronavirus: Mwanamuziki wa Bongo Flava nchini Tanzania athibitisha kuwa na maambukizi ya virusi
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-K_LkjDc3Rd0/VJUsyVBQWNI/AAAAAAAG4l8/9flQfWR5gQE/s72-c/DIAMONDNAMZEEYUSUF.jpg)
Diamond na Mzee Yusuf kuwasha moto Dar Live Krismas katika tamasha la wafalme chini ya Vodacom Tanzania, Moto mwingine wa burudani utakuwa Coco beach
![](http://3.bp.blogspot.com/-K_LkjDc3Rd0/VJUsyVBQWNI/AAAAAAAG4l8/9flQfWR5gQE/s1600/DIAMONDNAMZEEYUSUF.jpg)
11 years ago
GPLTUZO ZA MZEE YUSUF ZATEKWA
11 years ago
Tanzania Daima03 Aug
Mzee Yusuf kutikisa na filamu
MFALME wa Muziki wa taarabu Nchini, Mzee Yusuf, anatarajia kuachia filamu yake ya kwanza mwezi huu itakayokwenda kwa jina la ‘Nitadumu naye’ ikiwa ni nyimbo iliyowahi kutamba nayo mwaka 2006....
11 years ago
TheCitizen18 May
Diamond is No. 1, ‘seconded’ by Mzee Yusuf
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rkTNz-F-b8a0lyk3iSFzxuHC*pCKBo*JeosZENi4ro8xyA4PoDdl7e7gz2PZj0REM3JTx5FJpFQoBJcSEyZa*DNadKacJyME/BACKWIKIENDA.jpg?width=650)
BAUNSA WA MZEE YUSUF ALIVYOPIGWA RISASI
10 years ago
GPLMZEE YUSUF KUACHIA MPYA DAR LIVE
10 years ago
Mtanzania16 Jun
Mzee Yusuf: Sikuwahi kumkimbia Khadija Kopa
NA RHOBI CHACHA
MFALME wa muziki wa taarabu, Mzee Yusuf, ameibuka na kuweka wazi kwamba hakuwahi kumkimbia Malkia wa muziki huo, Khadija Kopa, anayedai kwamba amekataa kushirikiana naye katika wimbo aliotaka.
Mzee Yusuf aliongeza kwamba ameshafanya nyimbo mbili na Kopa za kushirikiana, lakini Kopa anadai nyimbo hizo walikutanishwa na mashirika yaliyotaka kazi hizo zifanywe nao na si vinginevyo.
“Unajua mie nashangaa sana hizi habari, Khadija hajawahi kuniambia tufanye wimbo wa pamoja na...
10 years ago
Mwananchi21 Dec
Diamond na Mzee Yusuf kuumana Dar Live