Idara ya usalama ya Rwanda imethibitisha kuwa inamshikilia mwanamuziki nyota nchini Rwanda, Kizito Mihigo
Mwanamuziki mashuhuri nchini Rwanda Kizito Mihigo alikamatwa akidaiwa kujaribu kuvuka mpaka kuingia Burundi kinyume cha sheria.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili17 Feb
Polisi ya Rwanda inasema msanii maarufu wa nyimbo za injili Kizito Mihigo amejinyonga
Kwa mjibu wa tangazo la polisi maiti ya msanii huyo imepatikana katika chumba alimokuwa anazuiliwa kwenye kituo cha polisi mtaa wa Remera, mjini Kigali.
5 years ago
BBCSwahili22 Feb
Mazishi ya msanii maarufu wa Rwanda Kiziko Mihigo yafanyika
Msanii maarufu wa nyimbo za injili nchini Rwanda Kizito Mihigo ambaye aliripotiwa kujiua Jumatatu katika mahabusu ya polisi mjini Kigali nchini Rwanda anazikwa leo.
11 years ago
Michuzi.jpg)
JK mwapisha balozi mpya wa Tanzania nchini Rwanda, apokea hati za utambulisho kutoka kwa balozi mpya wa Rwanda nchini leo
.jpg)
.jpg)
11 years ago
GPL
RAIS JAKAYA KIKWETE APOKEA HATI ZA UTAMBULISHO ZA BALOZI WA RWANDA NA NORWAY, AMWAPISHA BALOZI MPYA WA TANZANIA NCHINI RWANDA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete (kushoto) akimkaribisha rasmi Balozi mpya wa Rwanda nchini Tanzania,Balozi Eugene Segore Kayihura alipowasilisha hati za utambulisho Ikulu jijini Dar es salaam. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Kikwete akimkaribisha rasmi Balozi mpya wa Rwanda nchini Tanzania,Balozi Eugene Segore Kayihura… ...
11 years ago
Michuzi
11 years ago
GPL
5 years ago
Michuzi
KIZITO MIHIGO AFARIKI AKIWA KIZUIZINI

BAADA ya siku tatu tangu Mamlaka ya upelelezi nchini Rwanda kutangaza kumshikilia mwimbaji wa nyimbo za Injili nchini humo Kizito Mihigo kwa tuhuma za kujaribu kuvuka mpaka na kwenda kujiunga na vikosi vinavyopinga Serikali ya Rwanda pamoja na kushutumiwa kwa vitendo vya rushwa leo Februari 17 jeshi la polisi nchini humo limetangaza kuwa maiti ya Kizito imepatikana ndani ya chumba alichokua amezuiwa katika kituo cha polisi cha Remera mjini Kigali.
Polisi...
11 years ago
BBCSwahili15 Apr
Mwanamuziki maarufu akamatwa Rwanda
Mwanamuziki mashuhuri nchini Rwanda pamoja na mwanahabari mmoja wamekamatwa kwa tuhuma za kuwa na uhusiano na kundi la upinzani pamoja na kushirikiana na waasi.
5 years ago
BBC29 Feb
Kizito Mihigo: The Rwandan gospel singer who died in a police cell
Rwandan genocide survivor Kizito Mihigo, hailed as a national talent, was later accused of treason.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
06-May-2025 in Tanzania