Mazishi ya msanii maarufu wa Rwanda Kiziko Mihigo yafanyika
Msanii maarufu wa nyimbo za injili nchini Rwanda Kizito Mihigo ambaye aliripotiwa kujiua Jumatatu katika mahabusu ya polisi mjini Kigali nchini Rwanda anazikwa leo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili17 Feb
Polisi ya Rwanda inasema msanii maarufu wa nyimbo za injili Kizito Mihigo amejinyonga
Kwa mjibu wa tangazo la polisi maiti ya msanii huyo imepatikana katika chumba alimokuwa anazuiliwa kwenye kituo cha polisi mtaa wa Remera, mjini Kigali.
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/KfHg6YGqxZ0/default.jpg)
Msanii Maarufu Rwanda Kiziti Mihigo Afungwa Miaka 10 Jela kwa Kupanga Njama njama za kupindua serikali na kuua viongozi wake
Muimbaji maarufu wa Rwanda Kizito Mihigo amehukumiwa kifungo cha miaka 10 jela baada ya kushtakiwa kwa njama za kutaka kupindua serikali na kuua viongozi wake na kuonyesha chuki dhidi ya serikali.
![](https://3.bp.blogspot.com/-CwPhPjmqGpQ/VPQhIv6w8uI/AAAAAAAACDo/o9MyJVrPz6w/s640/kizito2.jpg)
Kizito Mihigo awali alisema alikuwa na makosa na kuomba msamaha, akimaanisha hukumu yake ipunguzwe.Kizito Mihigo amekuhumiwa jela miaka 10 kwa njama za kutaka kupindua serikali na kua viongozi wake.
Mshtakiwa mwenzake, Cassien Ntamuhanga kiongozi wa kituo cha redio ya Kikristo, alifungwa miaka 25 kwa...
5 years ago
BBCSwahili14 Feb
Idara ya usalama ya Rwanda imethibitisha kuwa inamshikilia mwanamuziki nyota nchini Rwanda, Kizito Mihigo
Mwanamuziki mashuhuri nchini Rwanda Kizito Mihigo alikamatwa akidaiwa kujaribu kuvuka mpaka kuingia Burundi kinyume cha sheria.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y-6c8O6EPx-MOe7sq3or4iUGJsD7JFOIUbWnSutMM2zsXCLdHNZOGpC7HLexJ1i4eJiuyAqki5rLeAepN*ivnrzfPYWwXHiD/MAZISHIYADEBORAHSAID4.jpg?width=650)
IBADA YA MAZISHI YA MUIMBAJI DEBORAH SAID YAFANYIKA
Kundi la waimbaji likiungana kuimba wimbo wa kumuaga marehemu Deborah Said. Marehemu Deborah John Said enzi za uhai wake.…
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ToQMaI9f*6JzVNLunY1bfZKJ14o6jHTu*WErKU8EvuHmzOTtnGPChb9cG2UcTDdzomK6co-OIXuxlZcgQA6eIyQ2rsHtz9B-/IMG20140529WA0100.jpg?width=650)
10 years ago
BBCSwahili29 Mar
Mazishi ya Lee Kuan Yew yafanyika
Mazishi ya mwanzilishi wa taifa la Singapore Lee Kuan Yew yanafanyika.
11 years ago
BBCSwahili15 Apr
Mwanamuziki maarufu akamatwa Rwanda
Mwanamuziki mashuhuri nchini Rwanda pamoja na mwanahabari mmoja wamekamatwa kwa tuhuma za kuwa na uhusiano na kundi la upinzani pamoja na kushirikiana na waasi.
10 years ago
Vijimambo17 Jul
MSANII MAARUFU WA FILAMU AJIUNGA NA ACT WAZALEND
![Naibu Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo, Msafiri Mtemelwa (kushoto) akimkabidhi kadi msanii maarufu wa filamu nchini, Mohamed Mwikongi jina la sanaa 'Frank' alipotambulishwa mara baada ya kujiunga na chama hicho.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/07/IMG_0085.jpg)
![Naibu Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo, Msafiri Mtemelwa (kushoto) akimkabidhi aliyekuwa Mwenyekiti wa kitengo cha vijana Taifa wa NCCR Mageuzi, Deo Meck alipotangazwa kujiunga na chama hicho rasmi leo jijini Dar es Salaam.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/07/IMG_0047.jpg)
![Naibu Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo, Msafiri Mtemelwa (kushoto) akimkabidhi kadi na katiba msanii maarufu wa filamu nchini, Mohamed Mwikongi jina la sanaa 'Frank' alipotambulishwa mara baada ya kujiunga na chama hicho.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/07/IMG_0080.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima22 Jun
Babu Tale: Ni mtihani mgumu kumuongoza msanii maarufu
MENEJA wa kundi la muziki wa kizazi kipya nchini, Tip Top Connection, Babu Tale, amesema sio kazi rahisi kumsimamia msanii mkubwa ni lazima uumize kichwa na kuwa tayari kwa lolote....
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania