IBADA YA MAZISHI YA MUIMBAJI DEBORAH SAID YAFANYIKA
![](http://api.ning.com:80/files/Y-6c8O6EPx-MOe7sq3or4iUGJsD7JFOIUbWnSutMM2zsXCLdHNZOGpC7HLexJ1i4eJiuyAqki5rLeAepN*ivnrzfPYWwXHiD/MAZISHIYADEBORAHSAID4.jpg?width=650)
Kundi la waimbaji likiungana kuimba wimbo wa kumuaga marehemu Deborah Said. Marehemu Deborah John Said enzi za uhai wake.…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog05 Feb
Ibada maalum ya mazishi ya Baba mpendwa wa Mamertha na Henry Kente yafanyika
Mamertha na Deo wakifuatilia ibada ya mazishi ya Mr. Wilbard Kente baba mzazi wa Mamertha na Henry aliyefariki siku ya Jumapili Feb 1, 2015 Tanzania na kuzikwa siku ya Jumatano Februari 4, 3015 Mbezi jijini Dar es Salaam, na kufuatiwa na ibada ya mazishi iliyofanyika siku hiyo ya Jumatano Feb 4, 2015 Bowie, Maryland nchini Marekani nyumbani kwa Mr & Mrs Mosha na kuhudhuriwa na ndugu, jamaa na...
9 years ago
StarTV28 Sep
Ibada ya kuombea uchaguzi yafanyika mkoani Iringa
Viongozi wa Juu wa Mkoa wa Iringa wakiongozwa na Mkuu wa Mkoa huo Amina Masenza wameshiriki Ibada maalum ya kuombea Taifa amani kabla na baada ya uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, mwaka huu.
Ibada hiyo maalum imefanyika Jumamosi hii mjini Iringa katika Kanisa Kuu la Sloam njia ya Kusini na kuhudhuriwa na mamia ya waumini wa Kanisa hilo.
Mkuu wa Mkoa, Katibu Tawala na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa walinyanyua bendera na ramani ya Taifa wakati wa...
11 years ago
GPLIBADA YA KUMUAGA MWANZILISHI WA TGNP, FIDES CHALE YAFANYIKA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-TpCuXLwTJ_c/Xr_Mb9NjuTI/AAAAAAALqbw/8xgivN9fNvI2r8RrzTKMZvOpkOVQngVdQCLcBGAsYHQ/s72-c/unnamedss.jpg)
IBADA YA KWANZA MSIKITI MPYA WA BAKWATA YAFANYIKA, DK. BASHIRU AHUSISHWA
WAUMINI wa Dini ya Kiislamu na wasio waumini jijini Mwanza wametakiwa kuendelea kuchangia na kukamilisha ujenzi wa Msikiti mpya wa Ijumaa wa Abubakar Zuberi Mbwana (Mutfi wa Tanzania), unaomilikiwa na Baraza Kuu la Waislamu (BAKWATA) Mkoa Mwanza.
Sheikhe wa Mkoa wa Mwanza, Alhaji Hasani Kabeke alisema jana kuwa msikiti huo umeanza kutumiwa kwa ibada na waumini wa dini ya Kiislamu wakati huu wa mfungo wa mwezi Mtukufu wa Ramadhani huku ufunguzi rasmi ukisubiri...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ToQMaI9f*6JzVNLunY1bfZKJ14o6jHTu*WErKU8EvuHmzOTtnGPChb9cG2UcTDdzomK6co-OIXuxlZcgQA6eIyQ2rsHtz9B-/IMG20140529WA0100.jpg?width=650)
10 years ago
BBCSwahili29 Mar
Mazishi ya Lee Kuan Yew yafanyika
5 years ago
BBCSwahili22 Feb
Mazishi ya msanii maarufu wa Rwanda Kiziko Mihigo yafanyika
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BYFBgNpMDMRH2pmgx1vp7dPDREsZkAwZsqhLAGM5-khdDP5dQBTAJp9F0Q6VRdzaFum1XUS0-LFzkJpYUp9-Zasd*pBGpvBO/240.jpg)
MAZISHI YA KAMISHNA MKUU MSTAAFU WA JESHI LA MAGEREZA YAFANYIKA MOSHI
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-5xsWOD1y7Y4/VoKf98eRqWI/AAAAAAAIPPI/N6PnHB07io0/s72-c/1c3ebb06-ce07-49b4-ba12-adac108b3533.jpg)
Ibada maalum ya kumuombea Dkt. Rais John Pombe Joseph Magufuli yafanyika jijini London
![](http://2.bp.blogspot.com/-5xsWOD1y7Y4/VoKf98eRqWI/AAAAAAAIPPI/N6PnHB07io0/s640/1c3ebb06-ce07-49b4-ba12-adac108b3533.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-LDdsxYglmTo/VoKf-lSSRuI/AAAAAAAIPPM/UzaXAgauK4k/s640/52344bfa-79bf-4c2c-bcd1-62d672551848.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-g32HsUAyi7A/VoKgHqGUogI/AAAAAAAIPPs/idRj1rN3bJY/s640/fa16f618-cdcb-4b34-b480-3235f9e6a7cd.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-YhuCsXUAp9U/VoKgRd0MkwI/AAAAAAAIPP4/_SFVJArNzP0/s640/36b95cdb-22ab-4bff-8633-9c1209814e95.jpg)