IBADA YA KUMUAGA MWANZILISHI WA TGNP, FIDES CHALE YAFANYIKA
Jeneza lenye mwili wa marehemu Fidelis Siwangu Chale likiwa katika Kanisa la St. Peter Oysterbay jijini Dar. Jeneza likishushwa kutoka kwenye gari ili kuingia kanisani.…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
CloudsFM04 Jun
TGNP MTANDAO YAMPOTEZA MWANACHAMA MWANZILISHI NA MWENYEKITI WA KWANZA
TGNP Mtandao tumepata pigo kubwa kwa kumpoteza mwanaharakati na Mwenyekiti wa kwanza wa shirika, aliyefariki Juni 2, 2014 Ubungo Msewe Dar es Salaam. Fides Chale alikuwa ni mwalimu na kiongozi aliyegusa maisha ya wengi hapa Tanzania, Mwanaharakati mtetezi wa haki za wanawake, wasichana na makundi mengine yaliyoko pembezoni.
Dada Fides amekuwa mtu wa watu, mcheshi, mwenye upendo, utu, huruma, mpole, mwenye sura ya kutabasamu muda wote hata alipokuwa kwenye hali ya ugonjwa.
Tunapoombeleza...
11 years ago
GPLTGNP MTANDAO YAMPOTEZA MWANACHAMA MWANZILISHI NA MWENYEKITI WA KWANZA
10 years ago
VijimamboMISA YA KUMUAGA MAREHEMU METHOD MENGI YAFANYIKA HOUSTON, TX
Jeneza lililobeba mwili wa Marehemu Method Mengi
Fr.Gerard Singu (katikati) kutoka Vurginia akiongoza misa
Mke wa marehemu Method (wa pili...
10 years ago
Vijimambo11 years ago
GPLIBADA YA KITAIFA AFRIKA KUSINI KUMUAGA MANDELA LEO
10 years ago
VijimamboIbada ya kumuaga Balozi Liberata Mulamula Washington DC Julai 26, 2015
Jumapili ya Julai 26 2015, kanisa linaloabudu kwa kiswahili hapa Washington DC la The Way of the Cross Gospel Ministries lilifanya ibada maalum ya kuagana na aliyekuwa Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Liberata Mulamula
Aliyekuwa Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Marekani Mhe Liberata Mulamula akiongea na washarika pamoja na wageni waliohudhuria ibada maaluma ya kumuaga
Kwa picha zaidi, bofya soma zaidi
Aliyekuwa...
10 years ago
Vijimambo10 years ago
Michuzi10 years ago
Vijimambo