Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MISA YA KUMUAGA MAREHEMU METHOD MENGI YAFANYIKA HOUSTON, TX

Misa ya kumuaga ndugu yetu mpendwa marehemu Method Mengi aliyefariki wiki mbili zilizopita hapa Houston ilifanyika jana jumamosi katika kanisa Katoliki la St. Cyril of Alexandria na kuongozwa na Fr.Gerald Singu kutoka Virginia. Mwili wa marehemu unatarajiwa kuondoka mwanzoni mwa wiki kuelekea nyumbani Morogoro tayari kwa maziko. Pata taswira za Ibada hiyo : 

Jeneza lililobeba mwili wa Marehemu Method Mengi
Fr.Gerard Singu (katikati) kutoka Vurginia akiongoza misa
Mke wa marehemu Method (wa pili...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

HARAMBEE YA MAREHEMU METHOD MENGI YAFANYIKA HOUSTON

Mchanganuo wa Harambee
Marehemu Method MengiMke wa Marehemu katikati akiwa na majonzi







Vitu vilivyotolewa na Watanzania kwa ajili ya mnada


MC James Shemdoe




















































 

10 years ago

Michuzi

MISA YA KUMUAGA MZEE SAMUEL LUANGISA NEW YORK

Naibu balozi bi Maura Mwingira akitoa pole kwa watoto wa Mzee Luangisa, Bi Maura Mwingira kwa niaba ya balozi alipata nafasi ya kuongea machache mbele ya Watanzania waliojitokeza kwenye misa hiyo ya kumuombea marehemu mzee Luangisa pamoja na kuaga mwili wake tayari kwa safari ya kwenda nyumbani Bukoba Tanzania kwa mazishi.Mtoto wa marehem Kwame akitoa wasifu wa mzee Luangisa wasifu huo uliwatoa machozi watu kutokana jinsi mzee Luagisa alivyokuwa mtu mwenye moyo wa kutoa kwakile alichonacho...

 

11 years ago

GPL

IBADA YA KUMUAGA MWANZILISHI WA TGNP, FIDES CHALE YAFANYIKA

Jeneza lenye mwili wa marehemu Fidelis Siwangu Chale likiwa katika Kanisa la St. Peter Oysterbay jijini Dar.
Jeneza likishushwa kutoka kwenye gari ili kuingia kanisani.…

 

10 years ago

BBCSwahili

Misa ya waliouawa yafanyika Charleston

Maelfu ya watu wamehudhuria misa katika mji wa Charleston nchini Marekani kuwakumbuka waamerika tisa weusi waliouawa

 

10 years ago

BBCSwahili

Misa ya wafu ya Sata yafanyika London

Misa ya wafu ya aliyekuwa rais wa Zambia Michael Sata ilifanyika mjini London Uingereza

 

10 years ago

Vijimambo

MISA YA KISWAHILI YA THANKSGIVING YAFANYIKA BALTIMORE, MARYLAND

Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Liberata Mulamula akiwasili Kanisani hapo kwenye misa la thanksgiving iliyofanyika leo Jumapili Novemba 30, 2014 Baltimore, Maryland nchini MarekaniPadri Honest Munishi akiongoza Misa ya Thanksgiving iliyofanyika leo Jumampili Nivemba 30, 2014 Baltimore, Maryland.
Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Marekani mhe. Liberata Mulamula akitoa shukurani zake kwa mapadri waliongoza misa ya Thanksgiving na kusisitiza umoja...

 

10 years ago

Vijimambo

THC 1st ANNUAL GALA DINNER YAFANYIKA HOUSTON

Jumuiya ya Watanzania usiku wa jana ilifanya Dinner Gala ya kukata na shoka katika Ukumbi wa Safari Texas Ranch. Mgeni rasmi katika Dinner hiyo iliyohudhuriwa na idadi kubwa wa Watanzania kutoka nje na ndani jiji la Houston alikuwa ni Sheriff wa Harris County Adrian Garcia. Pata picha za shughuli hiyo hapa chini.

Sheriff Garcia akiwa na wenyeji wake kutoka kushoto Mahono, Katibu Nkunga, Monica, Madam President Nuru Mazora,Mrs.Garcia,Mama Tenende na Mzee Tenende
Sheriff Garcia akipata selfie na...

 

10 years ago

GPL

MISA YA KISWAHILI YA THANKSGIVING YAFANYIKA BALTIMORE, MARYLAND‏

Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Liberata Mulamula akiwasili Kanisani hapo kwenye misa la thanksgiving iliyofanyika jana Jumapili Novemba 30, 2014 Baltimore, Maryland nchini Marekani Padri Honest Munishi akiongoza Misa ya Thanksgiving iliyofanyika jana Jumampili Nivemba 30, 2014 Baltimore, Maryland. Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Marekani mhe. Liberata Mulamula akitoa...

 

10 years ago

GPL

VIONGOZI WAONGOZA KUMUAGA MAREHEMU KOMBA KARIMJEE

Rais Kikwete (katikati) akiwa na makamu wake Gharib Bilal (kushoto) na Anna Makinda katika viwanja vya Karimjee ili kumuaga marehemu Kapteni John Komba. Rais Mstaafu Benjamin Mkapa (wa pili kulia) akiwa na mkewe Anna (wa tatu kulia) wakiwasili viwanja vya…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani