Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HARAMBEE YA MAREHEMU METHOD MENGI YAFANYIKA HOUSTON

Mchanganuo wa Harambee
Marehemu Method MengiMke wa Marehemu katikati akiwa na majonzi







Vitu vilivyotolewa na Watanzania kwa ajili ya mnada


MC James Shemdoe




















































Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MISA YA KUMUAGA MAREHEMU METHOD MENGI YAFANYIKA HOUSTON, TX

Misa ya kumuaga ndugu yetu mpendwa marehemu Method Mengi aliyefariki wiki mbili zilizopita hapa Houston ilifanyika jana jumamosi katika kanisa Katoliki la St. Cyril of Alexandria na kuongozwa na Fr.Gerald Singu kutoka Virginia. Mwili wa marehemu unatarajiwa kuondoka mwanzoni mwa wiki kuelekea nyumbani Morogoro tayari kwa maziko. Pata taswira za Ibada hiyo : 

Jeneza lililobeba mwili wa Marehemu Method Mengi
Fr.Gerard Singu (katikati) kutoka Vurginia akiongoza misa
Mke wa marehemu Method (wa pili...

 

10 years ago

Vijimambo

HARAMBEE YA MSIBA HOUSTON, TEXAS NA TANZANIA

Marehemu Edmund Mushi enzi za uhai wakeKama tulivyoahidi hapo awali kwamba taarifa zaidi zitafuata. Harambee kwa ajili ya kuchangisha pesa zitakazowezesha kusafirisha mwili wa ndugu yetu, marehemu Bw. Edmund Mushi, itafanyika siku ya Jumamosi June 27, 2015katika anuani ifuatayo:



9423 Highway 6 Houston, TX 77083. Muda ni kuanzia saa 10 alasiri mpaka saa 2 jioni.

Kwa wale ambao hawataweza kufika ukumbini au waliokuwa nje ya mji wa Houston tunaomba msaada wa michango yenu katika accout...

 

10 years ago

Vijimambo

MHESHIMIWA BALOZI LIBERATA MULAMULA ASHIRIKI HARAMBEE HOUSTON

 Balozi Liberata Mulamula ashiriki habambee huko Houston iliyoandaliwa kwa madhumuni ya ufanisi wa ujenzi wa shule ya msingi Kipawa iliyopo jijini Dar es salaam, Tanzania.
 Wadhamini na wafadhili wakuu wa shule hiyo iitwayo Kipawa Libermann wakiwa pamoja na Mhe,  Balozi ,( pichani kutoka kushoto ni Dr Lennard Tenende,Odis Peavy, Bi Suzanne Wilkinson, Mhe, Balozi Liberata Mulamula, Bruce Wilkinson,Fr Joseph Triphon,Fr Michael Begley)
Bruce Wilkinson mwanzilishi na mfadhili mkuu wa shule ya...

 

10 years ago

Vijimambo

HARAMBEE YA RASHID MKAKILE YAFANYIKA DMV

Jojo kushoto akimsikiliza Katule wakati akipatiwa maelekezo kwenye harambee ya ya kusaidia gharama za matibabu ya rafiki, ndugu, jamaa na mpendwa wetu Rashid Mkakile aliyeugua akiwa kikazi Boston, Massachusetts na kupelekea kufanyiwa upasuaji. Harambee ilifanyika siku ya Jumampili Novemba 16, 2014 na kuhudhuriwa na Watanzania wa DMV waliomfahamu na walioguswa na mpendwa wetu, ndugu yetu, jamaa yetu na Mtanzania mwenzetu Rashid Mkakile mpaka Vijimambo inaondoka kwenye tukio, harambee ilikua...

 

9 years ago

Michuzi

HARAMBEE YA UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI YAFANYIKA WILAYANI SIMANJIRO

 Mkuu wa Wilaya ya Simanjiro Mkoani Manyara, Mahmoud Kambona akizungumza kwenye harambee ya ujenzi wa shule ya sekondari ya taasisi ya masjid Nuuru ya Mji mdogo wa Mirerani ambapo zilipatikana zaidi ya sh16 milioni (kushoto) ni Imamu wa masjid hiyo Mohames Shauri na kulia ni Willy Mushi meneja wa mgodi wa Tanzanite Africa. Mshairi wa mji mdogo wa Mirerani Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, Husna Hussein akimkabidhi mkuu wa wilaya hiyo Hashim Kambona, shairi alilolighani kwenye chakula...

 

10 years ago

Vijimambo

THC 1st ANNUAL GALA DINNER YAFANYIKA HOUSTON

Jumuiya ya Watanzania usiku wa jana ilifanya Dinner Gala ya kukata na shoka katika Ukumbi wa Safari Texas Ranch. Mgeni rasmi katika Dinner hiyo iliyohudhuriwa na idadi kubwa wa Watanzania kutoka nje na ndani jiji la Houston alikuwa ni Sheriff wa Harris County Adrian Garcia. Pata picha za shughuli hiyo hapa chini.

Sheriff Garcia akiwa na wenyeji wake kutoka kushoto Mahono, Katibu Nkunga, Monica, Madam President Nuru Mazora,Mrs.Garcia,Mama Tenende na Mzee Tenende
Sheriff Garcia akipata selfie na...

 

10 years ago

Michuzi

Semina ya Texas Karate Black Belts yafanyika Houston, Texas

Texas Black Belts club Seminar , imeandaliwa na Sensei Ramon Veras, Dan 7, Okinawa Goju Ryu Kyokai, mjini Houston, Texas tarehe 19 April, 2015. Pia ni sehemu moja ya maandalizi na marekebisho ya mbinu na ufundi wa vipande tofauti katika mfumo mzima wa  Sanaa na tayari kwa baadhi ya washiriki kwa msafara wa kwenda kwenye chimbuko la Karate huko Okinawa, Japan.
 Sensei Rumadha Fundi, ni mmoja ya wawakilishi wa Goju Ryu Jundokan, atayoiwakilisha Tanzania kwenye msafara huo.. Baada ya takriban...

 

10 years ago

Michuzi

HITMA YA MAREHEMU SALIMIN AWADH YAFANYIKA LEO ZANZIBAR

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akijumuikana Viongozi na waislamu katika kisomo cha Hitma ya Marehemu Salmin Awadh aliyekuwa Mwakilishiwa Jimbo la Magomeni (CCM) iliyosomwa leo jioni katika Msikiti wa Mushawal Mwembeshauri Mjini Unguja hitma hiyo ilihudhuriwa na Waumini na Wanachama wa Chama cha Mapinduzi. Baadhiya Waislamu na Viongozi mbali mbali na wananchi wakiwa katika kisomo cha Hitma ya kumuombea Dua Marehemu Salmin Awadh...

 

10 years ago

Michuzi

MAZISHI YA MAREHEMU KAMISHNA MKUU MSTAAFU WA JESHI LA MAGEREZA, ONEL MALISA YAFANYIKA OLD MOSHI MKOANI KILIMANJARO

1Maafisa Waandamizi wa Jeshi la Magereza wakiweka jeneza la Marehemu Kamishna Mkuu Mstaafu wa Magereza, Onel Malisa kwenye nyumba yake ya milele. Mazishi hayo yamefanyika leo Juni 05, 2015 katika kijiji cha Kidia, Old Moshi Mkoani Kilimanjaro.4Askofu Mstaafu Dkt. Martin Shayo wa Diyosisi ya Kasikazini akiweka akiongoza Ibada Maalum ya mazishi ya Marehemu Kamishna Mkuu Mstaafu wa Magereza, Onel Malisa ambaye amefariki Juni 2, 2015 katika Hospitali ya Dar Group, Jijini Dar es Salaam(kushoto) ni...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani