Misa ya waliouawa yafanyika Charleston
Maelfu ya watu wamehudhuria misa katika mji wa Charleston nchini Marekani kuwakumbuka waamerika tisa weusi waliouawa
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili03 Nov
Misa ya wafu ya Sata yafanyika London
Misa ya wafu ya aliyekuwa rais wa Zambia Michael Sata ilifanyika mjini London Uingereza
10 years ago
Vijimambo01 Dec
MISA YA KISWAHILI YA THANKSGIVING YAFANYIKA BALTIMORE, MARYLAND
![](https://fbcdn-sphotos-h-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpa1/v/t35.0-12/10821932_1005359609491129_1924770704_o.jpg?oh=1cfd50b1773a04019616f38f86d490a7&oe=547DCF59&__gda__=1417538632_d95de448c71dfef60fc44b4b2bfd6559)
![](https://fbcdn-sphotos-h-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpf1/v/t35.0-12/10756396_1005360112824412_1135404848_o.jpg?oh=61e373418c1298986ba041b4f4197b23&oe=547DB99D&__gda__=1417562025_a9d4b540d39fbc5b4f469c51e2a91059)
![](https://fbcdn-sphotos-h-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpf1/v/t35.0-12/10839763_1005361079490982_1241157292_o.jpg?oh=8d857d41f51e5e27d40cc6af82ea1211&oe=547DE50D&__gda__=1417553593_28b836fb5ff59a2f032a0678a7267242)
Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Marekani mhe. Liberata Mulamula akitoa shukurani zake kwa mapadri waliongoza misa ya Thanksgiving na kusisitiza umoja...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-Gl7ivTphDyE/VCg7N8xrZRI/AAAAAAAAMNI/DrHlx7TyLbI/s72-c/1.jpg)
MISA YA KUMUAGA MAREHEMU METHOD MENGI YAFANYIKA HOUSTON, TX
Misa ya kumuaga ndugu yetu mpendwa marehemu Method Mengi aliyefariki wiki mbili zilizopita hapa Houston ilifanyika jana jumamosi katika kanisa Katoliki la St. Cyril of Alexandria na kuongozwa na Fr.Gerald Singu kutoka Virginia. Mwili wa marehemu unatarajiwa kuondoka mwanzoni mwa wiki kuelekea nyumbani Morogoro tayari kwa maziko. Pata taswira za Ibada hiyo :
Jeneza lililobeba mwili wa Marehemu Method Mengi
Fr.Gerard Singu (katikati) kutoka Vurginia akiongoza misa
Mke wa marehemu Method (wa pili...
![](http://2.bp.blogspot.com/-Gl7ivTphDyE/VCg7N8xrZRI/AAAAAAAAMNI/DrHlx7TyLbI/s1600/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-DYXrpfIYPCE/VCg7RWvjakI/AAAAAAAAMNQ/Ml2QzGMKmwU/s1600/2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-rh8F8o6E5UQ/VCg65ZOZHCI/AAAAAAAAMNA/tlunFOGXA4E/s1600/3.jpg)
10 years ago
GPL![](https://fbcdn-sphotos-h-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpa1/v/t35.0-12/10821932_1005359609491129_1924770704_o.jpg?oh=1cfd50b1773a04019616f38f86d490a7&oe=547DCF59&__gda__=1417538632_d95de448c71dfef60fc44b4b2bfd6559)
MISA YA KISWAHILI YA THANKSGIVING YAFANYIKA BALTIMORE, MARYLAND
Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Liberata Mulamula akiwasili Kanisani hapo kwenye misa la thanksgiving iliyofanyika jana Jumapili Novemba 30, 2014 Baltimore, Maryland nchini Marekani Padri Honest Munishi akiongoza Misa ya Thanksgiving iliyofanyika jana Jumampili Nivemba 30, 2014 Baltimore, Maryland. Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Marekani mhe. Liberata Mulamula akitoa...
10 years ago
BBCSwahili22 Jun
Ibada ya maombolezo Charleston
Mamia ya Waumini wamehudhuria ibada ya maziko ya watu tisa waliouawa katika kanisa moja mjini Charleston
10 years ago
BBCSwahili18 Jun
Polisi wamsaka muuaji wa Charleston
Polisi nchini Marekani wanamtafuta mwanamume mzungu aliyewaua watu tisa waliokuwa wakisali katika kanisa moja na watu weusi katika mji wa Charlston South Carolina.
10 years ago
BBCSwahili19 Jun
Muuaji wa kanisani Charleston ashtakiwa
Mshukiwa wa mauaji ya watu tisa katika kanisa la kihistoria la Kiafrika katika mji wa Charleston ameshtakiwa na mashtaka tisa ya mauaji pamoja na shtaka moja la kumiliki silaha, polisi wamesema.
11 years ago
BBCSwahili02 Apr
Rwanda inawatafutia haki waliouawa
Rwanda imesema kuwa ni asilimia mbili tu ya washukiwa wakuu wa mauaji ya kimbari ambao wameshakamatwa na kufikishwa mbele ya sheria
10 years ago
BBCSwahili27 Jun
15 kati ya waliouawa Tunisia ni Waingereza
Maelfu ya watalii wanatoroka Tunisia baada ya shambulio katika hoteli ya watalii iliyosababisha vifo vya watu 38 wengi wao wazungu
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania