Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Rwanda inawatafutia haki waliouawa

Rwanda imesema kuwa ni asilimia mbili tu ya washukiwa wakuu wa mauaji ya kimbari ambao wameshakamatwa na kufikishwa mbele ya sheria

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Waliouawa Kenya wafikia 147

Nairobi, Kenya

WAKATI familia za wanafunzi waliouawa katika Chuo Kikuu cha Gharisa kilichopo Kaskazini Mashariki mwa Kenya zikielekea katika eneo la mkasa ili kuitambua miili ya waliouawa, idadi ya vifo sasa imefikia watu 147.
Watu hao wengi wakiwa wanafunzi waliuawa katika shambulio lililotekelezwa na wapiganaji wa Kundi la Al shabaab mjini Garissa juzi na wapiganaji hao waliwatenganisha wanafunzi hao kwa misingi ya kidini kabla ya kuwaua wanafunzi wa Kikristo.
Wakati huohuo mamlaka nchini...

 

10 years ago

BBCSwahili

Misa ya waliouawa yafanyika Charleston

Maelfu ya watu wamehudhuria misa katika mji wa Charleston nchini Marekani kuwakumbuka waamerika tisa weusi waliouawa

 

10 years ago

BBCSwahili

Waliouawa Ufaransa kuzikwa leo

Mazishi ya wachora vibonzo saba wa jarida la Charlie Hbdo waliouawa wiki jana yanafanyika leo mjini Paris.

 

10 years ago

BBCSwahili

15 kati ya waliouawa Tunisia ni Waingereza

Maelfu ya watalii wanatoroka Tunisia baada ya shambulio katika hoteli ya watalii iliyosababisha vifo vya watu 38 wengi wao wazungu

 

10 years ago

GPL

WALIOUAWA HOTELINI TUNISIA WAFIKIA 38

Waliouawa na wakitolewa eneo la ufukweni. Eneo la ufukwe ambapo shambulio hilo lilitekelezwa. Waliouawa, miili yao ikiwa imefunikwa.…

 

10 years ago

Mwananchi

Waliouawa kwa kulipa kisasi watambuliwa

Majina na miili ya watu saba kati ya tisa wanaodaiwa kuuawa katika mapigano ya jamii mbili za wafugaji wa Kabila la Wabarbag na Wasukuma katika Kijiji cha Kihale wilayani hapa, mkoani Pwani yametambuliwa huku miili hiyo ikiwa imeharibika vibaya.

 

10 years ago

BBCSwahili

Utata kuhusu idadi ya waliouawa DRC

Msemaji wa serikali ya Jamhuri ya kidemokrasi ya Congo, DRC ,Lambert Mende ameambia BBC kwamba takriban watu 11 wakiwemo raia wameuawa mjini Kinshasa tangu vurugu kuanza

 

10 years ago

BBCSwahili

Familia kutambua miili ya waliouawa Kenya

Familia za wanafunzi waliouawa katika chuo kikuu Kenya zimeenda katika eneo la mkasa ili kuitambua miili ya waliouawa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Papa awasalia wanafunzi waliouawa Kenya

Papa Francis amewasalia hadharani wanafunzi wa Kenya waliouwawa Alhamisi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani