Familia kutambua miili ya waliouawa Kenya
Familia za wanafunzi waliouawa katika chuo kikuu Kenya zimeenda katika eneo la mkasa ili kuitambua miili ya waliouawa.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili19 Nov
Paris: Wataalamu kutambua miili ya waliouawa
10 years ago
Mwananchi08 May
JWTZ kuwataja waliouawa DRC miili yao itakapowasili nyumbani
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-VVz0AoxKNek/VRwRT1euv7I/AAAAAAAAR3M/TN16CzqfFfY/s72-c/Slain%2Bpolice.jpg)
IGP MANGU AONGOZA WAKAZI WA DAR ES SALAAM NA PWANI KUAGA MIILI YA ASKARI WALIOUAWA KINYAMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-VVz0AoxKNek/VRwRT1euv7I/AAAAAAAAR3M/TN16CzqfFfY/s640/Slain%2Bpolice.jpg)
9 years ago
Mwananchi29 Aug
Baba wa familia iliyoteketea: Ningeona miili nami ningekufa
10 years ago
Mtanzania04 Apr
Waliouawa Kenya wafikia 147
Nairobi, Kenya
WAKATI familia za wanafunzi waliouawa katika Chuo Kikuu cha Gharisa kilichopo Kaskazini Mashariki mwa Kenya zikielekea katika eneo la mkasa ili kuitambua miili ya waliouawa, idadi ya vifo sasa imefikia watu 147.
Watu hao wengi wakiwa wanafunzi waliuawa katika shambulio lililotekelezwa na wapiganaji wa Kundi la Al shabaab mjini Garissa juzi na wapiganaji hao waliwatenganisha wanafunzi hao kwa misingi ya kidini kabla ya kuwaua wanafunzi wa Kikristo.
Wakati huohuo mamlaka nchini...
10 years ago
BBCSwahili05 Apr
Papa awasalia wanafunzi waliouawa Kenya
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-IcjrnvMkafc/VIPzHt-f4TI/AAAAAAAG1uM/pta5AHyEusc/s72-c/foot-prints.jpg)
kenya yapiga hatua katika kutambua watu wenye jinsia mbili baada ya hukumu ya kihistoria kutolewa
![](http://2.bp.blogspot.com/-IcjrnvMkafc/VIPzHt-f4TI/AAAAAAAG1uM/pta5AHyEusc/s1600/foot-prints.jpg)
Wakati alipozaliwa mtoto huyo, wafanyakazi wa hospitali waliweka alama ya kuuliza penye kisanduku cha jinsia kwenye fomu ya uzazi mwaka 2009 baada ya kushindwa kuamua kama ni wa kike ama wa kiume.Wakili wa mtoto huyo ameeleza kufurahishwa na hukumu hiyo akisema ni hatua moja kwenda mbele katika kutambua watu wenye jinsia mbili wanaojulikana...
5 years ago
BBCSwahili10 May
Virusi vya corona: Vijana Kenya wavumbua mfumo wa CovIdent unaotarajiwa kutambua wenye virusi
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/HgrE5awSMWk/default.jpg)