Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Familia kutambua miili ya waliouawa Kenya

Familia za wanafunzi waliouawa katika chuo kikuu Kenya zimeenda katika eneo la mkasa ili kuitambua miili ya waliouawa.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Paris: Wataalamu kutambua miili ya waliouawa

Wataalamu nchini Ufaransa wanachunguza kubaini iwapo anayeshukiwa kupanga mashambulio yaliyotokea Paris Ijumaa ni miongoni mwa waliouawa na polisi jana.

 

10 years ago

Mwananchi

JWTZ kuwataja waliouawa DRC miili yao itakapowasili nyumbani

>Jeshi la Ulinzi la Wananchi Tanzania (JWTZ), limesema majina ya wapiganaji wa Tanzania waliofariki dunia kwa kushambuliwa na waasi wa ADF huko Jamhuri ya Demokrasia ya Congo (DRC) yatatajwa baada ya miili hiyo kuwasili nchini.

 

10 years ago

Vijimambo

IGP MANGU AONGOZA WAKAZI WA DAR ES SALAAM NA PWANI KUAGA MIILI YA ASKARI WALIOUAWA KINYAMA

Inspekta Jenerali wa Polisi IGP Ernest Jumbe Mangu akitoa heshma za mwisho kwa miili ya askari wawili waliouawa na watu wasiojulikana huko vikindu wilaya ya mkuranga, mkoani Pwani hivi karibuni. Shughuli za kuiaga miili hiyo zilifanyika leo Jumatano Aprili 1, 2015 katika viwanja vya hospitali polisi barabara ya kilwa jijini Dar es Salaam . Picha na Hassan Mndeme-Jeshi la Polisi. Askari hao waliuawa kinyama wakiwa kazini kwenye kizuizi cha polisi huko Vikindu kati ya mikoa ya Dar es Salaam...

 

9 years ago

Mwananchi

Baba wa familia iliyoteketea: Ningeona miili nami ningekufa

Baba wa familia iliyoteketea kwa moto ndani ya nyumba walimokuwa wamelala, jijini Dar es Salaam, Masoud Mattar Masoud (59) amesema kama angeona miili ya familia yake, naye angekufa.

 

10 years ago

Mtanzania

Waliouawa Kenya wafikia 147

Nairobi, Kenya

WAKATI familia za wanafunzi waliouawa katika Chuo Kikuu cha Gharisa kilichopo Kaskazini Mashariki mwa Kenya zikielekea katika eneo la mkasa ili kuitambua miili ya waliouawa, idadi ya vifo sasa imefikia watu 147.
Watu hao wengi wakiwa wanafunzi waliuawa katika shambulio lililotekelezwa na wapiganaji wa Kundi la Al shabaab mjini Garissa juzi na wapiganaji hao waliwatenganisha wanafunzi hao kwa misingi ya kidini kabla ya kuwaua wanafunzi wa Kikristo.
Wakati huohuo mamlaka nchini...

 

10 years ago

BBCSwahili

Papa awasalia wanafunzi waliouawa Kenya

Papa Francis amewasalia hadharani wanafunzi wa Kenya waliouwawa Alhamisi.

 

10 years ago

Michuzi

kenya yapiga hatua katika kutambua watu wenye jinsia mbili baada ya hukumu ya kihistoria kutolewa

Mahakama moja nchini Kenya imeiamuru serikali kutoa hati ya kuzaliwa kwa mtoto wa umri wa miaka mitano aliyezaliwa akiwa na jinsia za kike na kiume. 


Wakati alipozaliwa mtoto huyo, wafanyakazi wa hospitali waliweka alama ya kuuliza penye kisanduku cha jinsia kwenye fomu ya uzazi mwaka 2009 baada ya kushindwa kuamua kama ni wa kike ama wa kiume.

Wakili wa mtoto huyo ameeleza kufurahishwa na hukumu hiyo akisema ni hatua moja kwenda mbele katika kutambua watu wenye jinsia mbili wanaojulikana...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Vijana Kenya wavumbua mfumo wa CovIdent unaotarajiwa kutambua wenye virusi

Chuo kikuu Cha teknolojia cha Meru nchini Kenya kimevumbua mfumo wa kidigitali unaofahamika kama CovIdent utakaotoa alama za data binafsi kwa lengo la kurahisisha upimaji wa virusi vya corona kwa watu wengi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani