Waliouawa Kenya wafikia 147
Nairobi, Kenya
WAKATI familia za wanafunzi waliouawa katika Chuo Kikuu cha Gharisa kilichopo Kaskazini Mashariki mwa Kenya zikielekea katika eneo la mkasa ili kuitambua miili ya waliouawa, idadi ya vifo sasa imefikia watu 147.
Watu hao wengi wakiwa wanafunzi waliuawa katika shambulio lililotekelezwa na wapiganaji wa Kundi la Al shabaab mjini Garissa juzi na wapiganaji hao waliwatenganisha wanafunzi hao kwa misingi ya kidini kabla ya kuwaua wanafunzi wa Kikristo.
Wakati huohuo mamlaka nchini...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-7nL019ZkgWQ/XpmtB4jIcqI/AAAAAAAC3RQ/vTKApuT4HUUHkae9MqB91o6if0Kiv3C5wCLcBGAsYHQ/s72-c/2.jpg)
WAGONJWA WA CORONA TANZANIA WAFIKIA 147
![](https://1.bp.blogspot.com/-7nL019ZkgWQ/XpmtB4jIcqI/AAAAAAAC3RQ/vTKApuT4HUUHkae9MqB91o6if0Kiv3C5wCLcBGAsYHQ/s400/2.jpg)
Idadi ya wagonjwa wa Corona Tanzania imeongezeka nakufikia 147 baada ya wagonjwa wapya 53 kukutwa na virusi hivyo .
Akiongea na vyombo vya habari leo Ijumaa April 17,2020, Waziri wa Afya Ummy Mwalimu amesema wagonjwa wote hao ni watanzania ambapo 38 ni kutoka Dar es Salaam,10 Zanzibar,Kilimanjaro 1,Mwanza 1,Pwani 1,Lindi 1,na Kagera 1
Waziri Ummy amesema mgonjwa mmoja amefariki dunia na hivyo kufanya idadi ya waliofariki hadi sasa kufika 05 na waliopona ni 11.
![](https://1.bp.blogspot.com/-CHvt1gsMTzg/Xpm6D7educI/AAAAAAAC3R8/8Ovxzdlfpp4Uv5gHbsw-3l6-HPM_uvpwwCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-fR7LiIDMAvM/Xpm6GUq9gWI/AAAAAAAC3SA/OnvLJY_9O1ckVHIv7xq-B5OIAFqBLbMAQCLcBGAsYHQ/s400/2.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/y5Mcq6BCU*8hwfW7UXg1IUrelzbxWtNwoFkDa74srQYeiTlsG2eEB8T6g2sP6nr9dWAPpjVhZGZhTji5nnNzlwcqLVEC6VU1/TUNISIA2.jpg?width=650)
WALIOUAWA HOTELINI TUNISIA WAFIKIA 38
10 years ago
TheCitizen03 Apr
Al-Shabaab now massacre 147 at Kenya university
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uCeLa4uwiH-*T2Ax-120AZOitRMRhQ2*V2fj2vPfdofFpv5ETO8*kuVSdgIQcRcG9OeqiZE-1MOxDFQucM2RcKPBeWSQldgX/150402121414_garissa_640x360_bbc_nocredit.jpg?width=650)
AL SHABAAB WAUWA 147 CHUO KIKUU CHA GARRISA NCHINI KENYA
10 years ago
BBCSwahili03 Apr
Familia kutambua miili ya waliouawa Kenya
10 years ago
BBCSwahili05 Apr
Papa awasalia wanafunzi waliouawa Kenya
5 years ago
BBCSwahili28 May
Virusi vya corona: Watu 147 zaidi waambukizwa corona Kenya
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-U3RNR2CDbyA/Xph0rmB3XOI/AAAAAAAC3M8/4Ufyfe9vNLofx-E-AjX1QPtQjrJ9QHhigCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
KENYA WAGONJWA WA CORONA WAFIKIA 234
![](https://1.bp.blogspot.com/-U3RNR2CDbyA/Xph0rmB3XOI/AAAAAAAC3M8/4Ufyfe9vNLofx-E-AjX1QPtQjrJ9QHhigCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Idadi ya wagonjwa wa virusi vya coronavirus nchini Kenya sasa imefikia 234 baada ya watu 9 zaidi kuthibitishwa kuambukizwa ugonjwa huo.
Hayo ni kwa mujibu wa Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta ambaye amelihutubia taifa hilo leo Alhamisi April 16 akiwa Ikulu ya Nchi hiyo.
Kenyatta amesema kwamba serikali ilipima sampuli zingine 704 kwa muda wa saa 24 zilizopita na ndipo hao watu tisa wakathibitishwa kuugua.
Uhuru pia amesema idadi ya watu 53 wamepona kabisa na kuruhusiwa kwenda nyumbani tangu...
5 years ago
CCM BlogWAGONJWA WA CORONA KENYA WAFIKIA 384
Akiongea na Waandishi wa habari leo, Aprili 29, 2020 Katibu wa Afya Mercy Mwangangi amesema katika saa 24 zilizopita sampuli 580 kutoka kaunti 24 zilipimwa dhidi ya homa hiyo.