Papa awasalia wanafunzi waliouawa Kenya
Papa Francis amewasalia hadharani wanafunzi wa Kenya waliouwawa Alhamisi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog25 Nov
#PAPA TOUR KENYA: Wakenya wampokea Papa kwa mara ya kwanza ujio wake Bara la Afrika!
Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta akisalimiana na Papa Francis wakati alipowasili mapema leo Novemba 25 katika jiji la Nairobi nchini Kenya.
Papa Francis ameanza ziara yake Afrika kwa kuhimiza umoja, uwazi, kuwathamini vijana na kuyatunza mazingira.
Kiongozi huyo wa Kanisa Katoliki aliwasili Nairobi mwendo wa saa kumi unusu jioni na kukaribishwa kwa shangwe na viongozi wa kisiasa na kidini uwanja wa ndege.
Baada ya kuwasili, alielekea Ikulu ambako alipanda mti kisha kukutana na Rais Uhuru...
10 years ago
Mtanzania04 Apr
Waliouawa Kenya wafikia 147
Nairobi, Kenya
WAKATI familia za wanafunzi waliouawa katika Chuo Kikuu cha Gharisa kilichopo Kaskazini Mashariki mwa Kenya zikielekea katika eneo la mkasa ili kuitambua miili ya waliouawa, idadi ya vifo sasa imefikia watu 147.
Watu hao wengi wakiwa wanafunzi waliuawa katika shambulio lililotekelezwa na wapiganaji wa Kundi la Al shabaab mjini Garissa juzi na wapiganaji hao waliwatenganisha wanafunzi hao kwa misingi ya kidini kabla ya kuwaua wanafunzi wa Kikristo.
Wakati huohuo mamlaka nchini...
10 years ago
BBCSwahili03 Apr
Familia kutambua miili ya waliouawa Kenya
10 years ago
Habarileo29 Jan
Wanafunzi shule za Papa, Jitengeni wamo hatarini
WANAFUNZI wa shule za msingi Papa na Jitengeni katika kata za Vunta na Kihurio wilayani Same, mkoani Kilimanjaro, wapo hatarini kupoteza maisha kutokana na kusomea katika madarasa chakavu yanayotishia kuanguka wakati wowote.
9 years ago
BBCSwahili23 Nov
Ziara ya Papa Francis, Kenya
9 years ago
Mwananchi24 Nov
Papa kutua Kenya Kesho
9 years ago
BBCSwahili26 Nov
Kiongozi Muislamu amsifu Papa, Kenya
9 years ago
Mwananchi26 Nov
Kishindo cha Papa Francis Kenya
9 years ago
BBCSwahili26 Nov
Watoto wapewa jina la Papa Kenya