Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Papa awasalia wanafunzi waliouawa Kenya

Papa Francis amewasalia hadharani wanafunzi wa Kenya waliouwawa Alhamisi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

#PAPA TOUR KENYA: Wakenya wampokea Papa kwa mara ya kwanza ujio wake Bara la Afrika!

IMG-20151125-WA0024

Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta akisalimiana na Papa Francis wakati alipowasili mapema leo Novemba 25 katika jiji la Nairobi nchini Kenya.

Papa Francis ameanza ziara yake Afrika kwa kuhimiza umoja, uwazi, kuwathamini vijana na kuyatunza mazingira.

Kiongozi huyo wa Kanisa Katoliki aliwasili Nairobi mwendo wa saa kumi unusu jioni na kukaribishwa kwa shangwe na viongozi wa kisiasa na kidini uwanja wa ndege.

Baada ya kuwasili, alielekea Ikulu ambako alipanda mti kisha kukutana na Rais Uhuru...

 

10 years ago

Mtanzania

Waliouawa Kenya wafikia 147

Nairobi, Kenya

WAKATI familia za wanafunzi waliouawa katika Chuo Kikuu cha Gharisa kilichopo Kaskazini Mashariki mwa Kenya zikielekea katika eneo la mkasa ili kuitambua miili ya waliouawa, idadi ya vifo sasa imefikia watu 147.
Watu hao wengi wakiwa wanafunzi waliuawa katika shambulio lililotekelezwa na wapiganaji wa Kundi la Al shabaab mjini Garissa juzi na wapiganaji hao waliwatenganisha wanafunzi hao kwa misingi ya kidini kabla ya kuwaua wanafunzi wa Kikristo.
Wakati huohuo mamlaka nchini...

 

10 years ago

BBCSwahili

Familia kutambua miili ya waliouawa Kenya

Familia za wanafunzi waliouawa katika chuo kikuu Kenya zimeenda katika eneo la mkasa ili kuitambua miili ya waliouawa.

 

10 years ago

Habarileo

Wanafunzi shule za Papa, Jitengeni wamo hatarini

WANAFUNZI wa shule za msingi Papa na Jitengeni katika kata za Vunta na Kihurio wilayani Same, mkoani Kilimanjaro, wapo hatarini kupoteza maisha kutokana na kusomea katika madarasa chakavu yanayotishia kuanguka wakati wowote.

 

9 years ago

BBCSwahili

Ziara ya Papa Francis, Kenya

Serikali ya Kenya imethibitisha kukamilika kwa maandalizi ya kumpokea kiongozi wa kanisa katoliki papa Francis.

 

9 years ago

Mwananchi

Papa kutua Kenya Kesho

Kiongozi wa Kanisa Katoliki Papa Francis amesema kwamba kesho akiwa Kenya atatoa ujumbe wa amani.

 

9 years ago

BBCSwahili

Kiongozi Muislamu amsifu Papa, Kenya

Seneta muislamu nchini Kenya ametoa maoni yake kuhusu ziara ya papa Francis nchini Kenya kwa mara ya kwanza tangu achaguliwe kuwa kiongozi wa kanisa katoliki duniani.

 

9 years ago

Mwananchi

Kishindo cha Papa Francis Kenya

Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani Papa Francis aliyetua Nairobi jana saa 10:45 jioni, leo ‘atajichanganya’ katika moja ya majukumu muhimu wakati akiwa katika siku ya pili ya ziara yake nchini Kenya.

 

9 years ago

BBCSwahili

Watoto wapewa jina la Papa Kenya

Akina mama kadhaa katika mji wa Kakamega uliopo magharibi mwa Kenya wameamua kuwaita watoto wao jina la Papa Francis.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani