kenya yapiga hatua katika kutambua watu wenye jinsia mbili baada ya hukumu ya kihistoria kutolewa
![](http://2.bp.blogspot.com/-IcjrnvMkafc/VIPzHt-f4TI/AAAAAAAG1uM/pta5AHyEusc/s72-c/foot-prints.jpg)
Mahakama moja nchini Kenya imeiamuru serikali kutoa hati ya kuzaliwa kwa mtoto wa umri wa miaka mitano aliyezaliwa akiwa na jinsia za kike na kiume.
Wakati alipozaliwa mtoto huyo, wafanyakazi wa hospitali waliweka alama ya kuuliza penye kisanduku cha jinsia kwenye fomu ya uzazi mwaka 2009 baada ya kushindwa kuamua kama ni wa kike ama wa kiume.Wakili wa mtoto huyo ameeleza kufurahishwa na hukumu hiyo akisema ni hatua moja kwenda mbele katika kutambua watu wenye jinsia mbili wanaojulikana...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo13 Jun
TUME YA HAKI ZA BINADAMU, UNESCO WATAKA JAMII KUTAMBUA WATU WENYE ALBINISM
![XX](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/06/XX.jpg)
![UNS](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/06/UNS.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/XuNGW9poGs4/default.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-I8Bc0gClIQg/U0YX2wl6P8I/AAAAAAACegw/cRINE4JWqok/s72-c/New+Picture+(2).png)
TASAF YAANZA HATUA ZA KUTAMBUA KAYA MASIKINJI KATIKA MIKOA YA DODOMA,SINGIDA,KIGOMA,RUKWA NA KATAVI.
![](http://2.bp.blogspot.com/-I8Bc0gClIQg/U0YX2wl6P8I/AAAAAAACegw/cRINE4JWqok/s1600/New+Picture+(2).png)
![](http://2.bp.blogspot.com/-6-n0mrLqDGY/U0YX2VjOF0I/AAAAAAACegs/86bJYJNhxOA/s1600/New+Picture+(2).png1.png)
![](http://2.bp.blogspot.com/-xWBOY1sFlTg/U0YW68PEGDI/AAAAAAACegk/k387-Zd_uzw/s1600/New+Picture+(3).png)
10 years ago
VijimamboNEPAD YAPIGA HATUA KATIKA VIPAUMBELE VYAKE, DKT. MAYAKI
Na Ally Kondo, Addis AbabaKamati ya Uongozi ya NEPAD imekutana leo Jumatatu jijini Addis Ababa, Ethiopia kutathmini utekelezaji wa programu mbalimbali wa chombo hicho. Akitoa taarifa ya utekelezaji wa shuguli za NEPAD kwa mwaka 2014, Mtendaji Mkuu wa NEPAD, Dkt. Ibrahim Mayaki alieleza kuwa Chombo hicho kimepiga hatua kubwa katika maeneo ya...
10 years ago
MichuziNEPAD YAPIGA HATUA KATIKA VIPAUMBELE VYAKE - DKT. MAYAKI
Na Ally Kondo, Addis AbabaKamati ya Uongozi ya NEPAD imekutana leo Jumatatu jijini Addis Ababa, Ethiopia kutathmini utekelezaji wa programu mbalimbali wa chombo hicho. Akitoa taarifa ya utekelezaji wa shuguli za NEPAD kwa mwaka 2014, Mtendaji Mkuu wa NEPAD, Dkt. Ibrahim Mayaki alieleza kuwa Chombo hicho kimepiga hatua kubwa katika maeneo ya kipaumbele...
9 years ago
Dewji Blog15 Sep
Miaka 10 ya ustawi, serikali yapiga hatua katika sekta ya Tehema na Sayansi na Teknolojia
1.Katika Miaka 10 ya ustawi, serikali imekuwa katika jitihada za kuendeleza utekelezaji wa mipango na mikakati mbalimbali kwa lengo la kuinua Sekta ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia ili kufikia maendeleo ya kijamii na kiuchumi.
2. Katika Miaka 10 ya ustawi, tumeimarisha Utendaji wa Tume ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) kwa kupitia upya Sheria ya Tume ili kuipa COSTECH mamlaka ya kiudhibiti pamoja na kutambua mchango wa ubunifu.https://youtu.be/ZaXEKpIn-cI
3. Katika Miaka 10 ya...
10 years ago
Dewji Blog13 Jun
Tume ya Haki za binadamu, UNESCO wataka jamii kutambua haki za watu wenye Albinism nchini
Kamishna wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Dkt. Kevin Lothal Mandopi akielezea namna ya tume hiyo ilivyo mstari wa mbele kuelimisha Umma dhidi ya vitendo na ukatili kwa watu wenye Ualbinism nchini kwa wadau na waandishi wa habari (hawapo pichani) jijini Dar es Salaam mapema leo Juni 13.2015.
Na Andrew Chale, modewjiblog
Tume ya Haki za binadamu na Utawala bora nchini, leo Juni 13,2015, imeungana na watanzania wote kuadhimisha siku ya Kimataifa ya uelimishaji umma kuhusu Ualbino...
5 years ago
BBCSwahili10 May
Virusi vya corona: Vijana Kenya wavumbua mfumo wa CovIdent unaotarajiwa kutambua wenye virusi
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-n94JoQeWm8Y/U7pCQqJUSKI/AAAAAAAFvco/drgLIFVX0r4/s72-c/guns.jpg)
TANZANIA YAPIGA HATUA KATIKA UDHIBITI WA SILAHA NDOGO NDOGO NA NYEPESI
![](http://1.bp.blogspot.com/-n94JoQeWm8Y/U7pCQqJUSKI/AAAAAAAFvco/drgLIFVX0r4/s1600/guns.jpg)
Imeelezwa kuwa Tanzania imepiga hatua kubwa katika kukabiliana na tatizo la uzagaaji wa silaha ndogo ndogo na nyepesi kutokana na nchi nyingine za Afrika kuja kujifunza jinsi ya kukabiliana na tatizo hilo hapa nchini.
Hayo yalisemwa na Mkurugenzi wa maendeleo ya Jinsia kutoka Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto Bw.Meshack Ndaskoi wakati akifungua semina ya jinsia na uthibiti wa silaha ndogondogo na nyepesi iliyofanyika katika chuo cha Taaluma...