Baba wa familia iliyoteketea: Ningeona miili nami ningekufa
Baba wa familia iliyoteketea kwa moto ndani ya nyumba walimokuwa wamelala, jijini Dar es Salaam, Masoud Mattar Masoud (59) amesema kama angeona miili ya familia yake, naye angekufa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLZIMAMOTO YAZUNGUMZIA FAMILIA ILIYOTEKETEA KWA MOTO
10 years ago
Vijimambo08 Feb
STORI KAMILI YA FAMILIA ILIYOTEKETEA KWA MOTO DAR
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2616946/highRes/940476/-/maxw/600/-/1en0hm/-/Motto.jpg)
10 years ago
BBCSwahili03 Apr
Familia kutambua miili ya waliouawa Kenya
5 years ago
BBCSwahili03 Mar
India: Baba azika ua kuchoma maelfu ya miili ya watu kujifariji kwa kifo cha mtoto wake
10 years ago
Habarileo20 Oct
Mkulima 'baba’ wa familia ya watu 92
LICHA ya kutegemewa na familia kubwa ya watu 92, mkulima bora wa Wilaya ya Mlele, Katindi Mayogala (80), ametamba kuwa, ana akiba ya chakula inayoweza kuitosheleza familia yake kwa miaka mitatu mfululizo. Mayogola anayetajwa kuwa ni rafiki mkubwa wa Waziri Mkuu Mizengo Pinda, ana wake wanne, watoto 42 wa kuwazaa, wajukuu na vitukuu wanaofikia 50, wote wakiishi katika kijiji eneo la Tupido, Kata ya Mbede alikoweka makazi yake yenye umaarufu mkubwa kwa jina la `Katindi Kilimo Kwanza Group’,...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dj7KjSQgc-Swp1IsPfCyEiaYp8RYFQjdW3wDp-C2hqEw3kO4Kw*QtfI2GDyBEznAqVaIbp5djDqBDX1cqqCwYIJ0Wh7e1AIR/Hawa.jpg)
BABA AKIMBIA FAMILIA BAADA YA MKE KUPOOZA
10 years ago
Dewji Blog13 Apr
Familia ya Edward Moringe Sokoine wafanya misa ya kumkumbuka baba yao
Familia aliye kuwa waziri mkuu wa Tanzania hayati Edward Moringe Sokoine wakiwa katika ibada maalumu ya maadhimisho ya kifo chake nyumbani kwake Monduli juu, siku ambayo huadhimishwa April 12 kila mwaka.
![](http://4.bp.blogspot.com/-Sw9NPBhtLjk/VSvKENlImrI/AAAAAAAAcwc/BzJhVVXSk_w/s1600/IMG-20150413-WA0047.jpg)
Wake wa aliye kuwa Waziri mkuu wa Tanzania hayati Edward Moringe Sokoine, wakiweka mashada ya maua kwenye kaburi la mume wao nyumbani kwake eneo la Monduli Juu wilayani Monduli mkoani Arusha wakati wa maadhimisho ya siku ya kifo chake siku ambayo huadhimishwa April 12 kila...
10 years ago
Bongo Movies12 Aug
Mc Kenyatta : Ningebaki Huku Ningekufa Njaa
MUIGIZAJI mkongwe katika tasnia ya filamu Bongo Emanuel Kenyatta ‘Mc Kenyatta’ amefunguka kuwa kama angaeendelea kutegemea sanaa ya uigizaji hadi leo hii angekufa njaa, lakini baada ya kujiongeza maisha yanaendelea na kazi ambayo inamuigizia riziki ni ushereheshaji katika shughuli mbalimbali.
“Sanaa imevamiwa kwa sasa hasa hawa akina dada zetu, na ukiangalia hali ya soko ilivyo inakuwa vigumu sana kutegemea kipato katika filamu, unatakiwa kujiongeza naamini kama si kuwa Mc leo ningefeli...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dzJVcnA3Xm3mS2Z4zLOgWB9PxOEiD8ZD28Jtw*0syWgLMSsfPEu4mW9uzjlVrF53NPgxwPBD0oZGNPwLmDwJ22OesHhEg0xM/RAV42.jpg)
TASWIRA ZA TOYOTA RAV 4 ILIYOTEKETEA KWA MOTO SELANDER BRIDGE