Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TASWIRA ZA TOYOTA RAV 4 ILIYOTEKETEA KWA MOTO SELANDER BRIDGE

Gari hili aina ya Toyota Rav 4 likiteketea kwa moto maeneo Selander Bridge jijini Dar es Salaam jana. (PICHA NA GLOBAL WHATSAPP 0753 715…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Bonge la Toyota RAV 4 linauzwa

ipo katika hali nzuri.  Ni ya mwaka 2001, 4WD, Petrol, Automatic, engine capacity 1998, Milleage 82000, ina Air Conditioning, Airbags, Alloy Wheels, AM/FM Radio, Anti-Lock Brakes, Electric Windows ,Front Fog Lamps ,Power Steering,  n.k. Gari ipo Dar es Salaam. Bei milioni 14. Kwa mawasiliano zaidi   piga namba 0655657911 au 0754573435.



 

10 years ago

TheCitizen

By-pass for Selander bridge

The government has secured Sh110 billion to construct a by-pass bridge along Ali Hassan Mwinyi road in one of several projects to de-congest the city.

 

10 years ago

GPL

TOYOTA RAV 4 YAVAMIA MTARO JIJINI ARUSHA

Muonekano wa gari aina ya Toyota RAV 4 yenye namba za usajili T 380 CVF baada yakuacha njia na kuingia katika mtaro jana jioni Arusha mjini. Wananchi wakiwa eneo la tukio baada ya gari hiyo kuingia katika mtaro.…

 

10 years ago

GPL

ZIMAMOTO YAZUNGUMZIA FAMILIA ILIYOTEKETEA KWA MOTO

Inspekta  Puyo  Nzalayaimis  akisoma tamko mbele ya waandishi wa habari (hawako pichani).…

 

10 years ago

Vijimambo

STORI KAMILI YA FAMILIA ILIYOTEKETEA KWA MOTO DAR

Dar es Salaam. “Yesu tuokoe, Yesu tuokoe”. Ndiyo sauti ya mwisho iliyosikia toka kwenye nyumba ya vyumba vitatu na sebule iliyoteketea kwa moto na kusababisha watu sita wa familia moja kupoteza maisha, huku miili ya baba na mama wa familia hiyo ikikutwa pamoja imekumbatiana, ikiwa ni ishara ya kufa pamoja.Kila aliyekuwepo kwenye eneo la tukio alikuwa ni mwenye simanzi, hasa waumini wenzake wa Kikristo kwakuwa jana (Jumamosi) ilikuwa ni zamu ya familia hiyo kuwa wenyeji wa sala ya pamoja ya...

 

11 years ago

GPL

TOYOTA STARLET YATEKETEA NA MOTO

Gari aina ya Toyota Starlet limeungua moto siku ya jana Mji Mwema Kigamboni Dar es Salaam siku ya jana. Chanzo cha moto kilitokana na mafundi kuchomelea na Mtungi wa gesi kulipuka. (Picha na Global WhatsApp +255 753 715 779 : Gabriel…

 

11 years ago

GPL

TASWIRA ZA MOTO ULIOTEKETEZA SEHEMU YA HOTELI YA PICOLO BEACH

Pichani juu ni taswira za sehemu ya Hoteli…

 

10 years ago

GPL

TASWIRA ZA MOTO ULIOZUKA KATIKA GHALA LA KUHIFADHIA BIDHAA DAR

MOTO huu umezuka leo asubuhi katika ghala la kuhifadhia bidhaa mbalimbali maeneo ya barabara ya Pugu jijini Dar es Salaam. (Picha kwa hisani ya Times…

 

10 years ago

Dewji Blog

RAV 4 inauzwa

Model 2000 wasiliana na 0767 -622 987

IMG-20141027-WA009

 

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani