TOYOTA RAV 4 YAVAMIA MTARO JIJINI ARUSHA
![](http://api.ning.com:80/files/1JjBqDnNiQEa2B7LvHolDWR6Q-JhFWXJxxE-pJAUbRjrDWr8W*823RHRwI7g8aIhp2BliC62m3LEmPBPld7INCQrGnKpRGTR/AJALI2.jpg?width=650)
Muonekano wa gari aina ya Toyota RAV 4 yenye namba za usajili T 380 CVF baada yakuacha njia na kuingia katika mtaro jana jioni Arusha mjini. Wananchi wakiwa eneo la tukio baada ya gari hiyo kuingia katika mtaro.…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-kyAgRYGv2wo/U5SZsdwUPvI/AAAAAAAFpAE/DocYw6GHS9g/s72-c/unnamed+(69).jpg)
Bonge la Toyota RAV 4 linauzwa
![](http://3.bp.blogspot.com/-kyAgRYGv2wo/U5SZsdwUPvI/AAAAAAAFpAE/DocYw6GHS9g/s1600/unnamed+(69).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-5ed3Z9VZ25M/U5SZsUYFVuI/AAAAAAAFo_8/V0qpFT1FU5A/s1600/unnamed+(70).jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dzJVcnA3Xm3mS2Z4zLOgWB9PxOEiD8ZD28Jtw*0syWgLMSsfPEu4mW9uzjlVrF53NPgxwPBD0oZGNPwLmDwJ22OesHhEg0xM/RAV42.jpg)
TASWIRA ZA TOYOTA RAV 4 ILIYOTEKETEA KWA MOTO SELANDER BRIDGE
9 years ago
Dewji Blog07 Dec
BE FORWARD yakabidhi gari Toyota IST kwa mshindi jijini Arusha katika Promosheni ya Jishindie IST
Kushoto ni Meneja Masoko wa Kampuni ya Be Forward Geoffrey Mibaz akimkabidhi mshindi ambaye ni Mwalimu wa Shule ya St. Jude Mkoani Arusha aliyeambatana na familia yake, Rasul Mngazija gari aina ya Toyota IST yenye thamani ya Sh. Milioni 12 katika promosheni ya jishindie IST iliyofanyika jana jijini Arusha iliyoendeshwa na kampuni ya uuzaji magari ya Be Forward Tawi la Tanzania
Muonekano wa Gari aina ya Toyota IST yenye thamani ya Sh. Milioni 12
Mshindi Rasul Mngazija akiwa na mkewe...
9 years ago
Michuzi07 Dec
KAMPUNI YA BE FORWARD YAKABIDHI GARI AINA YA TOYOTA IST KWA MSHINDI JIJINI ARUSHA KATIKA PROMOSHENI YA JISHINDIE IST
![DSC00871](https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/12/dsc00871.jpg?w=627)
![DSC00877](https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/12/dsc00877.jpg?w=627)
![DSC00875](https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/12/dsc00875.jpg?w=627)
5 years ago
MichuziMKUU WA MKOA WA ARUSHA AFUNGUA MAFUNZO YA MADAKTARI YANAYORATIBIWA NA WCF JIJINI ARUSHA
Mkuu wa Mkoa ametoa kauli hiyo leo Juni 24, 2020 katika hotuba iliyosomwa kwa niaba yake na Mkuu wa Wilaya ya Arusha Kenan Laban Kihongesi wakati akifungua mafunzo ya uelimishaji wa tathmini za ulemavu uliotokana na...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-JObX3Y4BG3g/VCAoyBvqZuI/AAAAAAAGlAk/3xhLNzMFWow/s72-c/unnamed%2B(52).jpg)
MKUU WA MKOA ARUSHA AZINDUA WIKI YA NENDA KWA USALAMA BARABARANI, KITAIFA JIJINI ARUSHA LEO.
![](http://4.bp.blogspot.com/-JObX3Y4BG3g/VCAoyBvqZuI/AAAAAAAGlAk/3xhLNzMFWow/s1600/unnamed%2B(52).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-xSjfbwbfM14/VCAoxytleGI/AAAAAAAGlAg/VmyBabMETYA/s1600/unnamed%2B(53).jpg)
10 years ago
Dewji Blog28 Oct
9 years ago
Mtanzania04 Nov
Mkandarasi akimbia ujenzi wa mtaro
TUNU NASSOR NA ALLEN MSAPI, DAR ES SALAAM
MKANDARASI aliyepewa zabuni ya ujenzi wa mtaro wa maji uliosababisha mafuriko katika eneo la Buguruni kwa Mnyamani Machi, mwaka huu, ameutelekeza.
Mtaro huo ambao ulisababisha watu kuishi katika mazingira magumu, baada ya kuziba na maji kuingia kwenye makazi yao, ulimfanya Rais Jakaya Kikwete kufika eneo hilo na kutaka baadhi ya nyumba zivunjwe.
Akizungumza na MTANZANIA, Msemaji wa Manispaa ya Ilala, Tabu Shaibu, alisema mkandarasi huyo ambaye...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/d9P270TQqaoNGdxonRQOkpM1lXRdFsPpBNsl2HvnYVdLhkwV2k68E9qRs8sl8qslIxyUjuSb07KXPHLzFzbL9puPTgjFtTId/IMG20140918WA0007.jpg)
AJALI YA DCM NA RAV 4 MAENEO YA ILALA