Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TASWIRA ZA MOTO ULIOTEKETEZA SEHEMU YA HOTELI YA PICOLO BEACH

Pichani juu ni taswira za sehemu ya Hoteli…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

PICOLO BEACH HOTEL YAUNGUA MOTO

Sehemu ya Hoteli ya Picolo Beach ikiteketea kwa moto. Sehemu ya Hoteli ya Picolo Beach iliyopo Kawe, Dar es Salaam kwa sasa  inateketea kwa moto. Chanzo cha moto huo bado hakijafahamika mpaka sasa! Tutaendelea kuwapa taarifa zaidi juu ya tukio hili! (PICHA NA GLOBAL WHATSAPP 0753 715 779)

 

10 years ago

Vijimambo

BALOZI SEIF AKAGUA ATHARI ZA MOTO KATIKA HOTELI YA KITALII YA KARAFUU BEACH RESORT

Baadhi ya Majengo ya Haoteli ya Karafuu Beach Resort Spa ya Michamvi yaliyoungua kwa moto usiku wa kuamkia juzi na kusababisha hasara ya mamilioni ya fedha.Bwawa la Hoteli ya Karafuu Beacha Resort Spa likionekana kuathirika na moto ulioikumba Hoteli hiyo juzi alfajiri.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar akiwa na mwenyeji wake Meneja wa Kafaruu Beach Resort Spa Bwana Zakaria Juma wakiangalia baadhi ya majengo yaliyoteketea kwa moto juzi alfajiri.Maneja wa Hoteli ya Karafuu Beach Resort Bwana...

 

10 years ago

Michuzi

Gold Zanzibar Beach hotel yaadhimisha miaka miwili ya hoteli hiyo

 Mkurugenzi Mkuu wa hoteli ya Gold Zanzibar Beach hotel  Bw.  Andrea Lottle akishirikiana na Wafanyakazi wa hoteli hiyo wakisherehekea kwa kuzima mshumaa kuadhimisha miaka miwili ya hoteli hiyo iliofanyika katika ukumbi wao kNungwi Kwenda. Wageni wa hoteli ya Gold Zanzibar Beach wakipata picha za kumbukumbu ya hafla hiyo ya sherehe za kutimia miaka miwili ya hoteli hiyo iliofanyika katika ukumbi wake kendwa Zanzibar.
 Msanii wa kitaliano Antonela Mignlore akionesha sanaa za utamaduni wa...

 

10 years ago

Michuzi

Diamond na Mzee Yusuf kuwasha moto Dar Live Krismas katika tamasha la wafalme chini ya Vodacom Tanzania, Moto mwingine wa burudani utakuwa Coco beach

Wapenzi wa burudani  ya muziki wa kizazi kipya na muziki wa taarabu watapata burudani ya funga mwaka kutoka kwa gwiji wa muziki wa kizazi kipya ambaye anatamba kwa vipao mbalimbali vipya Diamond Platnumz na mfalme wa muziki wa taarabu Mzee Yusuf  na kundi lake la Jahazi Modern Taarab watapanda jukwaa moja katika”Tamasha Wafalme”litakalofanyika katika ukumbi wa Dar Live,Mbagala jijini Dar es Salaam.Tamasha hili  la wafalme ambalo limeanza kuwa gumzo la  jiji kutokana na kuwa na burudani za...

 

10 years ago

Vijimambo

TASWIRA ZA INSTAGRAM PARTY JEMBE BEACH MWANZA

Instagram Party iliyofanyika Jembe Beach Mwanza usiku wa Oct 4, 2014 na kuhudhuliwa na mashabiki wa Instagram ambapo Wakazi, Ben Paul, Stereo na Songa walifanya onesho kali huku Madi Vasley na Dommy wakifanya vitu vyao.Mashabiki wa Instagram wakipata picha ya pamoja wakati wakiwa kwenye Instgram Party iliyofanyika Jembe Beach Mwanza.Ni ukodak Moment kwa kwenda mbele ndani ya Jembe Beach Mwanza.Kwa picha zaidi bofya soma zaidi

 

10 years ago

Habarileo

Moto wateketeza hoteli mbili za kitalii

WAMILIKI wa hoteli za kitalii ziliopo Zanzibar, wameitaka Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ) kuimarisha huduma za zimamoto ziliopo mikoani ili kupambana na matukio na majanga ya moto.

 

11 years ago

GPL

CHEGE,YP WAWASHA MOTO COCO BEACH

Msanii chipukizi wa muziki wa kizazi kipya Msomi John a.k.a War killer akiwapagawisha wakazi wa jiji la Dar es Salaam katika Tamasha la Cheka Bombastik lililoandaliwa na Vodacom Tanzania mahususi kwa ajili ya wateja wake katika msimu huu wa sikukuu ya pasaka na kufanyika kwa siku mbili mfululizo katika fukwe za bahari ya hindi coco beach. Mwanaidi Jumanne akiwa kwenye Swagga la ukweli la pasaka katika Tamasha la Cheka Bombastik...

 

11 years ago

GPL

MOTO WA AJABU WAMUUNGUZA SEHEMU ZA SIRI

Doto Omari kushoto aliyeunguzwa na moto wa ajabu sehemu za siri. Stori: Chande Abdallah na Deogratius Mongela KATIKA tukio linalohusishwa na ushirikina, mwanamke mmoja aliyejulikana kwa jina la Doto Omari (30, pichani) ameunguzwa na moto wa ajabu sehemu zake za siri. Moja ya jeraha alilolipata. Tukio hilo la aina yake lilitokea alfajiri ya Machi 16 mwaka huu,   Mwananyamala – Kichangani, Dar,  wakati… ...

 

10 years ago

Michuzi

Moto wa burudani kuwaka ufukweni Coco Beach Pasaka

Katika kuadhimisha sikukuu ya Pasaka kwa furaha,wakazi wa jiji la Dar es Salaam na vitongoji vyake wataweza kupata burudani za aina mbalimbali katika tamasha kubwa la Pasaka litakalofanyika katika ufukwe wa maraha wa Coco beach chini ya maandalizi ya Vodacom Tanzania.
Akiongea juu ya tamasha hili kubwa ambalo hivi sasa limeanza kuwa gumzo ya jiji,Meneja Uhusiano wa Vodacom Tanzania, Matina Nkurlu alisema mipango yote kuhusiana na tamasha hilo imekamilika kinachongojewa ni kuwasha moto wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani