Gold Zanzibar Beach hotel yaadhimisha miaka miwili ya hoteli hiyo
![](http://1.bp.blogspot.com/-OsrvoOpQW4M/VIW3vLTf7yI/AAAAAAAG2Do/m5FecXM3yXQ/s72-c/unnamed%2B(4).jpg)
Mkurugenzi Mkuu wa hoteli ya Gold Zanzibar Beach hotel Bw. Andrea Lottle akishirikiana na Wafanyakazi wa hoteli hiyo wakisherehekea kwa kuzima mshumaa kuadhimisha miaka miwili ya hoteli hiyo iliofanyika katika ukumbi wao kNungwi Kwenda.
Wageni wa hoteli ya Gold Zanzibar Beach wakipata picha za kumbukumbu ya hafla hiyo ya sherehe za kutimia miaka miwili ya hoteli hiyo iliofanyika katika ukumbi wake kendwa Zanzibar.
Msanii wa kitaliano Antonela Mignlore akionesha sanaa za utamaduni wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-CUA-A5T1Fz0/U8mFwzT0_sI/AAAAAAAF3kI/dGURx-gOthY/s72-c/unnamed+(22).jpg)
ZANZIBAR BEACH SOCCER KUCHEZWA KENDWA ROCK'S HOTEL BEACH
Kwa mujibu wa taarifa yao hiyo kwa vyombo vya habari, iliyotolewa na Mwandaaji wa michezo hiyo, Muslim Nassor ‘Jazzphaa’ ilieleza kuwa, kamati ya...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-8eK4PLKJbuQ/U8mJMT3fIpI/AAAAAAAClvI/M67D6LiOan4/s72-c/naura-spring-hotel.jpg)
UONGOZI WA HOTELI YA NAURA SPRINGS WAKANUSHA TAARIFA ZA KUWAKA MOTO KWA HOTEL HIYO
![](http://3.bp.blogspot.com/-8eK4PLKJbuQ/U8mJMT3fIpI/AAAAAAAClvI/M67D6LiOan4/s1600/naura-spring-hotel.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-8VFLqEoEpSg/U8mKOCwmglI/AAAAAAAClvU/djPCOL6CU_0/s1600/10553427_779040725481742_6454809718669346452_n.jpg)
UTAWALA NA WAFANYAKAZI WA HOTELI YA NAURA SPRINGS IMESIKITISHWA KWA TAARIFA ZILIZOSAMBAA KWENYE MITANDAO MBALIMBALI YA KIJAMII KUHUSU KUWA HOTELI YETU INAWAKA MOTO NA KUSABABISHA USUMBUFU MKUBWA KWA WATU WA MKOA WETU, NDUGU NA JAMAA WA WAFANYAKAZI WA...
10 years ago
Dewji Blog02 Dec
Fastjet yaadhimisha miaka miwili ya huduma nafuu kwa wasafiri wa anga
Kampuni ya ndege ya fastjet, ambayo ni Kampuni yenye gharama nafuu kote Afrika, imeadhimisha miaka miwili ya kutoa usafiri wa anga barani Africa.
Fastjet ilianza biashara ya usafiri wa anga hapa Tanzania tarehe 29 Novemba 2012, ikifanya safari zake kutoka Dar es Salaam kwenda Kilimanjaro na Mwanza kupitia ndege yake aina ya A319.
Tangu wakati huo, Fastjet imepanua wigo wa mtandao wake nchini Tanzania pamoja na kuanzishwa kwa njia yake ya tatu kwenda Mbeya. Kwa sasa safari za Kimataifa za...
11 years ago
Dewji Blog30 Jun
Kampuni ya Green Waste Pro Ltd yaadhimisha sherehe ya kutimiza miaka miwili katika ukumbi wa Makumbusho ya Taifa
Mkurugenzi wa Green WastePro Ltd Ndg. Mark Anthony Shayo akizungumza jambo kwenye sherehe ya kutimiza miaka miwili kwa kampuni hii ya kufanya usafi katika jiji la Dar es salaam hususani kwenye manispaa ya Ilala.
Naibu Meya wa Manispaa ya Ilala Mh. Kheri Kessy akizungumza jambo kwenye sherehe ya maadhimisho ya miaka miwili ya Kampuni ya Green WastePro Ltd kwenye ukumbi wa makumbusho siku ijumaa tarehe 27, 2014.
Naibu Meya wa Manispaa ya Ilala Mh. Kheri Kessy akizungumza jambo kwenye...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-PEvZyn05XD4/Uy9CbiLNWiI/AAAAAAAFVyc/4jxSZumrULA/s72-c/unnamed+(91).jpg)
MAMLAKA YA HALI YA HEWA ZANZIBAR YAADHIMISHA SIKU YA MAMLAKA HIYO DUNIANI
10 years ago
Dewji Blog01 Jun
Hotel ya DoubleTree By Hilton ya Jijini Dar yafanya usafi wa mazingira yanayoizunguka hotel hiyo
11 years ago
GPLTASWIRA ZA MOTO ULIOTEKETEZA SEHEMU YA HOTELI YA PICOLO BEACH
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DmWKX8GKoMlHFBigKOti7cl7Or5OWUY1-Va1-euSTXxP0FuLiERSgGoI4IyCiYSmlmRXl9qz8zzntmCk7l*N6Z52cckwayvf/1moto.jpg)
PICOLO BEACH HOTEL YAUNGUA MOTO