PICOLO BEACH HOTEL YAUNGUA MOTO
![](http://api.ning.com:80/files/DmWKX8GKoMlHFBigKOti7cl7Or5OWUY1-Va1-euSTXxP0FuLiERSgGoI4IyCiYSmlmRXl9qz8zzntmCk7l*N6Z52cckwayvf/1moto.jpg)
Sehemu ya Hoteli ya Picolo Beach ikiteketea kwa moto. Sehemu ya Hoteli ya Picolo Beach iliyopo Kawe, Dar es Salaam kwa sasa inateketea kwa moto. Chanzo cha moto huo bado hakijafahamika mpaka sasa! Tutaendelea kuwapa taarifa zaidi juu ya tukio hili! (PICHA NA GLOBAL WHATSAPP 0753 715 779)
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLTASWIRA ZA MOTO ULIOTEKETEZA SEHEMU YA HOTELI YA PICOLO BEACH
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-CUA-A5T1Fz0/U8mFwzT0_sI/AAAAAAAF3kI/dGURx-gOthY/s72-c/unnamed+(22).jpg)
ZANZIBAR BEACH SOCCER KUCHEZWA KENDWA ROCK'S HOTEL BEACH
Kwa mujibu wa taarifa yao hiyo kwa vyombo vya habari, iliyotolewa na Mwandaaji wa michezo hiyo, Muslim Nassor ‘Jazzphaa’ ilieleza kuwa, kamati ya...
10 years ago
Mwananchi15 Nov
Machinga Complex yaungua kwa moto
9 years ago
Global Publishers22 Dec
Kliniki ya afya ya mapenzi Mwanza yaungua moto
Moto mkali ukiunguza Ofisi za Kliniki ya afya ya mapenzi iliyopo jijini Mwanza leo.
Ofisi hizo zikizidi kuungua kwa moto.
Zimamoto wakijaribu kupambana na moto huo.
Na Idd Mumba, Mwanza
Ofisi za Kliniki ya afya ya mapenzi iliyopo jijini Mwanza karibu na jengo la Nyanza leo majira ya saa tisa alasiri imeungua moto na kuteketeza vitu mbalimbali vilivyokuwepo katika kliniki hiyo.
Wakizungumza na www.globalpublishers.co.tz mashuhuda wa tukio hilo wamesema waliona moshi ukitoka katika...
11 years ago
Michuzi16 Mar
NEWS ALERT: NYUMBA YA MKUU WA WILAYA YA KILWA YAUNGUA MOTO ASUBUHI HII
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-MipzfCBKRq8/U8mDPpEpjwI/AAAAAAAF3ik/uQake15UFqo/s72-c/147933f307eb1a78f0a5b625e2eaab2f.jpg)
utumiaji mbaya wa mitandao wapamba moto, Naura spring hotel yazushiwa kuungua moto, polisi yakanusha
![](https://4.bp.blogspot.com/-X5RGQ-FX9SE/U8lfIZDX18I/AAAAAAACzFM/YYTXfOak2oc/s1600/NAURA+SPRING.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-MipzfCBKRq8/U8mDPpEpjwI/AAAAAAAF3ik/uQake15UFqo/s1600/147933f307eb1a78f0a5b625e2eaab2f.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-K_LkjDc3Rd0/VJUsyVBQWNI/AAAAAAAG4l8/9flQfWR5gQE/s72-c/DIAMONDNAMZEEYUSUF.jpg)
Diamond na Mzee Yusuf kuwasha moto Dar Live Krismas katika tamasha la wafalme chini ya Vodacom Tanzania, Moto mwingine wa burudani utakuwa Coco beach
![](http://3.bp.blogspot.com/-K_LkjDc3Rd0/VJUsyVBQWNI/AAAAAAAG4l8/9flQfWR5gQE/s1600/DIAMONDNAMZEEYUSUF.jpg)
10 years ago
Dewji Blog03 Aug
Tamasha la NHC Family Day lafanyika Kunduchi Beach Hotel
Mkuu wa Kitengo cha Huduma na Mawasiliano waNHC, Bi Suzan Omari akipata maelezo kutoka kwa baadhi ya wafanyakazi wa shirika hilo waliokuwa wakisimamia michezo mbalimbali wakati wa tamasha la NHC Family Day lililofanyika kwenye hoteli ya Kunduchi Beach mwishoni mwa wiki likishirikisha wafanyakazi wa shirika hilo jijini Dar es salaam na familia zao na kufahamiana ikiwani pamoja na kubadilishana mawazo.
Wafanyakazi hao wakishindana katika mbio ufukweni.
Mmoja wa wafanyakazi wa NHC akiwa...
11 years ago
CloudsFM04 Jul
POLISI AMRUBUNI MWANAFUNZI KUFANYA NAYE MPENZI,AMWACHA CHUMBANI KWAKE,NYUMBA YAKE YAUNGUA MOTO,MWANAFUNZI AFARIKI DUNIA
Wananchi wa Mlangali, Ludewa wakiwa wamekizingira kituo cha polisi Mlangali mara baada ya kuipeleka maiti ya mtoto aliyeteketea kwa moto katika kituo hicho.
KIONGOZI wa mbio za mwenge Kitaifa awatuliza wananchi wa Mlangali wilaya ya Ludewa ambao baadhi yao waliandamana kituo cha polisi kushinikiza kutolewa kwa askari polisi aliyedaiwa kusababisha kifo cha mtoto ili auwawe.
Kiongozi huyo aliwaomba wananchi wa Mlangali kutokubali kujihusisha na vitendo vya uvunjifu wa amani ikiwa ni pamoja na...