BABA AKIMBIA FAMILIA BAADA YA MKE KUPOOZA
![](http://api.ning.com:80/files/dj7KjSQgc-Swp1IsPfCyEiaYp8RYFQjdW3wDp-C2hqEw3kO4Kw*QtfI2GDyBEznAqVaIbp5djDqBDX1cqqCwYIJ0Wh7e1AIR/Hawa.jpg)
Na Haruni Sanchawa MAMA mmoja Aisha Ramadhani (26), mkazi wa Gongo la Mboto , Ilala jijini Dar es Salaam amedai kuwa amekimbiwa na mume aliyemtaja kwa jina Athuman Hussein baada ya kupooza kwa miaka miwili. Aisha Ramadhani anayedai kutorokwa na mumewe baada ya kupooza. Akizungumza na gazeti hili wiki iliyopita huku akibubujikwa na machozi , mama huyo wa mtoto mmoja alisema anateseka kwa miaka miwili sasa na amehangaika...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vOTW6a5PmQTcU1ydoGE5DQNRUm3XUv92mVJqp-ROminobGl6B09ZYFrC99igbHGtIIUiei4iK0gtY5hSA-Wf3bmiZLQjnZF0/mhhalivyorembwa.jpg?width=650)
KISA VICOBA, MKE AKIMBIA NDOA!
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BKb27P3JwiGP58buB3cEiQ6bzMgnDvys0ULhmdX1C5ts3JFnEdP*95Nouzv3wBOnFI0gBgg7XOuJHVUQ8xpbj7GdrbJm7Fxy/Kipigo.gif?width=650)
NJEMBA ALA KIPIGO, MKE AKIMBIA
9 years ago
Mwananchi27 Nov
Mke auawa kwa mapanga, mume akimbia
10 years ago
Habarileo20 Oct
Mkulima 'baba’ wa familia ya watu 92
LICHA ya kutegemewa na familia kubwa ya watu 92, mkulima bora wa Wilaya ya Mlele, Katindi Mayogala (80), ametamba kuwa, ana akiba ya chakula inayoweza kuitosheleza familia yake kwa miaka mitatu mfululizo. Mayogola anayetajwa kuwa ni rafiki mkubwa wa Waziri Mkuu Mizengo Pinda, ana wake wanne, watoto 42 wa kuwazaa, wajukuu na vitukuu wanaofikia 50, wote wakiishi katika kijiji eneo la Tupido, Kata ya Mbede alikoweka makazi yake yenye umaarufu mkubwa kwa jina la `Katindi Kilimo Kwanza Group’,...
11 years ago
GPLH BABA: GAZETI NDIYO LILINIPA MKE
9 years ago
Mwananchi29 Aug
Baba wa familia iliyoteketea: Ningeona miili nami ningekufa
11 years ago
Michuzi14 Jul
MKE WA MBUNGE WA CHALINZE AGAWA MISAADA KWA FAMILIA ZENYE MAHITAJI MUHIMU
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/07/119.jpg)
10 years ago
Dewji Blog13 Apr
Familia ya Edward Moringe Sokoine wafanya misa ya kumkumbuka baba yao
Familia aliye kuwa waziri mkuu wa Tanzania hayati Edward Moringe Sokoine wakiwa katika ibada maalumu ya maadhimisho ya kifo chake nyumbani kwake Monduli juu, siku ambayo huadhimishwa April 12 kila mwaka.
![](http://4.bp.blogspot.com/-Sw9NPBhtLjk/VSvKENlImrI/AAAAAAAAcwc/BzJhVVXSk_w/s1600/IMG-20150413-WA0047.jpg)
Wake wa aliye kuwa Waziri mkuu wa Tanzania hayati Edward Moringe Sokoine, wakiweka mashada ya maua kwenye kaburi la mume wao nyumbani kwake eneo la Monduli Juu wilayani Monduli mkoani Arusha wakati wa maadhimisho ya siku ya kifo chake siku ambayo huadhimishwa April 12 kila...
10 years ago
Bongo526 Sep
H.Baba na mke wake Flora Mvungi watapeana tuzo Jumamosi hii