Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


H BABA: GAZETI NDIYO LILINIPA MKE

H Baba na mkewe Flora Mvungi wakihojiwa ndani ya Global TV Online. MFALME wa miondoko ya Takeu, Hamis Ramadhan ‘H Baba’ amefunguka kuwa gazeti (la Global Publishers) lilikuwa kigezo kikuu cha yeye kumtia mikononi, mkewe muigizaji, Flora Mvungi. WASIKILIZE H BABA NA MKEWE FLORA MVUNGI WALIPOLONGA NA GLOBAL TV ONLINE NDANI YA MTU KATI Akizungumza na Global TV Online kwenye kupitia Kipindi cha Mtu… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

GAZETI LA IJUMAA NDIYO HABARI YA MJINI !

Baadhi ya wafanyakazi wa Kampuni ya Global Publishers wakiwa wanasoma gazeti la Ijumaa huku wakiwa wamevalia T-Shirt zinazolitangaza gazeti hilo.
Baadhi ya wafanyakazi wa Global wakiwa wamependeza ndani ya t-shirt zenye chata la Ijumaa.
Mhariri wa Gazeti la Ijumaa, Amrani…

 

10 years ago

GPL

Mke wa Jaja ndiyo tatizo

Mshambuliaji Geilson Santana ‘Jaja’. Hans Mloli na Sweetbert Lukonge
SIRI imefichuka, ni ya kile kilichosababisha mshambuliaji Geilson Santana ‘Jaja’ kuamua kuondoka Yanga ikiwa ni baada ya kuichezea timu hiyo mechi saba tu za Ligi Kuu Bara.Taarifa kutoka ndani ya Yanga zinaeleza, uongozi utakutana na kujadili iwapo uchukue hatua kwa kulifikisha suala hilo kwa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) na...

 

10 years ago

GPL

BABA AKIMBIA FAMILIA BAADA YA MKE KUPOOZA

Na Haruni Sanchawa
MAMA mmoja Aisha Ramadhani (26),  mkazi  wa Gongo la Mboto , Ilala jijini Dar es Salaam amedai kuwa amekimbiwa na mume aliyemtaja kwa jina Athuman Hussein baada ya kupooza kwa miaka miwili. Aisha Ramadhani anayedai kutorokwa na mumewe baada ya kupooza. Akizungumza na gazeti hili wiki iliyopita huku akibubujikwa na machozi , mama huyo wa mtoto mmoja alisema anateseka kwa miaka miwili sasa na amehangaika...

 

10 years ago

Bongo5

H.Baba na mke wake Flora Mvungi wanatarajia kupata mtoto wa pili

H.Baba amethibitisha kuwa mke wake Flora Mvungi ni mjamzito na hivyo wanatarajia kupata mtoto wa pili. Akizungumza na 255 ya XXL leo, H. Baba amesema miongoni mwa mafanikio aliyopata mwaka jana ni pamoja na kumpa ujauzito mwingine mke wake. “Faida ya mwaka jana ni mwana mama Flora Mvungi kujaa tena,” alisema. “Nikwambie kitu kimoja mimba […]

 

10 years ago

Bongo5

H.Baba na mke wake Flora Mvungi watapeana tuzo Jumamosi hii

Baada ya kudai kunyimwa nafasi ya kupewa tuzo na waandaji wa tuzo mbalimbali nchini, H.Baba na mke wake Flora Mvungi, Jumamosi hii ndani ya hoteli ya Giraffe Ocean View wanatajia kupeana tuzo wao kwa wao. Akizungumza na Bongo5, H.Baba amesema kuna mashabiki wao wengi wanapenda kuwaona wakipewa tuzo hali ambayo haijawahi kutokea. “Hizi ni tuzo […]

 

10 years ago

GPL

SENGA :BUSU LA KAJALA LILINIPA USINGIZI

Imelda Mtema MCHEKESHAJI maarufu Bongo, Joseph Senga ‘Senga’ amefunguka kuwa busu alilompiga staa wa kike wa filamu, Kajala Masanja lilimfanya alale usingizi mnono sana ukizingatia kuwa hajawahi kubusu shavu laini kiasi hicho kwasababu warembo wengi wanazingua. Joseph Senga ‘Senga’ Akizungumza na Centre Spread, Senga alisema alipata fursa hiyo ya kumpiga busu wakati wakiigiza filamu matata ya Pishu...

 

5 years ago

CCM Blog

BABA WA UZAO: PAMBANENI KUONDOA MAOVU MNAKOISHI, YAKITOKEA NINYI NDIYO MNAOPASWA KULAUMIWA SIYO VIONGOZI AU SERIKALI

Baba wa Uzao akihubiria mamia ya waumini wakati wa Ibada iliyofanyika katika Kanisa Halisi la Mungu Baba, Tegeta jijini Dar es Salaam, leo. Picha nyingine zaidi ya 50 za ibada hiyo, Tafadhali >> BOFYA HAPA

CCM Blog, Tegeta.
Makanisa na Waumini wametakiwa kufanya jitihada za kuhakikisha hakuna matendo mabaya kama ujambazi na ukahaba kwa kuwa maovu hayo yakitendeka katika mitaa yao wao ndiyo wanaopaswa kulaumiwa badala ya kuwatupia lawama viongozi.

Hayo yamesemwa na Kiongozi wa Kanisa Halisi la...

 

10 years ago

Dewji Blog

Rambirambi kwa kifo cha mke wa mwanamuziki John Kitime na Baba yake msanii Dully Sykes

BASATA

Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limepokea kwa masikitiko na majonzi makubwa kifo cha Mke wa Msanii mkongwe wa muziki wa dansi na Mjumbe wa Bodi ya BASATA Bw. John Kitime kilichotokea mwishoni mwa wiki iliyopita usiku wa kuamkia Ijumaa ya Tarehe 13/02/2014.

Aidha, BASATA linatoa salamu rambirambi kwa kifo cha Baba Mzazi wa Msanii Dully Sykes, Mzee Abby Sykes kilichotokea jana Jumapili ya Tarehe 15/02/2015.

Pamoja na vifo hivi kuacha majonzi na huzuni kwa wanafamilia, ni pigo pia kwenye...

 

10 years ago

Vijimambo

TASWIRA YA KWENYE DUA YA KUMUOMBEA BABA MZAZI WA MKE WA BWANA KIBODYA MZEE ABBAS K. MANG'ULO

Bwana Kibodya katikati wakati wa dua ya kumuombea baba mkwe wake mzee Abbas K. Mang'ulo aliefariki huko Tanzania wiki iliyopita. Dua hiyo iliyofanyika Masjid Al Baqi 148 Fort Pleasant Avenue, Springfield, Mass na kuudhuliwa na dungu pamoja na marafiki kutoka Miji ya Boston, New York, New Jersey na Springfield yenyewe.Huyu hapa ni Bwana Kibodya akitanguliza shukrani kwa niaba ya mke wake mbele ya watu waliojitokeza kwenye dua hiyo.Khajat Swalha Kibodya, mke wa bwana Isaac Kibodya akionekana...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani