SENGA :BUSU LA KAJALA LILINIPA USINGIZI
![](http://api.ning.com:80/files/tVyYDnk4ZvPPMYueHA-0kgoiEL3kY1N0Y5IamlY70Ph7NoX3D83uzG7Ly13G3Vvmq9QERSOXRwriXODDYLam1cihprjIuTkZ/kk.gif?width=650)
Imelda Mtema MCHEKESHAJI maarufu Bongo, Joseph Senga ‘Senga’ amefunguka kuwa busu alilompiga staa wa kike wa filamu, Kajala Masanja lilimfanya alale usingizi mnono sana ukizingatia kuwa hajawahi kubusu shavu laini kiasi hicho kwasababu warembo wengi wanazingua. Joseph Senga ‘Senga’ Akizungumza na Centre Spread, Senga alisema alipata fursa hiyo ya kumpiga busu wakati wakiigiza filamu matata ya Pishu...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies23 Apr
Senga: Busu la Kajala Lilinifanya Nilale Usingizi Mnono
Staa wa vichekesho kutoka Bongo Movies, Joseph Senga ‘Senga’ amefunguka kuwa busu alilompiga staa wa kike wa filamu, Kajala Masanja lilimfanya alale usingizi mnono sana ukizingatia kuwa hajawahi kubusu shavu laini kiasi hicho kwasababu warembo wengi wanazingua.
Akizungumza na GPL, Senga alisema alipata fursa hiyo ya kumpiga busu wakati wakiigiza filamu matata ya Pishu iliyoandaliwa na Kajala Entertainment, itakayoingia sokoni Mei Mosi, ambapo alisema anajikubali katika filamu hiyo ambayo...
11 years ago
GPLH BABA: GAZETI NDIYO LILINIPA MKE
11 years ago
Tanzania Daima21 Feb
Filamu ya Wema yamlewesha Senga
MSANII wa filamu za vichekesho, Ulimboka Mwakasala ‘Senga’, amesema kwa sasa anapumzika kucheza filamu hizo na kuhamia za kawaida. Senga ni miongoni mwa wasanii wakongwe ambao wanatamba katika tasnia hiyo,...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/F6kBJElJzOZpXiOLbO25835Qw2p9lpPsKwyIxw*pfkA7Ly*oG77nrJxQTNuMDGBMwiPlKTM9CGxqyMWzB6FQAW9jmPsB8C3C/pembe.jpg?width=650)
PEMBE, SENGA WAFUNGA MTAA
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/Cmufrv6JsXU/default.jpg)
11 years ago
Bongo Movies19 Jul
Baada ya Kajala kudai Wema ni mnafiki,Wema aamua kujibu mapigo. 'Amlipua' vibaya Kajala
Ikiwa ni siku chache zimepita baada ya mwigizaji Kajala kudai kuwa mrembo Wema Sepeteu ni Mnafiki, hatimaye Mwanadada Wema Sepetu , amemlipua aliyekuwa shosti wake, Kajala Masanja ‘K’ ambaye wiki iliyopita alimwita mnafiki, habari ambayo ilisambaa katika mitandao mbalimbali ya kijamii.
Katika habari hiyo, Kajala alikaririwa akisema kwamba licha ya watu wengi kuamini wamepatana, hakuna ukweli kwani rafiki yake huyo ni mnafiki kufuatia kutomthamini na kutokuwa karibu naye kama zamani...
9 years ago
Global Publishers19 Dec
Busu la Wema Lamdatisha JB
Waigizaji nguli wa sinema za Kibongo, Jacob Stephen na mwenzake Wema Sepetu ‘Madam’.
Mwandishi wetu
MKONGWE kwenye anga la sinema za Kibongo, Jacob Stephen ameeleza jinsi alivyodatishwa na busu la mwigizaji mwenzake Wema Sepetu ‘Madam’ wakati wakirekodi sinema yake mpya iitwayo Chungu cha Tatu.
JB alisema licha ya kuwa busu hilo lilikuwa katika moja ya scene ya filamu hiyo iliyoingia sokoni Jumatatu iliyopita, lakini lilimfanya akose amani kutokana na Wema alivyolipiga kwa mbwembwe na...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pwNUcGVK-dUo2SW8mEnJrha5sujSoBlZ43IFTlM7z-0jDgL041ZFTXyj18eZbw41g-auSwxUVFhtG4kdZ1Spoci-yzQqpgQX/Wema.gif?width=650)
BUSU LA WEMA, MAKAMBA MH!
10 years ago
BBCSwahili17 Jul
Je,busu ni ishara ya kuonyesha mahaba?