Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Filamu ya Wema yamlewesha Senga

MSANII wa filamu za vichekesho, Ulimboka Mwakasala ‘Senga’, amesema kwa sasa anapumzika kucheza filamu hizo na kuhamia za kawaida. Senga ni miongoni mwa wasanii wakongwe ambao wanatamba katika tasnia hiyo,...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Wema aziponda filamu za Kibongo

STAA wa filamu za Bongo, Wema Sepetu, amesema filamu nyingi za Bongo ni za makochi na juisi, hivyo kwa sasa ameamua kuja tofauti. Akizungumza jijini Dar es Salaam juzi, Wema...

 

11 years ago

GPL

PEMBE, SENGA WAFUNGA MTAA

Stori: Mwandishi Wetu, Kahama WASANII nyota wa vichekesho Bongo, Ulimboka Mwalulesa ‘Senga Kijumule’ na swahiba wake, Yusuph Kaimu Machoti ‘Pembe’ hivi karibuni walifunga mtaa mjini Kahama baada ya mashabiki kuwazunguka kwa dakika 45 wakiwashangaa. Wasanii nyota wa vichekesho Bongo, Ulimboka Mwalulesa ‘Senga Kijumule’(kulia) na swahiba wake, Yusuph Kaimu Machoti ‘Pembe’. ...

 

10 years ago

GPL

SENGA :BUSU LA KAJALA LILINIPA USINGIZI

Imelda Mtema MCHEKESHAJI maarufu Bongo, Joseph Senga ‘Senga’ amefunguka kuwa busu alilompiga staa wa kike wa filamu, Kajala Masanja lilimfanya alale usingizi mnono sana ukizingatia kuwa hajawahi kubusu shavu laini kiasi hicho kwasababu warembo wengi wanazingua. Joseph Senga ‘Senga’ Akizungumza na Centre Spread, Senga alisema alipata fursa hiyo ya kumpiga busu wakati wakiigiza filamu matata ya Pishu...

 

10 years ago

Bongo Movies

Filamu ya Wema Sepetu na Van Vicker ‘Day After Death’ Kuzinduliwa September, Dar

Filamu ya Wema Sepetu na muigizaji wa Ghana, Van Vicker ‘Day After Death’ inatarajiwa kuzinduliwa September mwaka huu jijini Dar es Salaam.

Wema ameiambia Bongo5 kuwa Van Vicker atakaa kwa wiki mbili zaidi kwaajili ya kufanya filamu nyingi na muigizaji huyo aliyeshinda aliyeibuka na tuzo ya muigizaji wa kike anayependwa kwenye tuzo za watu zilizotolewa Ijumaa iliyopita.

“Tunaplan kuilaunch movie yetu mwezi wa tisa, kaniambia kwamba akija he is going to stay for another two weeks na...

 

9 years ago

Bongo5

Martin Kadinda aeleza kwanini filamu ya Van Vicker na Wema inachelewa kutoka

Meneja wa mwanadada wa filamu Wema Sepetu, Martin Kadinda ameelezea sababu ya kuchelewa kutoka kwa filamu ya ‘Day After Death’ iliyochezwa na Wema pamoja na muigizaji wa Ghana, Van Vicker ‘Day After Death’. Martin amesema filamu hiyo ilikuwa itoke September mwaka huu lakini imeshindikana kutokana na kampeni za uchaguzi. “Filamu mpaka sasa ipo tayari, lakini […]

 

11 years ago

Bongo5

Audio: Jokate azungumzia filamu, muziki, biashara, Alikiba vs Diamond, Wema na mapenzi

Jokate Mwegelo yupo jijini Nairobi, Kenya ambapo hata hivyo hajaweka wazi ameenda kufanya nini lakini aliweza kukutana na Mzazi Willy M Tuva kwenye show ya redio inayosikilizwa zaidi nchini humo, ‘Mambo Mseto’ ya kituo cha Radio Citizen kuzungumzia masuala mbalimbali kuanzia filamu, muziki, biashara, ushindani kati ya Alikiba na Diamond na uhusiano. Kuhusu nyimbo mpya […]

 

9 years ago

Bongo5

Aunty Ezekiel na Wema Sepetu waungana kukuletea filamu ya watoto ‘Saa Mbovu’

Wema na Aunt

Baada ya urafiki wao kudaiwa kuyumba kwa kipindi cha zaidi ya miezi miwili hivi iliyopita, waigizaji wa filamu hapa nchini, Aunty Ezekiel pamoja na Wema Sepetu wanatarajia kuachia filamu ya pamoja iitwayo ‘Saa Mbovu’ itakayokuwa inazungumzia malezi ya watoto.

Wema na Aunt

Akizungumza na Bongo5 jana, Aunty ambaye ni mama wa mtoto mmoja aitwae Cookie, alisema wakati wa ujauzito wa mwanae alishauriana na Wema kuandaa filamu itakayozungumzia jinsi ya kumlea mtoto.

“Wakati tunafanya hiyo filamu mimi tayari...

 

10 years ago

Bongo Movies

Senga: Busu la Kajala Lilinifanya Nilale Usingizi Mnono

Staa wa vichekesho kutoka Bongo Movies, Joseph Senga ‘Senga’ amefunguka kuwa busu alilompiga staa wa kike wa filamu, Kajala Masanja lilimfanya alale usingizi mnono sana ukizingatia kuwa hajawahi kubusu shavu laini kiasi hicho kwasababu warembo wengi wanazingua.

Akizungumza na GPL, Senga alisema alipata fursa hiyo ya kumpiga busu wakati wakiigiza filamu matata ya Pishu iliyoandaliwa na Kajala Entertainment, itakayoingia sokoni Mei Mosi, ambapo alisema anajikubali katika filamu hiyo ambayo...

 

9 years ago

Bongo5

‘Wema Sepetu na Lulu wanaweza kufanya vizuri Hollywood’ asema staa mkubwa wa filamu

wema lulu

Staa wa filamu ya Going Bongo, Ernest Napoleon amesema Wema Sepetu na Elizabeth ‘Lulu’ Michael wanaweza kufanya vizuri Hollywood.

wema lulu

Akiongea na Bongo5, Napoleon amesema uwezo wa waigizaji hao unaweza kutisha watu kama wakipewa muongozo mzuri.

“Tanzania tuna waigizaji wazuri wengi sana,” amesema. “Watu wengi wakiangalia bongo movie wanaona movie mbovu au vipi. Hilo sio suala la uigizaji, hayo yanakuwa ni mambo mengine ya production yanayofanya filamu iwe mbovu labda filamu imeharakishwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani