Filamu ya Wema yamlewesha Senga
MSANII wa filamu za vichekesho, Ulimboka Mwakasala ‘Senga’, amesema kwa sasa anapumzika kucheza filamu hizo na kuhamia za kawaida. Senga ni miongoni mwa wasanii wakongwe ambao wanatamba katika tasnia hiyo,...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima24 Jun
Wema aziponda filamu za Kibongo
STAA wa filamu za Bongo, Wema Sepetu, amesema filamu nyingi za Bongo ni za makochi na juisi, hivyo kwa sasa ameamua kuja tofauti. Akizungumza jijini Dar es Salaam juzi, Wema...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/F6kBJElJzOZpXiOLbO25835Qw2p9lpPsKwyIxw*pfkA7Ly*oG77nrJxQTNuMDGBMwiPlKTM9CGxqyMWzB6FQAW9jmPsB8C3C/pembe.jpg?width=650)
PEMBE, SENGA WAFUNGA MTAA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/tVyYDnk4ZvPPMYueHA-0kgoiEL3kY1N0Y5IamlY70Ph7NoX3D83uzG7Ly13G3Vvmq9QERSOXRwriXODDYLam1cihprjIuTkZ/kk.gif?width=650)
SENGA :BUSU LA KAJALA LILINIPA USINGIZI
10 years ago
Bongo Movies25 May
Filamu ya Wema Sepetu na Van Vicker ‘Day After Death’ Kuzinduliwa September, Dar
Filamu ya Wema Sepetu na muigizaji wa Ghana, Van Vicker ‘Day After Death’ inatarajiwa kuzinduliwa September mwaka huu jijini Dar es Salaam.
Wema ameiambia Bongo5 kuwa Van Vicker atakaa kwa wiki mbili zaidi kwaajili ya kufanya filamu nyingi na muigizaji huyo aliyeshinda aliyeibuka na tuzo ya muigizaji wa kike anayependwa kwenye tuzo za watu zilizotolewa Ijumaa iliyopita.
“Tunaplan kuilaunch movie yetu mwezi wa tisa, kaniambia kwamba akija he is going to stay for another two weeks na...
9 years ago
Bongo510 Oct
Martin Kadinda aeleza kwanini filamu ya Van Vicker na Wema inachelewa kutoka
11 years ago
Bongo525 Jul
Audio: Jokate azungumzia filamu, muziki, biashara, Alikiba vs Diamond, Wema na mapenzi
9 years ago
Bongo508 Dec
Aunty Ezekiel na Wema Sepetu waungana kukuletea filamu ya watoto ‘Saa Mbovu’
![Wema na Aunt](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Wema-na-Aunt-300x194.jpg)
Baada ya urafiki wao kudaiwa kuyumba kwa kipindi cha zaidi ya miezi miwili hivi iliyopita, waigizaji wa filamu hapa nchini, Aunty Ezekiel pamoja na Wema Sepetu wanatarajia kuachia filamu ya pamoja iitwayo ‘Saa Mbovu’ itakayokuwa inazungumzia malezi ya watoto.
Akizungumza na Bongo5 jana, Aunty ambaye ni mama wa mtoto mmoja aitwae Cookie, alisema wakati wa ujauzito wa mwanae alishauriana na Wema kuandaa filamu itakayozungumzia jinsi ya kumlea mtoto.
“Wakati tunafanya hiyo filamu mimi tayari...
10 years ago
Bongo Movies23 Apr
Senga: Busu la Kajala Lilinifanya Nilale Usingizi Mnono
Staa wa vichekesho kutoka Bongo Movies, Joseph Senga ‘Senga’ amefunguka kuwa busu alilompiga staa wa kike wa filamu, Kajala Masanja lilimfanya alale usingizi mnono sana ukizingatia kuwa hajawahi kubusu shavu laini kiasi hicho kwasababu warembo wengi wanazingua.
Akizungumza na GPL, Senga alisema alipata fursa hiyo ya kumpiga busu wakati wakiigiza filamu matata ya Pishu iliyoandaliwa na Kajala Entertainment, itakayoingia sokoni Mei Mosi, ambapo alisema anajikubali katika filamu hiyo ambayo...
9 years ago
Bongo507 Dec
‘Wema Sepetu na Lulu wanaweza kufanya vizuri Hollywood’ asema staa mkubwa wa filamu
![wema lulu](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/wema-lulu-300x194.jpg)
Staa wa filamu ya Going Bongo, Ernest Napoleon amesema Wema Sepetu na Elizabeth ‘Lulu’ Michael wanaweza kufanya vizuri Hollywood.
Akiongea na Bongo5, Napoleon amesema uwezo wa waigizaji hao unaweza kutisha watu kama wakipewa muongozo mzuri.
“Tanzania tuna waigizaji wazuri wengi sana,” amesema. “Watu wengi wakiangalia bongo movie wanaona movie mbovu au vipi. Hilo sio suala la uigizaji, hayo yanakuwa ni mambo mengine ya production yanayofanya filamu iwe mbovu labda filamu imeharakishwa...