Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Polisi wamsaka muuaji wa Charleston

Polisi nchini Marekani wanamtafuta mwanamume mzungu aliyewaua watu tisa waliokuwa wakisali katika kanisa moja na watu weusi katika mji wa Charlston South Carolina.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Muuaji wa kanisani Charleston ashtakiwa

Mshukiwa wa mauaji ya watu tisa katika kanisa la kihistoria la Kiafrika katika mji wa Charleston ameshtakiwa na mashtaka tisa ya mauaji pamoja na shtaka moja la kumiliki silaha, polisi wamesema.

 

10 years ago

Habarileo

Polisi wamsaka Askofu Gwajima

Josephat GwajimaPOLISI Kanda Maalumu ya Dar es Salaam wamefungua jalada la uchunguzi dhidi ya tuhuma za Askofu Josephat Gwajima wa Kanisa la Ufufuo na Uzima za tuhuma za kumkashifu Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam la Kanisa Katoliki, Mwadhamana Polycarp Kardinali Pengo.

 

11 years ago

Habarileo

Polisi bado wamsaka mbunge wa Chadema

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Arusha, Liberatus SabasPOLISI Jijini Arusha bado inamsaka Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema Chadema), lakini Kamanda wa Polisi wa Mkoa, Liberatus Sabas, amesema ‘watampata tu.’

 

10 years ago

CloudsFM

POLISI MWANZA WAMSAKA MTOTO ALBINO ALIYEPOTEA

POLISI wametangaza kutoa dau la shilingi milioni tatu sawa na dola 1,700 kwa mtu yeyote atakayetoa taarifa zitakazosaidia kupatikana kwa mtoto albino, Pendo Emmanuel aliyetoweka nyumbani kwake na kupelekwa mahali pasipojulikana mwezi uliopita mkoani Mwanza.

Awali watu 15 walikamatwa na jeshi la Polisi mkoani Mwanza kufuatia msako unaojulikana kama 'Hakuna kulala' dhidi mtoto mwenye ulemavu wa ngozi (Albino) Pendo Emanuel kutekwa na watu wasiojulikana usiku wa tarehe 27.12.2014 nyumbani kwao...

 

9 years ago

Vijimambo

Polisi wamsaka 'Daudi Balali' anayemiliki ukurasa wa twitter

Jeshi la Polisi nchini linafanya uchunguzi kumbaini mmiliki wa ukurasa wa twitter unaoendeshwa na anayejiita Daudi Balali, aliyewahi kuwa Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) ili hatua za kisheria zichukuliwe dhidi yake.
Mkurugenzi wa Habari na Mahusiano wa Jeshi la Polisi, Advera Bulimba, aliyasema hayo wakati akizungumza na Nipashe ofisini kwake jana.

Bulimba alisema kuwa taarifa za uwapo wa ukurasa huo wa twitter, wamekwishazipata na wanafanya uchunguzi wa kina kumkamata mhusika kisha...

 

10 years ago

BBCSwahili

Polisi brazil yamkamata muuaji

Polisi nchini Brazili wamemkamata mwanamume mmoja aliyekiri kwa kinywa chake kuua watu wapatao thelathini na tisa.

 

10 years ago

Vijimambo

Askari Polisi aliyeuliwa kikatili Mkoani Dodoma aagwa leo, Muuaji naye auliwa na wananchi

Inspekta Jenerali wa Polisi (IGP) Ernest Mangu akiongoza leo waombolezaji katika kutoa heshima za mwisho kwa Askari Namba G. 7168 PC JOSEPH ISACK SWAI aliyeuwawa huko Chango’ombe ya juu Mkoani Dodoma na mtu aliyefamika kwa jina la TISSI SIRIL MALYA.Wasifu wa marehemu ukisomwa Maombolezo wakati wa shughuli ya kuaga mwili wa askari huyo shujaaNa Sylvester Onesmo wa Jeshi la Polisi Dodoma. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kama Kamishina Msaidizi Mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME – SACP amesema...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ibada ya maombolezo Charleston

Mamia ya Waumini wamehudhuria ibada ya maziko ya watu tisa waliouawa katika kanisa moja mjini Charleston

 

10 years ago

BBCSwahili

Misa ya waliouawa yafanyika Charleston

Maelfu ya watu wamehudhuria misa katika mji wa Charleston nchini Marekani kuwakumbuka waamerika tisa weusi waliouawa

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani