Polisi bado wamsaka mbunge wa Chadema
POLISI Jijini Arusha bado inamsaka Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema Chadema), lakini Kamanda wa Polisi wa Mkoa, Liberatus Sabas, amesema ‘watampata tu.’
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili18 Jun
Polisi wamsaka muuaji wa Charleston
10 years ago
Habarileo27 Mar
Polisi wamsaka Askofu Gwajima
POLISI Kanda Maalumu ya Dar es Salaam wamefungua jalada la uchunguzi dhidi ya tuhuma za Askofu Josephat Gwajima wa Kanisa la Ufufuo na Uzima za tuhuma za kumkashifu Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam la Kanisa Katoliki, Mwadhamana Polycarp Kardinali Pengo.
10 years ago
CloudsFM22 Jan
POLISI MWANZA WAMSAKA MTOTO ALBINO ALIYEPOTEA
POLISI wametangaza kutoa dau la shilingi milioni tatu sawa na dola 1,700 kwa mtu yeyote atakayetoa taarifa zitakazosaidia kupatikana kwa mtoto albino, Pendo Emmanuel aliyetoweka nyumbani kwake na kupelekwa mahali pasipojulikana mwezi uliopita mkoani Mwanza.
Awali watu 15 walikamatwa na jeshi la Polisi mkoani Mwanza kufuatia msako unaojulikana kama 'Hakuna kulala' dhidi mtoto mwenye ulemavu wa ngozi (Albino) Pendo Emanuel kutekwa na watu wasiojulikana usiku wa tarehe 27.12.2014 nyumbani kwao...
9 years ago
Vijimambo18 Sep
Polisi wamsaka 'Daudi Balali' anayemiliki ukurasa wa twitter
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Ad-18Sept2015.png)
Mkurugenzi wa Habari na Mahusiano wa Jeshi la Polisi, Advera Bulimba, aliyasema hayo wakati akizungumza na Nipashe ofisini kwake jana.
Bulimba alisema kuwa taarifa za uwapo wa ukurasa huo wa twitter, wamekwishazipata na wanafanya uchunguzi wa kina kumkamata mhusika kisha...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-CwzdzQEnlBs/UyR-aXA5nRI/AAAAAAACcfw/ExH9bXwDoNs/s72-c/IMG_9819.jpg)
BREAKING NEWZZZZZZZ:MBUNGE WA CHADEMA AKAMATWA NA JESHI LA POLISI IRINGA AKITUHUMIWA KUGAWA FEDHA KWA WANANCHI
![](http://1.bp.blogspot.com/-CwzdzQEnlBs/UyR-aXA5nRI/AAAAAAACcfw/ExH9bXwDoNs/s1600/IMG_9819.jpg)
10 years ago
Michuzi03 Mar
CHADEMA Red Brigade wala kiapo Mwanza mbele ya Mwenyekiti wa Chadema na Mbunge wa Hai Freeman Mbowe
![](https://3.bp.blogspot.com/-C0hrD70_tH8/VPROrVS30TI/AAAAAAADQM8/u5GW31g2XY0/s1600/red%2Bbrigade2.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/-5MF9SQCARvw/VPROrEsFwPI/AAAAAAADQM4/lo1kQV44FSI/s1600/Lwakatare.jpg)
9 years ago
Dewji Blog23 Nov
Mazishi ya Mawazo bado kizungumkuti, CHADEMA kutinga mahakamani
Na:George Binagi-GB Pazzo @BMG
Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema kimesitisha shughuli za mazishi ya aliekuwa Mwenyekiti wa Chama hicho Mkoani Geita marehemu Alphonce Mawazo, baada ya jeshi la polisi Mkoani Mwanza kuzuia zoezi la kuuaga mwili wake lililokuwa limepangwa kufanyika juzi jumamosi Jijini Mwanza.
Mwenyekiti wa Chama hicho Taifa, Freeman Mbowe alibainisha hayo jana wakati akizungumza na Wanahabari Mkoani Mwanza, ili kutoa msimamo wa Chama baada ya kuwepo kwa mazungumzo baina...
11 years ago
Tanzania Daima13 Jul
UKAWA wamsaka JK
KATIKA kusaka suluhu ya kuendele kwa Bunge Maalum la Katiba, wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), wanakusudia kukutana na Rais Jakaya Kikwete ili kumtaka atafute ufumbuzi wa suala...
11 years ago
Mwananchi17 Mar
Mbunge wa Chadema alia