TGNP MTANDAO YAMPOTEZA MWANACHAMA MWANZILISHI NA MWENYEKITI WA KWANZA
TGNP Mtandao tumepata pigo kubwa kwa kumpoteza mwanaharakati na Mwenyekiti wa kwanza wa shirika, aliyefariki Juni 2, 2014 Ubungo Msewe Dar es Salaam. Fides Chale alikuwa ni mwalimu na kiongozi aliyegusa maisha ya wengi hapa Tanzania, Mwanaharakati mtetezi wa haki za wanawake, wasichana na makundi mengine yaliyoko pembezoni.
Dada Fides amekuwa mtu wa watu, mcheshi, mwenye upendo, utu, huruma, mpole, mwenye sura ya kutabasamu muda wote hata alipokuwa kwenye hali ya ugonjwa.
Tunapoombeleza...
CloudsFM
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/06/Marehemu-Dada-Fides-Chale.jpg)
TGNP MTANDAO YAMPOTEZA MWANACHAMA MWANZILISHI NA MWENYEKITI WA KWANZA
11 years ago
GPLIBADA YA KUMUAGA MWANZILISHI WA TGNP, FIDES CHALE YAFANYIKA
10 years ago
Vijimambo05 Mar
TGNP Mtandao na Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani
![Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa TGNP Mtandao, Bi. Lilian Liundi akizungumza katika maadhimisho ya siku ya wanawake duniani yaliofanyika katika viwanja vya TGNP Mtandao jijini Dar es Salaam.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/03/IMG_0386.jpg)
![Baadhi ya washiriki wa maadhimisho ya siku ya wanawake duniani yaliofanyika katika viwanja vya TGNP Mtandao jijini Dar es Salaam wakiingia kwa maandamano mara baada ya kuwasili katika viwanja hivyo.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/03/IMG_0329.jpg)
![Baadhi ya washiriki wa maadhimisho ya siku ya wanawake duniani yaliofanyika katika viwanja vya TGNP Mtandao jijini Dar es Salaam waifuatilia mada anuai katika maadhimisho hayo.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/03/IMG_0407.jpg)
10 years ago
Vijimambo16 Jan
TGNP Mtandao Yawanoa Watendaji wa Serikali Juu ya Ukatili
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2Fwww.thehabari.com%2Fwp-content%2Fuploads%2F2015%2F01%2FIMG_0050.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2Fwww.thehabari.com%2Fwp-content%2Fuploads%2F2015%2F01%2FIMG_0032.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2Fwww.thehabari.com%2Fwp-content%2Fuploads%2F2015%2F01%2FIMG_0022.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
11 years ago
Dewji Blog11 May
TGNP Mtandao ya Chambua Bajeti na Wahariri wa Vyombo vya Habari
Kaimu Mkurugenzi wa TGNP Mtandao, Lilian Liundi akiwasilisha mada kwa wahariri mbalimbali wa vyombo vya habari jana.
Mmoja wa wachambuzi wa sera wa TGNP Mtandao, Agnes Lukaya akiwasilisha matokeo ya tafiti mbalimbali za TGNP zilizofanywa kwa jamii.
Aliyekuwa Mkurugenzi wa TGNP Mtandao, Usu Mallya (kushoto) akiwasilisha mada yake kwa wahariri wa vyombo vya habari katika mkutano wa TGNP na wahariri hao.
Juu ni baadhi ya wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari wakifuatilia mada...
11 years ago
GPL![](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/05/IMG_0234.jpg)
TGNP MTANDAO YACHAMBUA BAJETI NA WAHARIRI WA VYOMBO VYA HABARI
10 years ago
GPLMTANDAO WA JINSIA TANZANIA (TGNP) WAENDESHA MAFUNZO KWA WANAHABARI KANDA YA MASHARIKI
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-wrWR7AiT9hU/VdHN4Nup9rI/AAAAAAAAEnY/t5tuBSy-ip8/s72-c/A.jpg)
KONGAMANO LA KWANZA LA SERIKALI MTANDAO LAFUNGULIWA ARUSHA
![](http://2.bp.blogspot.com/-wrWR7AiT9hU/VdHN4Nup9rI/AAAAAAAAEnY/t5tuBSy-ip8/s640/A.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-I-HfgHN6Ies/VdHN9-hkRoI/AAAAAAAAEng/c3M5zbt6xp8/s640/B.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-X9DXIpCW828/VdHODlcK7_I/AAAAAAAAEno/0S6oHbDcprM/s640/C.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-FM8dOoJaGtM/VdHa11_eA_I/AAAAAAAAEok/z7C85--ysnY/s640/F.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/--h6qyugTMdw/VdHOOoU4lGI/AAAAAAAAEn4/ulpxG0Bywuw/s640/E.jpg)
9 years ago
Dewji Blog21 Sep
Mtandao wa kwanza wa magari Tanzania cheki.co.tz watimiza mwaka mmoja
Mkurugenzi wa Uhamasishaji Biashara na Masoko wa Wizara ya Viwanda na Biashara Odilo Majengo ambaye alimwakilisha Waziri wa Viwanda na Biashara katika maonyesho ya magari akisaini kwenye kitabu cha wageni katika banda la Cheki.co.tz mara baada ya kuwasili katika kiwanja cha Biafra jijini Dar wakati wa ufunguzi wa maonyesho ya magari na bidhaa shirikishi ya Auto Fest.
Tarehe 19 Mwezi wa septemba 2015 Mtandao wa magari unaoongoza nchini Tanzania Cheki.co.tz umetimiza mwaka mmoja wa utoaji...