TGNP MTANDAO YAMPOTEZA MWANACHAMA MWANZILISHI NA MWENYEKITI WA KWANZA
![](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/06/Marehemu-Dada-Fides-Chale.jpg)
Marehemu Dada, Fides Chale (1940 - 2014). TGNP Mtandao tumepata pigo kubwa kwa kumpoteza mwanaharakati na Mwenyekiti wa kwanza wa shirika, aliyefariki Juni 2, 2014 Ubungo Msewe Dar es Salaam. Fides Chale alikuwa ni mwalimu na kiongozi aliyegusa maisha ya wengi hapa Tanzania, Mwanaharakati mtetezi wa haki za wanawake, wasichana na makundi mengine yaliyoko pembezoni. Dada Fides amekuwa mtu wa watu, mcheshi, mwenye upendo, utu,...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
CloudsFM04 Jun
TGNP MTANDAO YAMPOTEZA MWANACHAMA MWANZILISHI NA MWENYEKITI WA KWANZA
TGNP Mtandao tumepata pigo kubwa kwa kumpoteza mwanaharakati na Mwenyekiti wa kwanza wa shirika, aliyefariki Juni 2, 2014 Ubungo Msewe Dar es Salaam. Fides Chale alikuwa ni mwalimu na kiongozi aliyegusa maisha ya wengi hapa Tanzania, Mwanaharakati mtetezi wa haki za wanawake, wasichana na makundi mengine yaliyoko pembezoni.
Dada Fides amekuwa mtu wa watu, mcheshi, mwenye upendo, utu, huruma, mpole, mwenye sura ya kutabasamu muda wote hata alipokuwa kwenye hali ya ugonjwa.
Tunapoombeleza...
11 years ago
GPL![](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/05/IMG_0234.jpg)
TGNP MTANDAO YACHAMBUA BAJETI NA WAHARIRI WA VYOMBO VYA HABARI
11 years ago
GPLIBADA YA KUMUAGA MWANZILISHI WA TGNP, FIDES CHALE YAFANYIKA
10 years ago
Vijimambo05 Mar
TGNP Mtandao na Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani
![Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa TGNP Mtandao, Bi. Lilian Liundi akizungumza katika maadhimisho ya siku ya wanawake duniani yaliofanyika katika viwanja vya TGNP Mtandao jijini Dar es Salaam.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/03/IMG_0386.jpg)
![Baadhi ya washiriki wa maadhimisho ya siku ya wanawake duniani yaliofanyika katika viwanja vya TGNP Mtandao jijini Dar es Salaam wakiingia kwa maandamano mara baada ya kuwasili katika viwanja hivyo.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/03/IMG_0329.jpg)
![Baadhi ya washiriki wa maadhimisho ya siku ya wanawake duniani yaliofanyika katika viwanja vya TGNP Mtandao jijini Dar es Salaam waifuatilia mada anuai katika maadhimisho hayo.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/03/IMG_0407.jpg)
10 years ago
Vijimambo16 Jan
TGNP Mtandao Yawanoa Watendaji wa Serikali Juu ya Ukatili
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2Fwww.thehabari.com%2Fwp-content%2Fuploads%2F2015%2F01%2FIMG_0050.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2Fwww.thehabari.com%2Fwp-content%2Fuploads%2F2015%2F01%2FIMG_0032.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2Fwww.thehabari.com%2Fwp-content%2Fuploads%2F2015%2F01%2FIMG_0022.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
11 years ago
Dewji Blog11 May
TGNP Mtandao ya Chambua Bajeti na Wahariri wa Vyombo vya Habari
Kaimu Mkurugenzi wa TGNP Mtandao, Lilian Liundi akiwasilisha mada kwa wahariri mbalimbali wa vyombo vya habari jana.
Mmoja wa wachambuzi wa sera wa TGNP Mtandao, Agnes Lukaya akiwasilisha matokeo ya tafiti mbalimbali za TGNP zilizofanywa kwa jamii.
Aliyekuwa Mkurugenzi wa TGNP Mtandao, Usu Mallya (kushoto) akiwasilisha mada yake kwa wahariri wa vyombo vya habari katika mkutano wa TGNP na wahariri hao.
Juu ni baadhi ya wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari wakifuatilia mada...
10 years ago
GPLMTANDAO WA JINSIA TANZANIA (TGNP) WAENDESHA MAFUNZO KWA WANAHABARI KANDA YA MASHARIKI
11 years ago
GPL![](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/06/IMG_0053.jpg?width=640)
WANANCHI WAELEZA MAFANIKIO YA UTAFITI RAGHBISHI WA TGNP
11 years ago
GPL![](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/08/0016.jpg?width=640)
TGNP NA KONGAMANO LA WAZI KUJADILI MCHAKATO WA KATIBA MPYA