TGNP NA KONGAMANO LA WAZI KUJADILI MCHAKATO WA KATIBA MPYA
![](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/08/0016.jpg?width=640)
Kaimu Mkurugenzi wa Mtandao wa Jinsia Tanzani TGNP, Lilian Liundi (katikati), akitoa hotuba yake wakati wa kongamano la wazi la jamii kujadili mchakato wa kutengeneza katiba mpya. (kushoto), Mdau wa Maendeleo Humphrey Polepole, na kulia Mwanaharakati wa Masuala ya Kijamii na Haki za Binaadamu, Gemma Akimali. Kushoto, Kaimu Mkurugenzi wa Mtandao wa Jinsia Tanzani TGNP, Lilian Liundi akiteta jambo na Mwanaharakati wa Masuala ya...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog25 Jul
Jumuiya ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDASA) Imeandaa Kongamano la kujadili mchakato wa kupata Katiba mpya
Jumuiya ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDASA), Imeandaa Kongamano la kujadili mchakato wa kupata Katiba mpya ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Kongamano hilo litafanyika tarehe 27 Julai 2014 siku ya Jumapili kuanzia saa 8 mchana ndani ya ukumbi wa Nkrumah wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Kongamano hilo litarushwa moja kwa moja na kituo cha televisheni cha Star TV
Mada kuu ya kongamano hilo ni, “Tujadili na Kutafakari Mchakato wa Katiba Mpya kwa Manufaa ya Taifa Letu”.
Watoa Mada katika...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-mLdoiSxt0_o/U90k59aqhTI/AAAAAAAF8gw/5i2aYqQDtjY/s72-c/v6.jpg)
KONGAMANO LA MARIDHINO YA MCHAKATO WA KATIBA MPYA KUFANYIKA DODOMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-mLdoiSxt0_o/U90k59aqhTI/AAAAAAAF8gw/5i2aYqQDtjY/s1600/v6.jpg)
Baraza la Vyama vya Siasa nchini limeamua mazungumzo ya maridhiano kati ya pande zinazokizana kuhusu kuendelea kwa Bunge Maalum la Katiba kutokana na mvutano wa kutaka serikali mbili au tatu yaendelee kupitia kamati zitakazoundwa.
Aidha baraza hilo,limeamua kufanyike kongamano Agosti 9 na 10 mwaka huu mjini Dodoma kwa ajili ya kuangalia maslahi mapana ya taifa.
Hayo yamesemwa leo na Mwenyekiti wa baraza hilo, Peter Kuga Mziray, wakati akizungumza na...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-s1pMvz7gJa4/U-NXTBBVAuI/AAAAAAAF9v8/yNXM7u7t2lc/s72-c/v6.jpg)
Kongamano la mchakato wa Katiba lasogezwa mbele
![](http://4.bp.blogspot.com/-s1pMvz7gJa4/U-NXTBBVAuI/AAAAAAAF9v8/yNXM7u7t2lc/s1600/v6.jpg)
Kauli hiyo imetolewa leo na Mwenyekiti wa baraza hilo, Peter Mziray katika taarifa yake aliyoitoa kwa vyombo vya habari mjini Dodoma leo.
“Kutokana na uzito wa kongamano hilo na kazi kubwa ya maandaliziyake, inayotokana na uwingi na uzito wa wageni waalikwa,...
10 years ago
Mwananchi19 Apr
KATIBA MPYA: Wingu linavyogubika hatima Mchakato wa Katiba Mpya
10 years ago
GPLHUDUMA YA GOOD NEWS FOR ALL MINISTRY YAOMBA KUWEPO MJADALA WA WAZI KUJADILI TATIZO LA ULEVI NCHINI
10 years ago
Mwananchi03 May
MCHAKATO WA KATIBA MPYA: Katiba Mpya ilivyoligawa Taifa
10 years ago
Mwananchi22 Feb
MCHAKATO KATIBA MPYA: Hamad: Kwa nini Wazanzibari wanapaswa kupitisha Katiba
11 years ago
GPL![](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/07/IMG_0362.jpg?width=650)
MTANDAO WA WANAWAKE NA KATIBA WAZUNGUMZIA MCHAKATO KATIBA MPYA
11 years ago
Tanzania Daima24 Apr
JK atakiwa kunusuru mchakato Katiba mpya
MCHUNGAJI wa Kanisa la PAG, Charles Kanyika, amemtaka Rais Jakaya Kikwete, kushirikiana na viongozi wastaafu kunusuru nchi katika kipindi hiki cha kuelekea kutunga Katiba mpya. Mchungaji Kanyika alisema Rais Kikwete...