Kongamano la mchakato wa Katiba lasogezwa mbele
![](http://4.bp.blogspot.com/-s1pMvz7gJa4/U-NXTBBVAuI/AAAAAAAF9v8/yNXM7u7t2lc/s72-c/v6.jpg)
Baraza la Vyama vya Siasa Tanzania limesema kwamba kongamano la kujadili chakato wa kutunga Katiba mpya na changamoto zake lililopangwa kufanyika Agosti 9 na 10 mwaka huu limesogezwa mbele, hivyo litatangaza tarehe ya kufanyika.
Kauli hiyo imetolewa leo na Mwenyekiti wa baraza hilo, Peter Mziray katika taarifa yake aliyoitoa kwa vyombo vya habari mjini Dodoma leo.
“Kutokana na uzito wa kongamano hilo na kazi kubwa ya maandaliziyake, inayotokana na uwingi na uzito wa wageni waalikwa,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi31 Mar
Pambano la Cheka lasogezwa mbele
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-mLdoiSxt0_o/U90k59aqhTI/AAAAAAAF8gw/5i2aYqQDtjY/s72-c/v6.jpg)
KONGAMANO LA MARIDHINO YA MCHAKATO WA KATIBA MPYA KUFANYIKA DODOMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-mLdoiSxt0_o/U90k59aqhTI/AAAAAAAF8gw/5i2aYqQDtjY/s1600/v6.jpg)
Baraza la Vyama vya Siasa nchini limeamua mazungumzo ya maridhiano kati ya pande zinazokizana kuhusu kuendelea kwa Bunge Maalum la Katiba kutokana na mvutano wa kutaka serikali mbili au tatu yaendelee kupitia kamati zitakazoundwa.
Aidha baraza hilo,limeamua kufanyike kongamano Agosti 9 na 10 mwaka huu mjini Dodoma kwa ajili ya kuangalia maslahi mapana ya taifa.
Hayo yamesemwa leo na Mwenyekiti wa baraza hilo, Peter Kuga Mziray, wakati akizungumza na...
11 years ago
GPL![](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/08/0016.jpg?width=640)
TGNP NA KONGAMANO LA WAZI KUJADILI MCHAKATO WA KATIBA MPYA
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-VHCdeij9wWM/U-ssQPehP7I/AAAAAAAF_Hs/XNXOX99tE3I/s72-c/Screen%2BShot%2B2014-08-13%2Bat%2B12.10.27%2BPM.png)
10 years ago
Michuzi07 Dec
Tamasha la Handeni Kwetu lasogezwa mbele, sasa kufanyika Desemba 20
![](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/ViW_1bBcaCTHIdYv-rkKIap6LCgCEq95bK6KWvaMPlSWkjl7DKLJoabEY-8rBU8Iu-u9ywnmWDpOG0u7sHutedIJ_fByag3zgUvugBi80HVwYuFubylsGIenUF5zL5I8kjQ2e5ZdZtwxwVcZi-cPXxBP-uaPC300SS1r4OAk166DArMfojuoL6zPo-i0qaIHGtZJLdEd6h-lST2OSX5eNP1r_KJanLW8cOTCzbdeiGHOTwDNJGfBp-LTjphGZAflceA8Bn8DkfjK0aD3KIikP87KyZBK35yu-yHFwtuRpw1ylxnmWk7bvcwWEdQ4sH1YU-x3ZkPdXxpSb9DS0YmRnp5Sdhx6ZhVX2Iwh0i4SsziUi7u7ezY0=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F2.bp.blogspot.com%2F-UbQD98Ss2-M%2FVIQJ5RphaqI%2FAAAAAAAAIWg%2FhLcKRxFAw1M%2Fs1600%2FKambi%252BMbwana%252C%252Bpicha.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
11 years ago
Dewji Blog25 Jul
Jumuiya ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDASA) Imeandaa Kongamano la kujadili mchakato wa kupata Katiba mpya
Jumuiya ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDASA), Imeandaa Kongamano la kujadili mchakato wa kupata Katiba mpya ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Kongamano hilo litafanyika tarehe 27 Julai 2014 siku ya Jumapili kuanzia saa 8 mchana ndani ya ukumbi wa Nkrumah wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Kongamano hilo litarushwa moja kwa moja na kituo cha televisheni cha Star TV
Mada kuu ya kongamano hilo ni, “Tujadili na Kutafakari Mchakato wa Katiba Mpya kwa Manufaa ya Taifa Letu”.
Watoa Mada katika...
11 years ago
Michuzi28 Jul
SHEIKH OMARY AMPONGEZA JK KWA MCHAKATO WA KATIBA AONYA WAJUMBE WA BUNGE LA KATIBA
Sheikh wa msikiti wa Hidaya katika manispaa ya ...
10 years ago
Mwananchi22 Feb
MCHAKATO KATIBA MPYA: Hamad: Kwa nini Wazanzibari wanapaswa kupitisha Katiba
11 years ago
GPL![](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/07/IMG_0362.jpg?width=650)
MTANDAO WA WANAWAKE NA KATIBA WAZUNGUMZIA MCHAKATO KATIBA MPYA