TAMASHA LA MTWARA FESTIVAL 2014 LASOGEZWA MBELE
![](http://2.bp.blogspot.com/-VHCdeij9wWM/U-ssQPehP7I/AAAAAAAF_Hs/XNXOX99tE3I/s72-c/Screen%2BShot%2B2014-08-13%2Bat%2B12.10.27%2BPM.png)
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi07 Dec
Tamasha la Handeni Kwetu lasogezwa mbele, sasa kufanyika Desemba 20
TAMASHA la Utamaduni la NSSF Handeni Kwetu, sasa litafanyika Desemba 20, badala ya Desemba 13, kama ilivyotangazwa hapo awali, huku sababu kubwa ikiwa ni kuwaachia Watanzania washiriki katika mchakato wa uchaguzi wa serikali za mitaa, utakaofanyika Jumapili ya Desemba 14 nchini kote.
Mratibu Mkuu wa Tamasha la NSSF Handeni Kwetu 2014, pichani akizungumza jambo katika tamasha la mwaka jana lililofanyika kwa mafanikio makubwa wilayani Handeni, mkoani Tanga. Akizungumzia hilo leo mjini...
![](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/ViW_1bBcaCTHIdYv-rkKIap6LCgCEq95bK6KWvaMPlSWkjl7DKLJoabEY-8rBU8Iu-u9ywnmWDpOG0u7sHutedIJ_fByag3zgUvugBi80HVwYuFubylsGIenUF5zL5I8kjQ2e5ZdZtwxwVcZi-cPXxBP-uaPC300SS1r4OAk166DArMfojuoL6zPo-i0qaIHGtZJLdEd6h-lST2OSX5eNP1r_KJanLW8cOTCzbdeiGHOTwDNJGfBp-LTjphGZAflceA8Bn8DkfjK0aD3KIikP87KyZBK35yu-yHFwtuRpw1ylxnmWk7bvcwWEdQ4sH1YU-x3ZkPdXxpSb9DS0YmRnp5Sdhx6ZhVX2Iwh0i4SsziUi7u7ezY0=s0-d-e1-ft#https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2F2.bp.blogspot.com%2F-UbQD98Ss2-M%2FVIQJ5RphaqI%2FAAAAAAAAIWg%2FhLcKRxFAw1M%2Fs1600%2FKambi%252BMbwana%252C%252Bpicha.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-kGp4v1DzLWw/U6MVqg1fB4I/AAAAAAAFrzU/JWqnuGo0NDE/s72-c/unnamed+(27).jpg)
Mtwara Festival kufanyika Agosti 16-17, 2014 kwenye uwanja wa Nangwanda Sijaona, Mtwara.
![](http://1.bp.blogspot.com/-kGp4v1DzLWw/U6MVqg1fB4I/AAAAAAAFrzU/JWqnuGo0NDE/s1600/unnamed+(27).jpg)
Bw. Anic Kashasha, Mwenyekiti Mtendaji wa shirika lisilo la kiserikali Tanzania Creative Industries Network (TACIN) ya Dar es Salaam, nilikuwa ninahutubia mkutano wa waandishi wahabari kwenye ukumbi wa Safari Lounge, mjini Mtwara, juu ya kuanzisha Mtwara Festival, utakaofanyika tarehe 16 - 17 Agosti, 2014 kwenye uwanja wa Nangwanda Sijaona,Mtwara.
Mtwara Festival imeandaliwa kwa kushirikiana na washirika wakuu na wadhamini wa TACIN, Shirika la maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC). Huu ni...
11 years ago
Mwananchi31 Mar
Pambano la Cheka lasogezwa mbele
Pambano la Francis Cheka na Varely Brudov wa Russia lilililokuwa lifanyike Aprili 5 jijini Dar es Salaam limesogezwa mbele hadi litakapotajwa tena, huku lile la Francis Miyeyusho na Ronald Pontillas wa Ufilipino likibaki palepale.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-s1pMvz7gJa4/U-NXTBBVAuI/AAAAAAAF9v8/yNXM7u7t2lc/s72-c/v6.jpg)
Kongamano la mchakato wa Katiba lasogezwa mbele
![](http://4.bp.blogspot.com/-s1pMvz7gJa4/U-NXTBBVAuI/AAAAAAAF9v8/yNXM7u7t2lc/s1600/v6.jpg)
Kauli hiyo imetolewa leo na Mwenyekiti wa baraza hilo, Peter Mziray katika taarifa yake aliyoitoa kwa vyombo vya habari mjini Dodoma leo.
“Kutokana na uzito wa kongamano hilo na kazi kubwa ya maandaliziyake, inayotokana na uwingi na uzito wa wageni waalikwa,...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-JGQ-0v-byNA/U9m46j9RjgI/AAAAAAAF77E/vt_zexNjG28/s72-c/unnamed+(9).jpg)
Pinda Mgeni Rasmi Mtwara Festival 2014
![](http://1.bp.blogspot.com/-JGQ-0v-byNA/U9m46j9RjgI/AAAAAAAF77E/vt_zexNjG28/s1600/unnamed+(9).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-yDmN_lbPFLc/U8uaiIDQxHI/AAAAAAAF39s/YQJMeH68wtI/s72-c/162732_479432362548_2318153_n%5B1%5D.jpg)
Profesa mbele na timu yake wajiandaa kwa Tamasha la Afrifest Agosti 2, 2014
Na Profesa MbeleKila mwaka, tangu mwaka 2007, nahudhuria tamasha la Afrifest, ambalo hufanyika hapa Minnesota, Marekani. Imewahi kutokea kwamba nilikuwa Tanzania wakati wa tamasha hilo. Binti zangu wananiwakilisha.Wanafahamu vizuri shughuli zangu, na wanawaeleza watu wanaoulizia kuhusu shughuli zangu na vitabu vyangu.![](http://2.bp.blogspot.com/-yDmN_lbPFLc/U8uaiIDQxHI/AAAAAAAF39s/YQJMeH68wtI/s1600/162732_479432362548_2318153_n%5B1%5D.jpg)
Hapa naonekana nikiwa na mama mmoja aliyekuja kwenye meza yangu. Nilimweleza yale aliyoulizia. Hata hivi, kwa kumwangalia usoni, hakuonekana anavutiwa na yale niliyokuwa...
![](http://2.bp.blogspot.com/-yDmN_lbPFLc/U8uaiIDQxHI/AAAAAAAF39s/YQJMeH68wtI/s1600/162732_479432362548_2318153_n%5B1%5D.jpg)
Hapa naonekana nikiwa na mama mmoja aliyekuja kwenye meza yangu. Nilimweleza yale aliyoulizia. Hata hivi, kwa kumwangalia usoni, hakuonekana anavutiwa na yale niliyokuwa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-dn62sERyKm4/VBnTeq6mOXI/AAAAAAAAb7k/Pv-QhqUNIK0/s72-c/kitendawili.jpg)
FILAMU KUTOKA PROIN PROMOTIONS LIMITED ZAFANIKIWA KUPITA MCHUJO WA KUONYESHWA KATIKA TAMASHA LA ARUSHA FILM FESTIVAL 2014
![](http://3.bp.blogspot.com/-dn62sERyKm4/VBnTeq6mOXI/AAAAAAAAb7k/Pv-QhqUNIK0/s640/kitendawili.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-jsyk0UuV4iw/VBnTM3x1MZI/AAAAAAAAb7c/7vUIiRASIBw/s640/network-dvd-face.jpeg)
Tamasha la Arusha Film Festival ni tamasha la kimataifa ambalo linatarajiwa kufanyika kwa Mara ya Tatu mfululizo, ambapo litaanza tarehe 20 mpaka 27 Mwezi wa tisa (september) Jijini Arusha.
Arusha Film Festival 2014...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-4zse40b1aWM/U77l1lCQH6I/AAAAAAAF0nA/m0rKPRSjI0k/s72-c/pinda1504.jpg)
Wakazi wa Mtwara na Lindi kushuhudia fursa za Utalii na Uchumi kupitia Tamasha la Utamaduni la Mtwara,Waziri mkuu pinda kuwa mgeni rasmi.
![](http://1.bp.blogspot.com/-4zse40b1aWM/U77l1lCQH6I/AAAAAAAF0nA/m0rKPRSjI0k/s1600/pinda1504.jpg)
Waziri Mkuu Mizengo Pinda.
Tamasha la Mkoa wa Mtwara, ‘Mtwara Festival’, linatarajia kufungua milango ya fursa kwa wakazi wa mikoa ya Mtwara na Lindi katika kuziona fursa kadhaa kwenye sekta ya Utalii na Uchumi.Tamasha hilo linatarajiwa kufanyika kwa siku mbili kuanzia mwezi Agosti 16 na 17 mwaka huu kwenye uwanja wa Nangwanda Sijaona ulipo Mtwara mjini. Mgeni rasmi katika Tamasha hilo anatarajiwa kuwa Waziri Mkuu, Mizengo Pinda huku likiwa na kauli mbiu isemayo ‘Fursa Zimefunguka,...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-e8vIKGQDXsg/VGBrMtt9XYI/AAAAAAAGwUs/cOZTOeZcgrg/s72-c/unnamed%2B(20).jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania