Profesa mbele na timu yake wajiandaa kwa Tamasha la Afrifest Agosti 2, 2014
![](http://2.bp.blogspot.com/-yDmN_lbPFLc/U8uaiIDQxHI/AAAAAAAF39s/YQJMeH68wtI/s72-c/162732_479432362548_2318153_n%5B1%5D.jpg)
Na Profesa MbeleKila mwaka, tangu mwaka 2007, nahudhuria tamasha la Afrifest, ambalo hufanyika hapa Minnesota, Marekani. Imewahi kutokea kwamba nilikuwa Tanzania wakati wa tamasha hilo. Binti zangu wananiwakilisha.Wanafahamu vizuri shughuli zangu, na wanawaeleza watu wanaoulizia kuhusu shughuli zangu na vitabu vyangu.
Hapa naonekana nikiwa na mama mmoja aliyekuja kwenye meza yangu. Nilimweleza yale aliyoulizia. Hata hivi, kwa kumwangalia usoni, hakuonekana anavutiwa na yale niliyokuwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-u_lcYazjx5w/U9AyNpPI-bI/AAAAAAAAJPU/BsUwqIIWJsg/s72-c/product_thumbnail%5B2%5D.jpg)
Vitabu Nitakavyoonesha Katika Tamasha la Afrifest, Agosti 2, 2014
Kila mwaka wakati wa tamasha Afrifest, ninakuwa na meza ambapo naonesha vitabu vyangu na machapisho mengine. Meza ya vitabu huwavuta watu waje hapo. Kwa kawaida, mbali ya kutaka kunifahamu na kufahamu shughuli zangu, watu wanaofika hapo huwa na hamu ya kujua vitabu vinahusu nini. Wengi huvishika wao wenyewe na kuangalia ndani.
Kwa mawazo yangu, hiyo si fursa ya kuvipigia debe vitabu hivyo. Ninachofanya ni kujibu masuali niulizwayo. Kama suali linahusu kitabu au vitabu...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/R*tm0ukPJZcQC0Z7ojHaPdVlpPGbFfl5xXvfKrMumU7dt0z1RYinBiBX4AYozwOCp5*JgVt8nYP8klBzc4hgVIBU741yeIZD/TAMASHALAMATUMAINIA3copy.jpg?width=750)
11 years ago
Mwananchi30 Apr
Bunge Maalum la Katiba na kazi pevu iliyo mbele yake Agosti
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dnCWvahr*CoYQvQdPPqMJ2Hk-EXrcBIcLfelzB0l2M5os19*jFQZ09Yc2SYotlaABMkUhHlTt4gLBaVAX0OBugxuBMs8OFgT/Tamashalamatumaini.jpg)
TAMASHA LA MATUMAINI 2014 MASHALI, MAUGO KUMALIZA UBISHI AGOSTI
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-VHCdeij9wWM/U-ssQPehP7I/AAAAAAAF_Hs/XNXOX99tE3I/s72-c/Screen%2BShot%2B2014-08-13%2Bat%2B12.10.27%2BPM.png)
10 years ago
Michuzibendera ya tanzania yatamba katika tamasha la afrifest marekani
![](http://1.bp.blogspot.com/-_Y0Qnar7jf8/Vb7TwEh-PfI/AAAAAAAALG8/aG31-a6S54o/s200/11817286_10207592531675894_6833285667737846255_n.jpg)
Jana, tarehe 1 Agosti, tamasha la Afrifest lilifanyika mjini Brooklyn Park, Minnesota.
Hili ni tamasha ambalo huandaliwa mara moja kwa mwaka na bodi ya Afrifest Foundation ambayo mimi ni mwenyekiti wake. ili kuwakutanisha wa-Afrika, watu wenye asili ya Afrika waishio Marekani ya Kaskazini, Kati, na Kusini, pamoja na Caribbean, na pia watu wa mataifa mengine. Lengo kubwa ni kufahamiana, kuelimisha, na kuuenzi mchango wa watu weusi duniani kote, katika nyanja mbali mbali.
Hiyo...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-eHNxhiy7miM/U6voN8Gk2YI/AAAAAAAFtDI/f3ooCqa7lY0/s72-c/3.jpg)
ROSE MUHANDO KUZINDUA ALBAMU YAKE YA FACEBOOK AGOSTI 3/2014 JIJINI DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-eHNxhiy7miM/U6voN8Gk2YI/AAAAAAAFtDI/f3ooCqa7lY0/s1600/3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-yWDKCahWAYQ/U6vpFAfnd9I/AAAAAAAFtDg/oh_1t9rs2cI/s1600/IMG_0558.jpg)
10 years ago
Bongo Movies20 Mar
Masanja Awa Mbele ya Jaydee na Profesa Jay Kwa Utajiri Tanzania
<span 1.6em;"="">Utajili wa komediani maarufu Bongo, Emmanuel Mgaya ‘Masanja Mkandamizaji’ ni kufuru! Tena unatisha na sasa anaonekana kuwa miongoni mwa wasanii wanaomiliki fedha na mali nyingi Bongo gazeti la Risasi Mchanganyiko limeripoti.
Awali, habari kuhusu utajiri wa Masanja ilitua mezani mwa gazeti hilo kama kidokezo, hapo mwandishi wao akaingia mzigoni na kuanza kuchunguza kwa kina mali anazomiliki msanii huyo na kugundua kuwa ni kati ya mastaa mabilionea Bongo.
“Masanja sio yule...
11 years ago
GPLMADEE AMTAFUTA ALIYEMWAGA POMBE YAKE NDANI YA TAMASHA LA MATUMAINI 2014