Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Masanja Awa Mbele ya Jaydee na Profesa Jay Kwa Utajiri Tanzania

<span 1.6em;"="">Utajili wa komediani maarufu Bongo, Emmanuel Mgaya ‘Masanja Mkandamizaji’ ni kufuru! Tena unatisha na sasa anaonekana kuwa miongoni mwa wasanii wanaomiliki fedha na mali nyingi Bongo gazeti la Risasi Mchanganyiko limeripoti.

Awali, habari kuhusu utajiri wa Masanja ilitua mezani mwa gazeti hilo kama kidokezo, hapo mwandishi wao akaingia mzigoni na kuanza kuchunguza kwa kina mali anazomiliki msanii huyo na kugundua kuwa ni kati ya mastaa mabilionea Bongo.

“Masanja sio yule...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Ngoma ya Profesa Jay ‘inayowaliza’ Lady Jaydee, Mboni Masimba

MOJA ya vibao gumzo katika tasnia ya muziki wa kizazi kipya nchini kwa sasa ni ‘Kipi Sijasikia’, cha mkali wa Hip Hop Afrika Mashariki na Kati, Joseph Haule ‘Profesa Jay’...

 

11 years ago

GPL

UTAJIRI WA MASANJA KUFURU!

Stori: Shakoor Jongo
UTAJIRI wa komediani maarufu Bongo,  Emmanuel Mgaya ‘Masanja Mkandamizaji’ ni kufuru! Tena unatisha na sasa anaonekana kuwa miongoni mwa wasanii wanaomiliki fedha na mali nyingi Bongo, Risasi Mchanganyiko linakupa zaidi. Emmanuel Mgaya ‘Masanja Mkandamizaji’ akiwa mbele ya usafiri na mjengo wake. HABARI MEZANI
Awali, habari kuhusu utajiri wa Masanja ilitua mezani mwa gazeti...

 

11 years ago

Michuzi

Profesa mbele na timu yake wajiandaa kwa Tamasha la Afrifest Agosti 2, 2014

Na Profesa MbeleKila mwaka, tangu mwaka 2007, nahudhuria tamasha la Afrifest, ambalo hufanyika hapa Minnesota, Marekani. Imewahi kutokea kwamba nilikuwa Tanzania wakati wa tamasha hilo. Binti zangu wananiwakilisha.Wanafahamu vizuri shughuli zangu, na wanawaeleza watu wanaoulizia kuhusu shughuli zangu na vitabu vyangu.
Hapa naonekana nikiwa na mama mmoja aliyekuja kwenye meza yangu. Nilimweleza yale aliyoulizia. Hata hivi, kwa kumwangalia usoni, hakuonekana anavutiwa na yale niliyokuwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Profesa ‘J’ awa kivutio mkutano wa Chadema

>Msanii nguli wa muziki wa kizazi kipya, Joseph Haule maarufu kwa jina la Profesa J, mwishoni mwa juma aligeuka kivutio kwenye mkutano wa hadhara wa Chadema uliyofanyika kwenye viwanja vya Mbugani mkoani hapa baada ya kutumia njimbo zake kuwananga CCM.

 

10 years ago

Habarileo

Profesa Assad awa CAG mpya

Profesa Mussa Juma AssadRAIS Jakaya Kikwete amemteua Profesa Mussa Juma Assad kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG).

 

10 years ago

Bongo5

Gadner alitongoza na kuwashika makalio wanawake mbele yangu — Lady Jaydee

Wiki hii Lady Jaydee amewapa nafasi mashabiki wake kumuuliza maswali naye kuyajibu kupitia akaunti yake ya Instagram. Ameulizwa maswali mengi, na miongoni mwa maswali hayo ni la kuhusu ndoa yake na mtangazaji wa Radio E-FM Gadner G. Habash. Haya ni maswali na majibu kama alivyopost Instagram. “Tunasikia umeachana na mume ni kweli au uzushi? JIBU […]

 

10 years ago

Mtanzania

Dewji, Rostam waongoza kwa utajiri Tanzania

mohammed-dewjiRostamMwandishi Wetu na Mashirika ya Habari
MFANYABIASHARA Mohammed Dewji pamoja na Mbunge wa zamani wa Igunga, Rostam Aziz, ndio matajiri zaidi Tanzania.
Kwa mujibu wa orodha mpya ya mabilionea ya mwaka 2015 iliyotolewa na mtandao wa Forbes, Dewji ameshika nafasi ya kwanza nchini akiwa mbele ya Rostam.
Awali nafasi ya kwanza kwa Tanzania ilikuwa ikishikiliwa na mfanyabiashara Rostam.
Dewji (39), mfanyabiashara ambaye pia ni mbunge wa Singida Mjini kupitia CCM, anatajwa na Forbes kuwa na utajiri...

 

9 years ago

Mtanzania

PROFESA JAY aipeleka ‘Mwanalizombe’ Mikumi

JAYNA CHRISTOPHER MSEKENA

MSANII na Mbunge wa Jimbo la Mikumi, Joseph Haule ‘Profesa Jay’, amesema ana mpango wa kuihamishia studio ya Mwanalizombe kwenye jimbo lake ili aweze kutekeleza ahadi ya kuinua sanaa. Akizungumza na MTANZANIA, Profesa Jay alisema kuwa moja ya ahadi alizowaahidi

wakazi wa Mikumi kwenye kampeni zake ni kuibua vipaji vipya ndiyo maana ameamua kuihamishia studio hiyo huko ili aweze kutekeleza ahadi hiyo.

“Mikumi kuna vipaji vingi vya muziki lakini hakuna aliyeweza kuviibua...

 

11 years ago

GPL

PROFESA JAY NDANI YA GLOBAL TV ONLINE

Profesa Jay akiwa katika pozi ndani ya Global TV tayari kwa mahojiano usiku huu. Profesa Jay akiwa na mtangazaji wa Global TV Online, Luqman Maloto (kulia). MKALI wa Hip hop nchini, Joseph Haule 'Profesa Jay' muda huu yupo ndani ya Global TV tayari kwa mahojiano ya mambo mbalimbali ya muziki, maisha, siasa na mengineyo mengi. Mohojiano hayo… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani