Masanja Awa Mbele ya Jaydee na Profesa Jay Kwa Utajiri Tanzania
<span 1.6em;"="">Utajili wa komediani maarufu Bongo, Emmanuel Mgaya ‘Masanja Mkandamizaji’ ni kufuru! Tena unatisha na sasa anaonekana kuwa miongoni mwa wasanii wanaomiliki fedha na mali nyingi Bongo gazeti la Risasi Mchanganyiko limeripoti.
Awali, habari kuhusu utajiri wa Masanja ilitua mezani mwa gazeti hilo kama kidokezo, hapo mwandishi wao akaingia mzigoni na kuanza kuchunguza kwa kina mali anazomiliki msanii huyo na kugundua kuwa ni kati ya mastaa mabilionea Bongo.
“Masanja sio yule...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima02 May
Ngoma ya Profesa Jay ‘inayowaliza’ Lady Jaydee, Mboni Masimba
MOJA ya vibao gumzo katika tasnia ya muziki wa kizazi kipya nchini kwa sasa ni ‘Kipi Sijasikia’, cha mkali wa Hip Hop Afrika Mashariki na Kati, Joseph Haule ‘Profesa Jay’...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OQbVc*b-KB-bolz0a9UsBLHMSIhHUpH7X0ZvYVO2WBCuus72pD3FpkcIGDrMW7lM5OauqPA-NjWsMNmZIAeJ*5z-xLlI6YN3/masanja.jpg?width=650)
UTAJIRI WA MASANJA KUFURU!
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-yDmN_lbPFLc/U8uaiIDQxHI/AAAAAAAF39s/YQJMeH68wtI/s72-c/162732_479432362548_2318153_n%5B1%5D.jpg)
Profesa mbele na timu yake wajiandaa kwa Tamasha la Afrifest Agosti 2, 2014
![](http://2.bp.blogspot.com/-yDmN_lbPFLc/U8uaiIDQxHI/AAAAAAAF39s/YQJMeH68wtI/s1600/162732_479432362548_2318153_n%5B1%5D.jpg)
Hapa naonekana nikiwa na mama mmoja aliyekuja kwenye meza yangu. Nilimweleza yale aliyoulizia. Hata hivi, kwa kumwangalia usoni, hakuonekana anavutiwa na yale niliyokuwa...
10 years ago
Mwananchi25 May
Profesa ‘J’ awa kivutio mkutano wa Chadema
10 years ago
Habarileo02 Dec
Profesa Assad awa CAG mpya
RAIS Jakaya Kikwete amemteua Profesa Mussa Juma Assad kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG).
10 years ago
Bongo513 Feb
Gadner alitongoza na kuwashika makalio wanawake mbele yangu — Lady Jaydee
10 years ago
Mtanzania04 Mar
Dewji, Rostam waongoza kwa utajiri Tanzania
Mwandishi Wetu na Mashirika ya Habari
MFANYABIASHARA Mohammed Dewji pamoja na Mbunge wa zamani wa Igunga, Rostam Aziz, ndio matajiri zaidi Tanzania.
Kwa mujibu wa orodha mpya ya mabilionea ya mwaka 2015 iliyotolewa na mtandao wa Forbes, Dewji ameshika nafasi ya kwanza nchini akiwa mbele ya Rostam.
Awali nafasi ya kwanza kwa Tanzania ilikuwa ikishikiliwa na mfanyabiashara Rostam.
Dewji (39), mfanyabiashara ambaye pia ni mbunge wa Singida Mjini kupitia CCM, anatajwa na Forbes kuwa na utajiri...
9 years ago
Mtanzania04 Jan
PROFESA JAY aipeleka ‘Mwanalizombe’ Mikumi
NA CHRISTOPHER MSEKENA
MSANII na Mbunge wa Jimbo la Mikumi, Joseph Haule ‘Profesa Jay’, amesema ana mpango wa kuihamishia studio ya Mwanalizombe kwenye jimbo lake ili aweze kutekeleza ahadi ya kuinua sanaa. Akizungumza na MTANZANIA, Profesa Jay alisema kuwa moja ya ahadi alizowaahidi
wakazi wa Mikumi kwenye kampeni zake ni kuibua vipaji vipya ndiyo maana ameamua kuihamishia studio hiyo huko ili aweze kutekeleza ahadi hiyo.
“Mikumi kuna vipaji vingi vya muziki lakini hakuna aliyeweza kuviibua...
11 years ago
GPLPROFESA JAY NDANI YA GLOBAL TV ONLINE