ROSE MUHANDO KUZINDUA ALBAMU YAKE YA FACEBOOK AGOSTI 3/2014 JIJINI DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-eHNxhiy7miM/U6voN8Gk2YI/AAAAAAAFtDI/f3ooCqa7lY0/s72-c/3.jpg)
Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion Bw. Alex Msama akizungumza na waandishi wa habari kwenye viwanja vya Karimjee leo wakati alipokua akitangaza Uzinduzi mkubwa wa Albam ya Shikilia Pindo maarufu ka FACEBOOK ya mwimbaji wa muziki wa injili anayevuma, Rose Muhando utakaofanyika kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee Agosti 3 /2014 jijini Dar es salaam, ambapo amesema baadhi ya mapato yatakwenda kuviwezesha mitaji zaidi ya vituo 10 vya watoto yatima jijini Dar es salaam.
Mkurugenzi wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-PUR_CiKR8wE/VbXhrGut2OI/AAAAAAAC8_g/FFrUrK3xs70/s72-c/68408-2.jpg)
BONNY MWAITEGE KUZINDUA ALBAMU TATU KWA MPIGO AGOSTI 2 JIJINI DAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-PUR_CiKR8wE/VbXhrGut2OI/AAAAAAAC8_g/FFrUrK3xs70/s640/68408-2.jpg)
Kwa mujibu wa Msama ambaye ni mdhamini wa uzinduzi huo, Maaskofu watafikisha ujumbe wa neno la Mungu kwa karibu zaidi baada ya waimbaji kumaliza kazi yao jukwaani.
Msama alisema uzinduzi huo unatarajia kusindikizwa na waimbaji mbalimbali wa...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-kU_nNNZGyhU/U96izzb8JCI/AAAAAAACmxU/XSImIHff9Lo/s72-c/4.jpg)
WAZIRI MKUU MSTAAFU,MH.FREDERICK SUMAYE AZINDUA ALBAMU MPYA YA ROSE MUHANDO JIJINI DAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-kU_nNNZGyhU/U96izzb8JCI/AAAAAAACmxU/XSImIHff9Lo/s1600/4.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/--HoHOOmqozs/U96i1RNv5BI/AAAAAAACmxk/tQ2_sw-CYFM/s1600/5.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-NdG-tuRqC3k/U9jfkLwJK1I/AAAAAAACmdw/Jr9XTIl86qo/s72-c/rose-muhando-post.jpg)
ROSE MUHANDO ALALAMIKIA WEZI WA KAZI ZA WASANII,KUACHIA ALBAMU YAKE HALISI JUMAPILI
![](http://1.bp.blogspot.com/-NdG-tuRqC3k/U9jfkLwJK1I/AAAAAAACmdw/Jr9XTIl86qo/s1600/rose-muhando-post.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-n0B3Kkwog2M/U7ow3oe1cMI/AAAAAAAFvcQ/Tip7hgrQ6Ow/s72-c/IMG_2380.jpg)
FACEBOOK KUZINDULIWA JIJINI DAR AGOSTI 3,WAKAZI WA MWANZA WAJIANDAE AGOSTI 10 UWANJA WA CCM KIRUMBA
![](http://4.bp.blogspot.com/-n0B3Kkwog2M/U7ow3oe1cMI/AAAAAAAFvcQ/Tip7hgrQ6Ow/s1600/IMG_2380.jpg)
Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion Bw. Alex Msama akizungumza na waandishi wa habari kwenye viwanja vya Karimjee leo wakati alipokua akitangaza Uzinduzi mkubwa wa Albam ya Shikilia Pindo maarufu kwa jina la FACEBOOK ya mwimbaji nguli wa muziki wa injili Rose Muhando,
Msama alisema kuwa albamu hiyo itazinduliwa Agosti 3 mwaka huu katika ukumbi wa Diamond-Jubilee jijini Dar es Salaam na baada ya hapo itatambulishwa katika mikoa kadhaa nchini.
Msama amesema kuwa baada ya albamu...
11 years ago
Tanzania Daima29 Jun
Rose Muhando aibuka na ‘Facebook’
MWIMBAJI mahiri wa muziki wa Injili nchini, Rose Muhando, ameibuka na wimbo mpya uitwao ‘Facebook’. Akizungumza na gazeti hili, Muhando alisema ana imani wimbo huo utakuwa kivutio kikubwa kwa jamii,...
11 years ago
Michuzi04 Aug
SUMAYE AFUNGUKA YA MOYONI WAKATI WA UZINDUZI WA ALBAMU MPYA YA ROSE MUHANDO
10 years ago
Michuzi23 Aug
MASAI SAFARI BENDI KUZINDUA ALBUM AGOSTI 30, 2014 UKUMBI WA LUNCH TIME, DAR ES SALAAM
![](https://3.bp.blogspot.com/-a2BQy9X89Og/U_eY9860OPI/AAAAAAAAOTQ/zy0EFaCko_8/s1600/pink-poster-floral-ii-ruth-palmer%2BLAST%2Bcopy.jpg)
BENDI ya Masai Safari ya jijini Dar es salaam inatarajia kuzindua albam yake ya kwanza kabisa watakayozindua siku ya Agosti 30, mwaka huu katika ukumbi wa Lunch Time, Tip Top Manzese jijini Dar.Akizungumzia uzinduzi wa albam hiyo rais wa bendi hiyo Fransic Mwaisela amesema kwamba siku hiyo watasindikizwa na bendi mbalimbali wakiongozwa na bendi ya Extra bongo inayo ongozwa na Ali Choki.Alizitaja nyimbo zilizomo katika albam hiyo ni sita itakayozinduliwa siku hiyo ikiwa nyimbo ambayo...
10 years ago
Dewji Blog15 Oct
T.I kuzindua mavazi yake jijini Dar es Salaam
Baada ya Tamasha la Fiesta kutangaza rasmi kuwa rapa na mshindi wa tuzo za Grammy, T.I wa Marekani kuwa ndiye msanii mkubwa wa kimataifa atakayekuja kutoa burudani siku ya kilele chake hapa Dar es Salaam, leo pia imetangazwa rasmi kuwa mavazi ya T.I ya Hustle Gang, Akoo pamoja na Strivers Row nayo yatazinduliwa rasmi katika duka la Pop Up Shop lililopo katika super market ya Dar Free Market siku ya tarehe 18-October, 2014.
Akizungumzia uzinduzi huo wa mavazi ya T.I, Mkurugenzi Mtendaji wa...