T.I kuzindua mavazi yake jijini Dar es Salaam
Baada ya Tamasha la Fiesta kutangaza rasmi kuwa rapa na mshindi wa tuzo za Grammy, T.I wa Marekani kuwa ndiye msanii mkubwa wa kimataifa atakayekuja kutoa burudani siku ya kilele chake hapa Dar es Salaam, leo pia imetangazwa rasmi kuwa mavazi ya T.I ya Hustle Gang, Akoo pamoja na Strivers Row nayo yatazinduliwa rasmi katika duka la Pop Up Shop lililopo katika super market ya Dar Free Market siku ya tarehe 18-October, 2014.
Akizungumzia uzinduzi huo wa mavazi ya T.I, Mkurugenzi Mtendaji wa...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-UM4wfHet1HM/VBCVMCD9q5I/AAAAAAAGink/3dI44cMnj4A/s1600/unnamed%2B%283%29.jpg?width=650)
JK AKUTANA NA MBUNIFU WA MAVAZI WA KIMATAIFA SHERIA NGOWI IKULU JIJINI DAR ES SALAAM
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-UM4wfHet1HM/VBCVMCD9q5I/AAAAAAAGink/3dI44cMnj4A/s72-c/unnamed%2B(3).jpg)
JK akutana na Mbunifu wa Mavazi wa Kimataifa Sheria Ngowi Ikulu Jijini Dar es Salaam leo
![](http://3.bp.blogspot.com/-UM4wfHet1HM/VBCVMCD9q5I/AAAAAAAGink/3dI44cMnj4A/s1600/unnamed%2B(3).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-UbV99fm9HCg/VBCVMhx-hBI/AAAAAAAGins/HmRPUB_QSIo/s1600/unnamed%2B(4).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-SYbxBruu8hU/VBCVNP2rQGI/AAAAAAAGinw/bJpJtTMAIRU/s1600/unnamed%2B(6).jpg)
10 years ago
Dewji Blog10 Sep
Mbunifu wa Mavazi wa Kimataifa Sheria Ngowi akutana na Rais Jakaya Kikwete IKULU Jijini Dar es Salaam leo
Mbunifu wa mavazi wa kimataifa Sheria Ngowi(kulia)akibadilishana mawazo na Rais Jakaya Kikwete IKULU Leo Jijini Dar es Salaam alipomtembelea na kujadili mambo mbalimbali.
Rais Jakaya Kikwete akijadiliana na Ujumbe maalum ukiongozwa na Mbunifu wa mavazi wa kimataifa Sheria Ngowi (wa kwanza Kulia)ikulu jijini Dar es Salaam Leo.
Rais Jakaya Kikwete akipitia baadhi ya sample za vitambaa vya nguo vinavyotumiwa na mbunifu wa mavazi wa kimatafaifa Sheria Ngowi (kulia) IKULU Jijini Dar es Salaam...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-eHNxhiy7miM/U6voN8Gk2YI/AAAAAAAFtDI/f3ooCqa7lY0/s72-c/3.jpg)
ROSE MUHANDO KUZINDUA ALBAMU YAKE YA FACEBOOK AGOSTI 3/2014 JIJINI DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-eHNxhiy7miM/U6voN8Gk2YI/AAAAAAAFtDI/f3ooCqa7lY0/s1600/3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-yWDKCahWAYQ/U6vpFAfnd9I/AAAAAAAFtDg/oh_1t9rs2cI/s1600/IMG_0558.jpg)
9 years ago
MichuziMWILI WA BABA YAKE MWANAHABARI, PETER AMBILIKILE WAAGWA JIJINI DAR ES SALAAM, MAZISHI YAKE KUFANYIKA MBEYA LEO
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
10 years ago
Michuzi10 Aug
WANAFUNZI WALIOSOMA ST JOSEPH CATHEDRAL HIGH SCHOOL WAKUTANA JIJINI DAR ES SALAAM, KUZINDUA CHAMA SEPTEMBA 26/2015 KARIMJEE
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/08/166.jpg)
11 years ago
Michuzi04 Feb
NAIBU WAZIRI WA MAJI AMOS MAKALA AENDELEA NA ZIARA YAKE JIJINI DAR ES SALAAM
![IMG_0979](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/Kg-txqcaL7yIhXOpwnN8w6JeJSh2aJUw02pUVaqqdMr6FelP8nW8WECtHlMm7I075MctPSU_E3MIYk3IkSig0DYcLEGr6dvTWjIYhiINmZXvTf5yCAUE7DPd4sc=s0-d-e1-ft#http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/02/IMG_0979.jpg)
![IMG_1007](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/TY_JI8zmHgj6yHPFDDztzX9X4dmXfhha4dFlcIsSdELkCf4CqCOZZdXP7v5spVecxapE5lMtDqKs0EWyqzetILyXWhYtXO7KuZIH1Mpe8l5XbCISIKgConX8x6k=s0-d-e1-ft#http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/02/IMG_1007.jpg)
![IMG_1011](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/16ZeqXB5pzo1xryN7C2y2r_w4sTs5Fd60WfZid5vRu_cLBcJyDoEbLr5jaKuPecgN6JJJ4gukTsHMHaPJzUQtvHl6DvPYTL9qMYuikKPDfQjln9x36GmTOYt0XA=s0-d-e1-ft#http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/02/IMG_1011.jpg)